Membe amshukia KITINE, amfananisha na "Kingwendu"

Mkuu Pasco,

Kwasasa chaguo la kwanza CCM ni Samwel Sitta,Lowassa na Membe ilikuwa ni muhula wa kwanza wa Kikwete mambo yamebadilika nilidhani na wewe umeshaliona hilo kumbe bado upo usingizini.


Mkuu PM, kwa maoni yangu Membe anatufaa sana kugombea CCM!. Kama wewe unamuona hatufai, nani anatufaa?.

Kwa CCM chaguo langu No. 1 ni EL then akifuatiwa na Membe!.
 
Nafikiri mimi nakubaliana kabisa na Waziri Membe kwamba watu wa aina ya Kitine nivema wakawajibishwa kwa kutoa kashfa zisizo na msingi.Suala la wizi wa Kitine na Mkewe halihitaji maelezo. Liko wazi kabisa. Membe alipoeleza wizi wa kitine na Mkewe hakuficha jina na ndio maana alijiuzulu. Kwa hiyo lazima Kitine awajibike kwa kusema uongo.
 
Kumbe wengine wanaangalia upepo unavumia wapi ili wacheze vizuri karata zao? Sikutambua hilo
 
- Mkuu PM vipi tena Kitine amemuita Membe, mwizi anayeficha hela nje agombee urais nazo, sasa akiitwa kingedu hutaki vipi? Una tatizo na Membe nini mkuu wangu, hafai kwa kosa gani hasa alilofanya kwenye policies zake akiwa Wizara ya nje?

- Kwenye kampeni za siasa kuchafuana ni kawaida, lakini hukalii kukumbatia ya zamani unasahau unaanza upya, I mean wacha chuki na Waziri Membe, kama ana makosa kwenye policies zake ziseme, lakini ya kampeni za siasa yalishapita sasa yupo kwenye kutawala, onyesha mapungufu yake kiutawala,

- Kitine hana u-senoir wowote ni simply muongo sana na ni mwizi, tena yeye na mkewe, ila kwa vile system yetu ni ya kusameheana ndio maana ana ubavu hata wa kuita wengine wezi, nashangaa mtu makini kama wewe kumuita a proven thief wa hela za wananchi kwamba ni senior, senior wa nini hasa? labda wizi wa hela za wananchi, wananchi wanakufa Muhimbili pale kwa kukosa dawa, wengine wanadanganya na kuiba hela za wananchi hao hao na kwenda nje kufanya shopping, wewe unamuita senior pleaseee!

- Waziri Membe na wananchi wote wa nchi hii wana haki ya kugombea anything, hawa kina Kitine ndio tatizo kubwa sana kwa taifa letu, maana ni majungu majungu tu alipokuwa usalama aliwahi kumakamata nani? PM wewe nakuheshimu sana kwani najua ni mtu makini sana lakini huwa una tatizo sana na mtu yoyote anayetaka uongozi CCM, isipokuwa Lowassa tu, huwa sikuelewi!


William.


MKUU WILLY WITH DUE RESPECT ...SIKUELEWI ...UNAWATETEA WATU AMBAO HATA BABA YAKO MZAZI WAMESHIRIKI KUMUHUJUMU.......KWA KIASI KIKUBWA....HAYA TULIYAJADILI SANA HAPA 2006 BAADA YA UCHAGUZI....moja ya ushahidi wa mjadala ni huu chini .....

'' Quote:
1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM ,aliunda timu za aina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake ya uharamia ambayo aliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombea wenzake na mojawapo ni hii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutoka kule Bagamoyo.

Huyu alinunuliwa gari aina ya Nissan patrol ,na ndio mwanzo alitumika kupita kwenye misikiti mbalimbali na kutengeneza mtandao wa kiislamu,ila huyu Gogo ndio alihusika na aliongoza kikosi kilichohusika kumpora mke wa mzee Malecela fedha taslimu zaidi ya milioni mia mbili wakati anatoka dar kwenda dodoma kwa ajili ya kampeni. ENEO LA GAIRO.

Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilango nje kidogo ya mji wa morogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mambo ya ajabu ambayo kwa mtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa "" jmushi

Mkuu willly .......Membe kakufanyia nini...hadi unasahau madhila yote ambayo yeye na kundi lake wamefanyia familia yenu????

Membe hadi sasa hana jambo lolote la kujivunia ambalo amefanyia nchi hii ...kumchagua membe ni kuendeleza uzembe unaoendelea sasa.....,

Hakuna mahali nimeshasema mgombea ninayemtaka ndani ya ccm.....ila kwa kifupi sintakuwa upande wa mtu zezeta...tunahitaji mtu ambaye anaweza ku push maendeleo kwa haraka ....hata ikibidi kwa ukali...ili kufidia hii miaka 10 ambayo ..tunashukuru nchi yetu ni ya amani na demokrasia ...ingekuwa ni west africa wasingevumilia .....hapo south africa kwenyewe ....ANC isingekubali...!!
 
- Mkuu PM vipi tena Kitine amemuita Membe, mwizi anayeficha hela nje agombee urais nazo, sasa akiitwa kingedu hutaki vipi? Una tatizo na Membe nini mkuu wangu, hafai kwa kosa gani hasa alilofanya kwenye policies zake akiwa Wizara ya nje?

- Kwenye kampeni za siasa kuchafuana ni kawaida, lakini hukalii kukumbatia ya zamani unasahau unaanza upya, I mean wacha chuki na Waziri Membe, kama ana makosa kwenye policies zake ziseme, lakini ya kampeni za siasa yalishapita sasa yupo kwenye kutawala, onyesha mapungufu yake kiutawala,

- Kitine hana u-senoir wowote ni simply muongo sana na ni mwizi, tena yeye na mkewe, ila kwa vile system yetu ni ya kusameheana ndio maana ana ubavu hata wa kuita wengine wezi, nashangaa mtu makini kama wewe kumuita a proven thief wa hela za wananchi kwamba ni senior, senior wa nini hasa? labda wizi wa hela za wananchi, wananchi wanakufa Muhimbili pale kwa kukosa dawa, wengine wanadanganya na kuiba hela za wananchi hao hao na kwenda nje kufanya shopping, wewe unamuita senior pleaseee!

- Waziri Membe na wananchi wote wa nchi hii wana haki ya kugombea anything, hawa kina Kitine ndio tatizo kubwa sana kwa taifa letu, maana ni majungu majungu tu alipokuwa usalama aliwahi kumakamata nani? PM wewe nakuheshimu sana kwani najua ni mtu makini sana lakini huwa una tatizo sana na mtu yoyote anayetaka uongozi CCM, isipokuwa Lowassa tu, huwa sikuelewi!


William.

Tutasikia mengi sana hadi 2015,
 
Wakuu someni magazeti, Nipashe leo wameandika kwamba Kitine amekataa kutaja jina la anayemtuhumu na kasema hajui Membe atapambana na nani! Haya huyo ndio Kingwendu, kaombwa ataje jina na yeye kalala mitini. Muongo wa mchana kweupee.
 
Timu ya makampeni ya membe

willy malecela - anaoongoza team ya watu wanaolipwa kuja kumtetea kwenye mitandao ya kijamii
lazaro - kisiasa
 
Membe bwana,anajifanya ana imani malaika watamwambia akagombee urais!kala pesa toka libya ya kujenga kiwanda cha cement
 
- Mkuu PM vipi tena Kitine amemuita Membe, mwizi anayeficha hela nje agombee urais nazo, sasa akiitwa kingedu hutaki vipi? Una tatizo na Membe nini mkuu wangu, hafai kwa kosa gani hasa alilofanya kwenye policies zake akiwa Wizara ya nje?

