Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Amesoma alama za nyakati huyo anatengeneza kushoto na kulia wakimzibua huko kwake anasepa anaenda kulia kwenye chama cha ukombozi hakika waliomuona ITV watakubaliana kwamba alimaanisha aliyoyasema
Ni kweli mkuu.Unajua kuna siku nilishambuliwa hapa kwa kuwa nilisema Membe ni miongoni mwa mawaziri wachache wanaotumia Taaluma zao kiweledi.Ni jasiri,ana misimamo na anajua anachokifanya ingawa nina ugomvi nae kwenye sula la kufanyia overhaul sera yetu ya mambo ya nje.Ngoja nitatoa mawazo yangu yatakayowasukuma kuchukua hatua kwa kutoa maoni yangu kwa Wizara kivuliya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa........