Membe amshukia KITINE, amfananisha na "Kingwendu"

- Mkuu PM, heshima sana lakini naomba ukubali one thing kwamba sina anything to do na kambi ya mtu yoyote hapa Tanzania, kwenye kampeni za EAC nimeomba kura kwa wote, sikujali makundi, na nilienda kuwaona wote uso kwa uso; Waziri Membe to me ni mwananchi kama wengine ana haki ya kugombea anything, kama ana mapungufu iwe kwa policies zake na hasara zake kwa taifa.

- Otherwise, maneno yako ni mazito sana na ninayasikia sana na kuyatafakari ila sina kundi, wala situmiwi na mtu yoyote sijawahi na haitakuja kutokea, siasa ni mchezo mchafu you know that, ila zikipita tunasahau na kusonga mbele, Tom is my good friend I respect him, kama kuna kosa alifanya ilikuwa kugombea NEC against Mwandosya that was a wrong political move, ninaamini kwamba he is a politician na anajua hilo.

Please, rest assured kwamba sina kundi wala sina mpango wa kujiunga na kundi lolote la siasa hapa nian siasa zangu mwenyewe, na wala za baba sina muda nazo, ninayo macho na ninayo masikio, siku zote huwa ninasimamia haki, kwenye hili la Membe na Kitine, ninasema Kitine is wrong na anahitaji kumuomba Membe radhi, hatuwezi kuendesha taifa kwa majungu majungu, Kitine amesoma sana amewahi kushika nafasi kubwa sana kwenye Usalama wa Taifa letu unawezaje kuruka na serious accusations kama hizo bila kuonyesha FACTS?

HESHIMA MBELE BRO, NA NIMEKUSIKIA SANA!

William.

Mkuu Saluti ..

Inawezekana wewe una nia njema ...lakini wao hawana nia njema kwako...,na hata moja ya sababu ndogo kura chache ulizopata dodoma ..,zinatokana na kuonekana mtu wake..,....
Unaweza kutenda kwa nia njema ..kumbe watu wanataka kuenekana wanaungwa mkono na mtoto wa mzee at there gain......Tunajuwa pia Anajaribu kumganda Mako...na mama.....hata ile ziara ya mabalozi Kijijni pale ...ilikuwa gereshastrategy,ili aonekane ana baraka za founding fathers ...lakini system itasema hapana!!! .....Membe kama membe hana policies bali anatekeleza ilani ya chama .......pamoja na kutoa misimamo ambayo haijakubaliwa na baraza la mawaziri [kama alivyokurupuka issue ya Libya....labda kwa uchungu wa dola milioni 150 alizopewa kwenye credit switch].......Mkuu mudhihir [ambaye pia wamehudumu naye kule ] anajuwa.....

MSIFIRI KITINE HANA AKILI..ANAZO SANA....KUNA WATU WENGI NYUMA YA KAULI YAKE NA INSTITUTION,,HUYU MEMBE WAMEMLEA WANAMJUWA ....HAFAI KWA KAZI HIYO...KUU YA URAIS ......!!
 
nilimsikiliza huku namtazama Mzee Hassy kwa umakini sana.
Ktk taarifa yake hakutaja mtu...na kilichofuata ni kundi la watu kuaminishana kuwa aliyezungumziwa pale ni Waziri Membe.

Kwa kifupi nilimpunguzia Maksi Mzee Kitine, kwani kama angekuwa na uzalendo kisha awe na ushahidi wa uhakika wa aliyoyaongea nadhani angemtaja huyo mtu ili tumjue na ikiwezekana Sheria ifuate mkondo wake...na kama ikishindikana kisheria basi tumjue mtu anayetuhujumu kama tulivyowajuwa wale waliotajwa na Dr Slaa pale Mwembeyanga.

Kiukweli kitendo cha mzee Kitine ni cha kinafiki, na ni mbumbumbu tu ndio wanaweza kumuona Mzee huyu ni shujaa.
Kwangu mimi namuona mkurupukaji na Mshambenga tu.
Mkuu ujue tunakuheshimu vile, sasa hivi ujue hata ukitaja mtu haitasaidia maana watu wamejijengea himaya ya kutoguswa, kwa katiba hii sana saana unajitafutia kifo!!!! Kwa hiyo ni bora ukaweka situation of doughty ili watu wakurupuke wenyewe, kama ilivyo tokea!!!! Kumbuka huyu Mzee Kitine alikuwa Mkuu Wa TISS kipindi hicho hivyo sidhani kama amekurupuka bila kuwa na uhakika na analolisema!!! Kwani kuna watu wangapi wanayo majumba ulaya bwana, hata EL majumba yake yalifichuliwa na kitengo cha makachero wa Uingeleza!!!

 
kweli watz tunaonekana kuwa tunapoteza kumbukumbu mapema kihivi, kitime leo hii wakusema fulani mwizi? bado tunamdai yy
 
Mkuu Saluti ..

Inawezekana wewe una nia njema ...lakini wao hawana nia njema kwako...,na hata moja ya sababu ndogo kura chache ulizopata dodoma ..,zinatokana na kuonekana mtu wake..,....
Unaweza kutenda kwa nia njema ..kumbe watu wanataka kuenekana wanaungwa mkono na mtoto wa mzee at there gain......Tunajuwa pia Anajaribu kumganda Mako...na mama.....hata ile ziara ya mabalozi Kijijni pale ...ilikuwa gereshastrategy,ili aonekane ana baraka za founding fathers ...lakini system itasema hapana!!! .....Membe kama membe hana policies bali anatekeleza ilani ya chama .......pamoja na kutoa misimamo ambayo haijakubaliwa na baraza la mawaziri [kama alivyokurupuka issue ya Libya....labda kwa uchungu wa dola milioni 150 alizopewa kwenye credit switch].......Mkuu mudhihir [ambaye pia wamehudumu naye kule ] anajuwa.....

MSIFIRI KITINE HANA AKILI..ANAZO SANA....KUNA WATU WENGI NYUMA YA KAULI YAKE NA INSTITUTION,,HUYU MEMBE WAMEMLEA WANAMJUWA ....HAFAI KWA KAZI HIYO...KUU YA URAIS ......!!

Maneno yako ya mwisho nayakubali sana. Kitine sio mwehu kusema vile, hakika nawaambieni hayatapita bure maneno haya, wala hakuna haja ya kuwataja, anajua pa kuwataja si watamfata tu kuongea nae?
 
Am waiting 4 the day when politics wil be the way people believe in "Earth's rules of governing" and not da way I see nw in our country.
 
Mkuu Saluti ..

Inawezekana wewe una nia njema ...lakini wao hawana nia njema kwako...,na hata moja ya sababu ndogo kura chache ulizopata dodoma ..,zinatokana na kuonekana mtu wake..,....
Unaweza kutenda kwa nia njema ..kumbe watu wanataka kuenekana wanaungwa mkono na mtoto wa mzee at there gain......Tunajuwa pia Anajaribu kumganda Mako...na mama.....hata ile ziara ya mabalozi Kijijni pale ...ilikuwa gereshastrategy,ili aonekane ana baraka za founding fathers ...lakini system itasema hapana!!! .....Membe kama membe hana policies bali anatekeleza ilani ya chama .......pamoja na kutoa misimamo ambayo haijakubaliwa na baraza la mawaziri [kama alivyokurupuka issue ya Libya....labda kwa uchungu wa dola milioni 150 alizopewa kwenye credit switch].......Mkuu mudhihir [ambaye pia wamehudumu naye kule ] anajuwa.....

MSIFIRI KITINE HANA AKILI..ANAZO SANA....KUNA WATU WENGI NYUMA YA KAULI YAKE NA INSTITUTION,,HUYU MEMBE WAMEMLEA WANAMJUWA ....HAFAI KWA KAZI HIYO...KUU YA URAIS ......!!

- Mkuu PM, mimi sijawahi kukaa chini na Waziri Membe na kuanza kuongea kuungana mkono na urais, wala sijawahi kukaa chini na yoyote yule kuhusu Urais wa 2015, sina kundi ndio maana hata kwa Mh. Lowassa nilienda kumuomba kura, nilienda kwa Mh. Sophia kumuomba kura; tabia yangu na msimamo wangu huwa uko wazi majungu na unafiki na kuchafua wengine sio sawa kama ninaona ukweli ulipo ninasema, Mungu wangu anasema kumuona mwizi na kunyamaza wakati anatafutwa ni sawa na kuwa mwizi pia.

- Kura za Dodoma, toka nirudi Tanzania miezi mitano iliyopita, ni siku ile ya kura bungeni ndio nimeonana naye uso kwa uso, tena baada ya kumaliza kupiga kura. Kuhusu kura ninaamini 90% ya nilizopata, nilizipatia pale pale bungeni, wapiga kura wengi walishaamua mapema sana wanampa nani regrdless ya zile speeech zetu pale bungeni; ninazo akili za kutosha sana kujua ni kwa nini sikupata kura za kutosha, na nitakupa moja very simple, tizama walioshinda na their political background hiyo inajisema yenyewe, mengine sitaki kusema maana nayajua yote na hata nikisema haitanisaidia anything, muhimu ni kwamba nilipoingia kwenye race nilikuwa ninajua my goals na zote zimetimia. Membe has nothing to do with it, moja ya kitu nilichogundua hapa bongo ni kwamba wale wenye makundi ya siasa hujaribu kila wanaloweza kulazimisha wengine wote waonekane wana makundi.

Otherwise, ninataka kuamini kwamba wewe huna kundi la siasa, maana mimi sina na wala sina mpango wa kuwa nalo!, zaidi ya kwua mwanachama mwaminifu wa CCM!

William.
 
kweli watz tunaonekana kuwa tunapoteza kumbukumbu mapema kihivi, kitime leo hii wakusema fulani mwizi? bado tunamdai yy

Kwa hiyo hata kama maneno yake yatakuwa ni kweli wewe utakataa simply ya pesa unazomdai? Pesa zipi? Wewe ndo unasahau kuwa aliamriwa kuzirudisha na akatimuliwa uwaziri then unasema unamdai? How much? Kwanza haitwi KITIME anaitwa KITINE, back to the point, kama maneno yake yana mashiko katika mustakabali wa taifa letu we kwa nini ung'ang'anie mambo ya zamani wakati he has already paid his price? Leo kawa mstari wa mbele mnambeza, unadhani anashindwa kuwa kwenye hiyo system kama akitaka? Think twice and think maturedly! Dig unto the facts mazee!
 
kitime bado watz hatujasahau kihivyo uozo wako, weka wazi ubaya wa membe pia kama unao kweli, twazijua ht ccm families
 
Kwa hiyo hata kama maneno yake yatakuwa ni kweli wewe utakataa simply ya pesa unazomdai? Pesa zipi? Wewe ndo unasahau kuwa aliamriwa kuzirudisha na akatimuliwa uwaziri then unasema unamdai? How much? Kwanza haitwi KITIME anaitwa KITINE, back to the point, kama maneno yake yana mashiko katika mustakabali wa taifa letu we kwa nini ung'ang'anie mambo ya zamani wakati he has already paid his price? Leo kawa mstari wa mbele mnambeza, unadhani anashindwa kuwa kwenye hiyo system kama akitaka? Think twice and think maturedly! Dig unto the facts mazee!

- Mkuu I like your arguments kwa sababu upo fair kidogo, lakini kama kweli Kitine amelipa the price na ameridhka kwamba alifanya makosa na ni lazima kulipa price, then asingekwua na visasi hivi, maana CAG imeonyesha wazi nani ni nani!

William.
 
Yaelekea lile zogo la joka la mdimu kumchomea utambi Saada kufoji matibabu Canada na kuharibu ulaji wa mzee linaingia raundi nyingine. Safari hii mashambulizi yanatokea upande wa pili. Ingawa sijui mzee mwenyewe kwa wadhfa aliokuwa nao ana haki ya kurusha mizinga aliyoipata kupitia nafasi nyeti aliyokuwa nayo. Asije kujikuta katika mazingira ya Kombe.
 
- Tatizo sio mara yake ya kwanza kuzusha majungu, kuna wakati akiwa bado mbunge alizua makubwa sana kwamba mawaziri wanakula rushwa, akaambiwa na Waziri Masilingi, awaseme akaishia kudai media imekosea hakusema hivyo, this time again huyooo anaulizwa jina la waziri anayemsema hawezi kulisema!

- Halafu wewe Great Thinker unasema he is clean, please!

William.

Bado unaendelea kuniangusha ndugu yangu. Im not saying that 'he is clean', the point is; he is trying to come clean, why do you have to fight him? Nachelea kusema kuwa je huyu mzee kitine leo akikuita nyumbani kwake umueleze uso kwa uso urudie maneno yako yote kuwa yeye ni mwizi, mropokaji na hayo mengineyo will you do that? The point kwamba kwa sasa huna makundi ya kisiasa haitufanyi tuamini hutakuwa na makundi labda uwe unagombea nyumbani kwako napo pia kutakuwa na watoto watakuwa na makundi. Hakuna siasa hapa duniani isiyo na makundi, kumbuka hata mbinguni ibilisi alianzisha kundi lake la waasi. Makundi katika siasa lazima so please usiseme siasa za bongo zinamakundi. Utakapokuwa kiongozi (kama ukibahatika) utahitaji kufanya kazi na watu unaowajua, we unadhani wanatoka wapi? Kuna shku nitakuja kukuuliza upo kundi gani la siasa katika chama chako maana utahitaji bak up, otherwise pigania hoja ya mgombea binafsi ndo usiwe na kundi. Unafahamu vizuri haya yote sema unataka kuja kwa style yako ili tusahau kuwa hata mzee wako hawezi kuwa amekuacha utumbukie kwenye siasa burebure!
 
w.J.Malecela tafadhali pole pole mkuu, hivi unaweza kusimama mbele ya wanaume rijali na kuongea upuuzi huo.Eti siasa ni kuchafuana acha utoto, labda siasa za ccm .Siasa ni science na hakuna kubabaisha. HIVI Sophia aliposema familia ya mzee CYGWESIMA ilifadhiliwa mamilion ya fedha za EPA wakati wa kampeni 2005 ni uongo? au kuchafuana?. ni proved.Na kushauri sana kama huna kazi nyingine mjini mbali na unataka kuchagua ya UKUWADI WA WANASIASA NI MBAYA nafuu rudi dodoma ukalime zabibu unaweza kupata kipato kuliko kutanga na upepo wa akina membe, utatumika sana na utatupwa kama gloves.
 
- Mkuu I like your arguments kwa sababu upo fair kidogo, lakini kama kweli Kitine amelipa the price na ameridhka kwamba alifanya makosa na ni lazima kulipa price, then asingekwua na visasi hivi, maana CAG imeonyesha wazi nani ni nani!

William.

Hapa hatumuongelei CAG na ripoti yake, nashukuru unapata picha ya fairness niliyonayo especially taarifa inapoletwa either ni ya kweli au vipi? Nadhani kuna watu wameajiriwa kudeal na taarifa mbalimbali, hebu waifanyie kazi hii tuhuma isiachwe kama uzushi unajua uzito wa tuhuma hii ukichukulia status ya mzee Kitine, ningekuwa mimi hata kidogo nisingeacha ipite burebure. Kama ni ya uongo na uzushi unajua itabidi achukuliwe hatua za kinidhamu maana zinakuwa zinaweza kusababisha public distress. Nachelea kusema kuwa yule mzee ni muongo na mzushi.
 
- Mkuu I like your arguments kwa sababu upo fair kidogo, lakini kama kweli Kitine amelipa the price na ameridhka kwamba alifanya makosa na ni lazima kulipa price, then asingekwua na visasi hivi, maana CAG imeonyesha wazi nani ni nani!

William.
Mkuu ina maana CAG AMEKWENDA KUCHUNGUZA NJE YA NCHI???? Na je hizo USD $150m unadhani ni story tu, au ziko wapi na zinafanya nini???? Mtanzania kwa propoganda humuwezi bwana, tunamgojea ujio wa katiba mpya!!!!!

 
Bado unaendelea kuniangusha ndugu yangu. Im not saying that 'he is clean', the point is; he is trying to come clean, why do you have to fight him? Nachelea kusema kuwa je huyu mzee kitine leo akikuita nyumbani kwake umueleze uso kwa uso urudie maneno yako yote kuwa yeye ni mwizi, mropokaji na hayo mengineyo will you do that? The point kwamba kwa sasa huna makundi ya kisiasa haitufanyi tuamini hutakuwa na makundi labda uwe unagombea nyumbani kwako napo pia kutakuwa na watoto watakuwa na makundi. Hakuna siasa hapa duniani isiyo na makundi, kumbuka hata mbinguni ibilisi alianzisha kundi lake la waasi. Makundi katika siasa lazima so please usiseme siasa za bongo zinamakundi. Utakapokuwa kiongozi (kama ukibahatika) utahitaji kufanya kazi na watu unaowajua, we unadhani wanatoka wapi? Kuna shku nitakuja kukuuliza upo kundi gani la siasa katika chama chako maana utahitaji bak up, otherwise pigania hoja ya mgombea binafsi ndo usiwe na kundi. Unafahamu vizuri haya yote sema unataka kuja kwa style yako ili tusahau kuwa hata mzee wako hawezi kuwa amekuacha utumbukie kwenye siasa burebure!

1. You don't come clean in politics kwa kuwachafua wengine bila FACTS, wewe umeshikwa mwizi halafu umepewa adhabu na taifa, how do you come out clean kwa kuwachafua wengiune tena wakati wa karibu na uchaguzi tu? No you come out clean kwa kuwaomba radhi wananchi kwa makosa uliyoyafanya kwanza mpaka ukaadhibiwa, Taifa likiusamehe then ndio unaweza sasa kutueleza wezi wenzako tena kwa ushahidi sio longo longo!

2. Can you imagine watu wote wanaoandika opinion zao kuhusu wanasiasa wakaishia kuitwa nao, hivi kweli unahitaji nini kutoka kwangu zaidi ya kuja hapa na jina langu kamili na picha yangu, mpaka na namba ya simu zangu, ningekwua ninamuogopa any politician nisingekuja hapa na jina langu kamili, huna sababu ya kuniiita cause this is me!, take it or leave it!

3. Nilipokuwa baharia sikuruhusiwa na baba yangu wala baba wa mtu yoyote, so rest assured kwamba hata nilipokuwa ninaanzisha tawi la CCM kule New York, sikuomba ruhusa kwake, so is kuingia kwangu siasa za taifa hapa sina sababu ya kumuomba ruhusa anybody, au kuwepo hapa JF kwamba amenipa ruhusa pleasee!

- Ninarudia tena kwamba Kitine, is wrong na ni hatari sana kwa taifa.

William.
 
Mkuu ina maana CAG AMEKWENDA KUCHUNGUZA NJE YA NCHI???? Na je hizo USD $150m unadhani ni story tu, au ziko wapi na zinafanya nini???? Mtanzania kwa propoganda humuwezi bwana, tunamgojea ujio wa katiba mpya!!!!!


- Hivi kweli mkuu unaamini kuna mtu anaweza kukupa USD $ 150M bila ya sababu za msingi na isijulikane?

William.
 
Maadili maaadili maadili maadili........wimbo wa kinafiki..........JK, please do something to these two guys.........
 
Kuielewa hiyo kauli ya membe ni kazi sana, ukikurupuka hutamuelewa, katumia fasihi kali sana! Nasikitika wengi hamjamuelewa.

Tumemuelewa sana,

Huu si muda wa fasihi na ushairi. Huu ni muda wa clearcut facts.

Akisema habari za sauti anaweza kumaanisha wito, wengine tutaona anatuyayusha tu na kusikia sauti ni dalili ya schizophrenia.

Hatutaki ushairi, tunataka uongozi.
 
Back
Top Bottom