- Kwenye kampeni za siasa kuchafuana ni kawaida, lakini hukalii kukumbatia ya zamani unasahau unaanza upya, I mean wacha chuki na Waziri Membe, kama ana makosa kwenye policies zake ziseme, lakini ya kampeni za siasa yalishapita sasa yupo kwenye kutawala, onyesha mapungufu yake kiutawala,

- Kitine hana u-senoir wowote ni simply muongo sana na ni mwizi, tena yeye na mkewe, ila kwa vile system yetu ni ya kusameheana ndio maana ana ubavu hata wa kuita wengine wezi, nashangaa mtu makini kama wewe kumuita a proven thief wa hela za wananchi kwamba ni senior, senior wa nini hasa? labda wizi wa hela za wananchi, wananchi wanakufa Muhimbili pale kwa kukosa dawa, wengine wanadanganya na kuiba hela za wananchi hao hao na kwenda nje kufanya shopping, wewe unamuita senior pleaseee!

- Waziri Membe na wananchi wote wa nchi hii wana haki ya kugombea anything, hawa kina Kitine ndio tatizo kubwa sana kwa taifa letu, maana ni majungu majungu tu alipokuwa usalama aliwahi kumakamata nani? PM wewe nakuheshimu sana kwani najua ni mtu makini sana lakini huwa una tatizo sana na mtu yoyote anayetaka uongozi CCM, isipokuwa Lowassa tu, huwa sikuelewi!


William.

William umetumia maneno makali na umekwenda mbali kuhukumu Siyo lazima neno ambalo limetumiwa na mtu mwingine hata kama ni baya na wewe kulitumia.Neno MWIZI ni kali sana. Nafikiri kitine amepitia katika vipindi tofauti kama alivyopitia Mzee Malecela.
Mytake: Ukiishi kwenye nyumba za vioo usirushe mawe kwa walioko nje!
 
Much as ambavyo nitashangazwa na kushtushwa pale mtu anapopinga kwamba mathalan Jaji Warioba, Dr. Salim, Mzee Butiku, Mzee Kaduma, ama Mzee Malecela si ma-senior ndivyo ambavyo vile vile nitashangazwa pale mtu anapopinga kwamba Mzee Kitine si senior kwa kigezo ati ni mwizi. Hivi Nchi hii watu wakianza kuzungumzia waizi ni nani atakayepona ama ni nani atakaye kuwa na ujasiri wa kumtupia mawe mzee Kitine??

Tunarudi kule kule kwenye kauli na matamko unaweza tamka kitu ukakuta kinaathiri kizazi chako cha kwanza hata cha mwisho. Kwa hiyo wizi wa Kitine (kama upo) ndio usio mpa uhalali wa kuwa senior?? Ama wizi huo (kama upo) ndio usiompa Kitine uhalali wa kutaja wezi wengine wa Nchi hii??

William umenishtua sana nawe kuhusisha na kutaja mpaka mke wa Kitine humu kama vile ambavyo jana nimeshtushwa na namna ambavyo watu walikuwa wakichangia thread yako kwa kuhusisha Familia yako very disappointing. Gonga hoja moja kwa moja wake, watoto, sijui marafiki kama tumeamua kufikiri beyond our scope hawana nafasi humu ni sawa na vile ambavyo tunachanganya hoja na mimatusi na kashfa mbali mbali.

Pale juu umekubali mwenyewe kwamba kwenye siasa mambo ya kuchafuana ni ya kawaida, hapa chini unasema tena watu kama kina Kitine wamejawa na majungu sasa nani awezaye kuthibitisha kuwa hayo majungu ya Kitine yaweza kuwa moja kati ya hizo siasa za kuchafuana??

Iwe iwavyo ni lazma ifikie mahali tujue namna ambavyo ushabiki na mapenzi vinaweza kuathiri uzalendo pamoja na utu wa mtu.

MEITINYIKU L. Robinson

- Ohhh my God, looong post lakini empty Kitine na Mkewe wamekamatwa red handed kwamba ni wezi, mawaziri wameondolewa juzi kwa sababu ya ripoti ya CAG, sasa wewe kama una evidence weka hapa waondolewe hao viongozi wengine, tunaongelea FACTS, kwenye case ya Kitine na mkewe zilitolewa FACTS sio longo longo la waziri ana hela nje anataka kugombea urais, mtaje anaanza kugwaya!

- Daamn right, ninatokea kwenye familia ya politics so everything on me is a fair game, do yuo have a problem with that? I don't ndio siasa, ninaita biashara ya utumbo huwezi kuogopa harufu yake unless wewe sio a good politician.

- Majungu majungu ya Kitine, hii sio mara ya kwanza analeta kizaa zaa na majungu, kuna wakati akiwa mbunge asliema mawaziri wezi, akaambiwa na Masilingi awataje akasema amenukuliwa vibaya na media, now here he is again sema jina la waziri hawezi, sasa nini maaana ya majungu in your understanding ya majungu?

- Ni tabia yangu kusimamia haki na ukweli, sio majungu majungu, halafu elewa kwamba ninaingia kwa jina langu kamili so I am very much aware ya the record, ninasema taifa hailwezi kuendeshwa kwa majungu majungu, Kitine ana elimu kubwa kuelewa hilo, ukitoka kwenye mlo kubali tu yaishe lakini sio kuvuruga amani ya taifa na majungu!


William.
 
William umetumia maneno makali na umekwenda mbali kuhukumu Siyo lazima neno ambalo limetumiwa na mtu mwingine hata kama ni baya na wewe kulitumia.Neno MWIZI ni kali sana. Nafikiri kitine amepitia katika vipindi tofauti kama alivyopitia Mzee Malecela.
Mytake: Ukiishi kwenye nyumba za vioo usirushe mawe kwa walioko nje!

- Ndio maana taifa limekwama, ukisema ukweli unatumia maneno makali, mimi sio mwizi kama una evidence weka hapa, what his wife did ni wizi na yeye kujaribu kuwa-bribe kamati ya bunge waimalize ile kesi was the worst, sasa nilidhani utalilia Kitine aende jela, wewe unalilia kulinganisha na baba, sasa unataka na mimi niache kujadili taifa nijadili baba yako, and then what?

- Mkuu usinitoe kwenye subject, Kitine hana usafi wa kumnyooshea anybody na si mkweli records zipo very clear, ni mganga njaa tu! ni lazima apuuzwe cause majungu yake ni hatari sana kwa taifa!


William.
 
huyo kitine naye ni wivu tu...enzi zake yeye hakuweza kuiba kama wenzie wanavoiba sasa...anatafuta umaarufu tu
 
MKUU WILLY WITH DUE RESPECT ...SIKUELEWI ...UNAWATETEA WATU AMBAO HATA BABA YAKO MZAZI WAMESHIRIKI KUMUHUJUMU.......KWA KIASI KIKUBWA....HAYA TULIYAJADILI SANA HAPA 2006 BAADA YA UCHAGUZI....moja ya ushahidi wa mjadala ni huu chini .....

'' Quote:
1.Kikwete wakati anagombea kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM ,aliunda timu za aina mbalimbali ila kwa hapa nazungumzia timu yake ya uharamia ambayo aliiunda, aliunda timu ya kuwafanyia maasi wagombea wenzake na mojawapo ni hii iliyokuwa inaongozwa na mtu anayeitwa Gogo kutoka kule Bagamoyo.

Huyu alinunuliwa gari aina ya Nissan patrol ,na ndio mwanzo alitumika kupita kwenye misikiti mbalimbali na kutengeneza mtandao wa kiislamu,ila huyu Gogo ndio alihusika na aliongoza kikosi kilichohusika kumpora mke wa mzee Malecela fedha taslimu zaidi ya milioni mia mbili wakati anatoka dar kwenda dodoma kwa ajili ya kampeni. ENEO LA GAIRO.

