BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
| ||
|
| ||
|
Hamna la kushangaza kwenye hili. Hapa Membe yuko very smart, anatengeneza Plan B yake. Kama Plan A ikifail, ambayo ni JK na CCM wasipompitisha kugombea Uraisi basi ataingia plan B kujiunga na CDM.
Hii aliifanya hata JK mwenyewe 2005, JK alitishia kuhamia CDM akitoswa na CC, Ben akaogopa, ingawa Ben alikuwa hamtaki JK alikuwa anamtaka Salim, lakini ripoti ya TISS ilionesha JK ndo anapendwa na akihama chama naweza kumeguka.
Its same strategy.
Kasema kama mwanademokrasia na anaamini demokrasia kwani mwenye nguvu ya hoja na zinazokubalika na wananchi ndo anachaguliwa.
Hongera Membe kwa ukomavu wa siasa ulionao.
Kama anamaanisha alichokisema basi ameonyesha ukomavu wa kisiasa. Kama mtakumbuka katika uchaguzi uliomuweka Obama madarakani waziri wa zamani wa mambo ya nje ambaye alikuwa republican (Collin Powel) aliweka bayana kuwa anamsupport Obama. Aliweka national interest mbele ya political party interests.
If you can't fight them, join them - George Bush
He did nice and he has a great thinker for that CHADEMA will win 2015
Ben,
..ungesubiri kidogo kabla ya kutoa pongezi hizi. kumbuka kwamba Membe ni CCM mwanamtandao, na tunajua jinsi kundi hilo lilivyoleta siasa chafu ndani ya CCM na taifa kwa ujumla.
Hakuna kitu hapo cha kumpongeza Membe maana ule ni unafiki tu, kwan kuna tofauti gani kati ya membe na shibuda? Inamana unataka kutuaminisha kuwa hata na Shibuda naye ni shujaa maana vitendo vinafanana na Membe, kama yy ni gamba inabidi afanye yale yanayokubaliana na wenzake , tatizo wana CDM wengi huwa tinatukuza mambo ya kijinga kama haya alfu yakitugeukia na ss tunaanza kulalama, tabia za undimilakuwili kama huu ndio ulinifanya niondoe iman na viongzoi wangu wa CDM kama Zitto kabwe, Shibuda, Yule makamu wa Bavicha, koz sipendi unafiki na wanafiki na ni lazima tuwe tunawasema hadharan pasipo kuogopa ili nao wajijue.
UNAFIKI NDIO ULIMPONZA YUDA KUMSALITI YESU.
Ben,
..ungesubiri kidogo kabla ya kutoa pongezi hizi. kumbuka kwamba Membe ni CCM mwanamtandao, na tunajua jinsi kundi hilo lilivyoleta siasa chafu ndani ya CCM na taifa kwa ujumla.