HAHAHAAAAAAAAAAAAA... MEMBER AMEJIPA MWENYEWE JINA LA KINGWENDU
Dah Kingwendu aka Membe balaa aisee
Membe ....bado yupo na senior wake ...kumuita kingwendu.....nadhani ,Kitine hakumpa majina ya kashfa wala kumtaja jina .....sasa kajihisi ...ukirusha jiwe gizani atakayelia limempata!!!! ...
Ikumbukwe kuwa kazi kubwa ya Membe "mzee wa fitina " mwaka 2000 kuelekea 2005 ,ilikuwa ni kuwachafua watu wote waliokuwa na nia ya urais ili kumsaidia KIkwete ...mhanga wa kwanza wa wanamtandao alikuwa..
Hassan ( hassy ) Kitine
iddi Simba
Frederick Sumaye
Salim Ahmed Salim
Hawa kwa wakati tofauti walichafuliwa vibaya na wana mtandao.......Huyu Membe urais ...hafai kabisa....eti anasema ...kuna watu ..wanataka agombeeee ...mbona hatuwaoni....au CCJ?
Nashukuru umegundua ushamba wako wa kuweka nembo za madikteta Kama avatar ukamuua kutoa jitambue!!!!!!!!Wewe nawe CCM imefuata nini katika taarifa hii?
Mkuu umesoma habari au umechangia tu!
- Mkuu PM vipi tena Kitine amemuita Membe, mwizi anayeficha hela nje agombee urais nazo, sasa akiitwa kingedu hutaki vipi? Una tatizo na Membe nini mkuu wangu, hafai kwa kosa gani hasa alilofanya kwenye policies zake akiwa Wizara ya nje?
- Kwenye kampeni za siasa kuchafuana ni kawaida, lakini hukalii kukumbatia ya zamani unasahau unaanza upya, I mean wacha chuki na Waziri Membe, kama ana makosa kwenye policies zake ziseme, lakini ya kampeni za siasa yalishapita sasa yupo kwenye kutawala, onyesha mapungufu yake kiutawala,
- Kitine hana u-senoir wowote ni simply muongo sana na ni mwizi, tena yeye na mkewe, ila kwa vile system yetu ni ya kusameheana ndio maana ana ubavu hata wa kuita wengine wezi, nashangaa mtu makini kama wewe kumuita a proven thief wa hela za wananchi kwamba ni senior, senior wa nini hasa? labda wizi wa hela za wananchi, wananchi wanakufa Muhimbili pale kwa kukosa dawa, wengine wanadanganya na kuiba hela za wananchi hao hao na kwenda nje kufanya shopping, wewe unamuita senior pleaseee!
- Waziri Membe na wananchi wote wa nchi hii wana haki ya kugombea anything, hawa kina Kitine ndio tatizo kubwa sana kwa taifa letu, maana ni majungu majungu tu alipokuwa usalama aliwahi kumakamata nani? PM wewe nakuheshimu sana kwani najua ni mtu makini sana lakini huwa una tatizo sana na mtu yoyote anayetaka uongozi CCM, isipokuwa Lowassa tu, huwa sikuelewi!
William.
Mkuu wacha unafiki na kujipendekeza kama popo kwa kujifanya kila upande uwepo!!
baba yako na mama yako walihongwa millioni200 (source Sophia Lioness/simba ndani ya CC ya CCM) za Jeetu Patel,walishawahi kukana au nao ndio walisema Sophia ni Kingwendu?!!
Kitine hakumtaja Membe kwa jina,je kipi kimemtoa pangoni kama pilipili haimhusu??
kama nyote sio wanafiki na wachumia tumbo basi muite press na mseme KIIKWETE ,ni KINGWENDU maana alisema ana orodha ya wauza unga na hakutaja,alisema wezi wa epa wamerudisha hela pasipokuwataja na pia hela hamna!
willy- me sitaki kuamini kuwa hicho kitambi na cheni zako za shingoni umezipata kwa kuwa popo wa kutetea watu,na kama ndio hivyo basi kazi unayo kwelikweli hadi 2015a!
Nilivyoona Kingwendu nikadhani ni yule Kingwendu Ngwendulile mchekeshaji kumbe kuna Kingwendu Mganga wa Kienyeji kama Manyaunyau! Kabla ya 2015 sijui tutasikia majina mangapi?
Ukisoma taarifa ya Membe pia hakuna mahali alipomtaja Mzee Kitine, na maelezo maelezo ya Membe yalikuwa ni kjibu swali aliloulizwa na waandishi wa habari. Pamoja na kuwa Mzee Kitine hakumtaja Membe katika taarifa yake, watanzania waliowengi hasa wanaofuatilia mwenendo wa siasa za Tanzania wakiwemo wachangiaji wengi wa taarifa hile humu JF walieleza na kuamini wazi kuwa kauli ile ilimlenga Membe na ndiyo maana hata mwandishi wa habari alijiamisha kumuuliza Membe maoni yake kuhusu hizo tuhuma.
Mkuu wacha unafiki na kujipendekeza kama popo kwa kujifanya kila upande uwepo!!
baba yako na mama yako walihongwa millioni200 (source Sophia Lioness/simba ndani ya CC ya CCM) za Jeetu Patel,walishawahi kukana au nao ndio walisema Sophia ni Kingwendu?!!
Kitine hakumtaja Membe kwa jina,je kipi kimemtoa pangoni kama pilipili haimhusu??
kama nyote sio wanafiki na wachumia tumbo basi muite press na mseme KIIKWETE ,ni KINGWENDU maana alisema ana orodha ya wauza unga na hakutaja,alisema wezi wa epa wamerudisha hela pasipokuwataja na pia hela hamna!
willy- me sitaki kuamini kuwa hicho kitambi na cheni zako za shingoni umezipata kwa kuwa popo wa kutetea watu,na kama ndio hivyo basi kazi unayo kwelikweli hadi 2015a!
Joka la mdimu lamsema Kingwendu.
Kusikia sauti ya kufikirika kila wakati ni dalili ya ugonjwa wa akili.
Siasa za bongo!
Kumbe tegemeo lenu ni hili nafiki na jizi ? inamaana gambaz zimeisha ? Kama ndio hivyo bora warudi waingereza au msimamisheni mzenji "Tume ya Katiba" Kama muungano utakuwepoNingekuwa Membe ningekaa kimya hasa katika kipindi hiki kuelekea 2015, membe ni miongoni mwa mategemeo ktk CCM.
Kiranga, Membe naye na hii sauti kila akiulizwa utagombea anasema hajasikia sauti ikimwita! Hivi hii sauti itatoka wapi kwamba akilala asikie sauti akitembea asikie sauti. Nikisoma vitabu vitakatifu huwa nakutana na sauti zikiwaita mitume wakafanye kazi ya Mungu kama vile Sauli alivyoitwa. Sauti kama anayoisema Membe huwa inatoka kwa Mungu kwensa kwa wateule wake ili wamfanyie kazi. Ina maana anasubiri sauti toka kwa Mungu?