Gogo akiwa na vijana wenzake walimteka mama Kilango nje kidogo ya mji wa morogoro na kumpora fedha hizo na pia kumfanyia mambo ya ajabu ambayo kwa mtu mzima kama mimi siwezi kuyaandika hapa "" jmushi

Mkuu willly .......Membe kakufanyia nini...hadi unasahau madhila yote ambayo yeye na kundi lake wamefanyia familia yenu????

Membe hadi sasa hana jambo lolote la kujivunia ambalo amefanyia nchi hii ...kumchagua membe ni kuendeleza uzembe unaoendelea sasa.....,

Hakuna mahali nimeshasema mgombea ninayemtaka ndani ya ccm.....ila kwa kifupi sintakuwa upande wa mtu zezeta...tunahitaji mtu ambaye anaweza ku push maendeleo kwa haraka ....hata ikibidi kwa ukali...ili kufidia hii miaka 10 ambayo ..tunashukuru nchi yetu ni ya amani na demokrasia ...ingekuwa ni west africa wasingevumilia .....hapo south africa kwenyewe ....ANC isingekubali...!!

- Hapana hili taifa tufike mahali tuchoshwe na majungu majungu, siku zote tunaishia kuwachafua viongozi wazuri kisa majungu majungu tu, tujadili policies za Membe kama waziri kama ni mbovu basi tumhukumu on those lines, lakini sio majungu majungu tu!

- Habari za siasa za baba hazinihusu mkuu, mimi nina siasa zangu na nido hizi kukataa majungu majungu, Membe ana haki ya kugombea Urais akitaka kama wewe na mimi pia tunavyoruhusiwa na Sheria, ninajua for a fact kwamba Viongozi wengi wa sasa walihusika na kampeni za siasa against baba yangu, so what? Kwa hiyo kwa sababu viongozi hawa walihusika na kampeni za siasa against Wapinzani, basi wapenzi wa upinzani wawachukie tu bila sababu?

- Kampeni ni kampeni, sasa ni saa ya kutawala tunasahau na kuwa one thing na kwenda kwa mbele, mimi siwezi kulipwa kumtetea kiongozi yoyote mwizi will never do that, unanijua vizuri sana, lakini siwezi kuja hapa kuanza siasa za visasi na mtu eti kwa sababu aliwahi kusimama kwenye uchaguzi agaiinst baba yangu, please PM jina lako kubwa sana huku JF!

William.
 
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema mtu yeyote anayehitaji kugombea urais mwaka 2015 anahitaji kusikia sauti ikimwambia omba na si kukurupuka.

Membe alisema hayo leo jijini Dar es Salaam, wakati akijibu maswali yaliyoulizwa na waandishi wa habari likiwemo la kutajwa kuwania urais 2015.

Katika mkutano huo uliolenga kuzungumzia msimamo wa Tanzania kuhusu Jamhuri ya Watu wa Sahara Magharibi na Morocco, Membe alisema hajaisikia sauti ikiniambia omba urais ila kwa ubunge aliisikia.

“Mtu yeyote anayetaka kuomba urais 2015 anahitaji kusikia sauti ikimwambia kila saa omba, yani akilala sauti hiyo anaisikia na hata akitembea … kama akikurupuka lazima awe ameteuliwa na chama chake na kukubalika.

“Kwa upande wangu mimi sijaisikia hiyo sauti ikiniambia omba urais ila kwa ubunge niliisikia, hivyo nikiisikia nitawaambia,” alisema.

Akizungumzia tuhuma zilizoelekezwa na mmoja wa viongozi wastaafu nchini kwamba anajenga hoteli nje ya nchi, alisema kuwa aliyezitoa tuhuma hizo hana tofauti na mganga anayedaiwa kutoa uchawi mkoani Lindi aitwaye Kingwendu ambaye amekuwa akitoa habari za kutatanisha.

“Kingwendu amekuwa akipita katika baadhi ya vijiji na kukusanya wananchi na kuwaambia anayeua watoto wenu ni mama mmoja ana macho mekundu, anakaa upande wa kushoto.

“Wananchi huenda kumkamata mzee na kumjeruhi na wanapokamatwa wanadai ni Kingwendu kawaambia wakati yeye Kingwendu akiitwa anasema hajataja mtu jina.


“Katika ngazi ya Taifa tumeweza kuwa na vingwendu wengi, hivyo ni lazima tuwawajibishe watu kama hao vinginevyo wataleta matatizo, kama tunataka kuwa na taifa lenye ustawi lazima tuwabane watu kama hawa wazungumze ukweli,” alisema.

Membe alitaka atafutwe aliyetoa tuhuma hizo na ahojiwe ili aeleze ukweli na endapo atamtaja yeye ndipo ahojiwe huku akisisitiza kwamba kuwepo na vingwendu kutawatesa wananchi hivyo wanapaswa kuwajibishwa

Sosi:
HabariLeo | Membe- Msikurupuke kuwania urais 2015


Kudadadeki walahi:wacko:
 
- Mkuu PM vipi tena Kitine amemuita Membe, mwizi anayeficha hela nje agombee urais nazo, sasa akiitwa kingedu hutaki vipi? Una tatizo na Membe nini mkuu wangu, hafai kwa kosa gani hasa alilofanya kwenye policies zake akiwa Wizara ya nje?

- Kwenye kampeni za siasa kuchafuana ni kawaida, lakini hukalii kukumbatia ya zamani unasahau unaanza upya, I mean wacha chuki na Waziri Membe, kama ana makosa kwenye policies zake ziseme, lakini ya kampeni za siasa yalishapita sasa yupo kwenye kutawala, onyesha mapungufu yake kiutawala,

- Kitine hana u-senoir wowote ni simply muongo sana na ni mwizi, tena yeye na mkewe, ila kwa vile system yetu ni ya kusameheana ndio maana ana ubavu hata wa kuita wengine wezi, nashangaa mtu makini kama wewe kumuita a proven thief wa hela za wananchi kwamba ni senior, senior wa nini hasa? labda wizi wa hela za wananchi, wananchi wanakufa Muhimbili pale kwa kukosa dawa, wengine wanadanganya na kuiba hela za wananchi hao hao na kwenda nje kufanya shopping, wewe unamuita senior pleaseee!

- Waziri Membe na wananchi wote wa nchi hii wana haki ya kugombea anything, hawa kina Kitine ndio tatizo kubwa sana kwa taifa letu, maana ni majungu majungu tu alipokuwa usalama aliwahi kumakamata nani? PM wewe nakuheshimu sana kwani najua ni mtu makini sana lakini huwa una tatizo sana na mtu yoyote anayetaka uongozi CCM, isipokuwa Lowassa tu, huwa sikuelewi!


William.

Heshima kwako william
Hapo ktk red unashauri nini kifanyike ili tuondokane na hilo tatizo, kwasababu wezi tunawafahamu lakini awachukuliwi hatua yeyote! mimi mwananchi wa kawaida unanishawishi vp kuipenda serikali inayotokana na ccm?
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwako william
Hapo ktk red unashauri nini kifanyike ili tuondokane na hilo tatizo, kwasababu wezi tunawafahamu lakini awachukuliwi hatua yeyote! mimi mwananchi wa kawaida unanishawishi vp kuipenda serikali inayotokana na ccm?

- I mean kamati ya bunge iliyomuondoa uwaziri Kitine ilikuwa chini ya Mrema, amabye ni kiongozi wa upinzani sasa kama hata upinzani wanakubali haya CCM ifanye nini?

- Kisheria ile kamati inatakiwa kuwa na uwezo wa kumfikisha kwenye Sheria, sasa kwa nini hawakufanya vile na mwenyekiti alikuwa upinzani?

William.
 
Back
Top Bottom