Membe Alikoroga CCM, kauli yake ya CHADEMA kushika dola yamponza

Sasa walitaka aseme uongo?

ccm ukisema ukweli unakuwa adui ndani ya chama. ccm wanachokiaminin zaidi ni uongo

Making a mountain out of nothing. He expressed his views to which he is entitled. His freedom of speech should be respected.

Kasema kama mwanademokrasia na anaamini demokrasia kwani mwenye nguvu ya hoja na zinazokubalika na wananchi ndo anachaguliwa.

Hongera Membe kwa ukomavu wa siasa ulionao.

Ameongea mambo ya msingi kabisa,na ametushauri vizuri kabisa, sasa nyinyiemu mjiandae sasa. Yan nap umenyamaza hadi muda huu! Kweli kuna watu hawagusiki kule nyinyiemu.
Haya yote mnayayoyasema na kuyasifia, katumia demokrasia, kasoma alama za nyakati n.k n.k Yangesemwa na Mwana Chadema kama Shibuda. Mngeshabadili kauli hapa, Mnafiki, Msaliti...... n.k n.k kila la kheri

 
kauli nzuri hizi,hongera baba kwa kusoma alama za nyakati,cha msingi ikane nafsi yako jivue gamba sasa hv ili upate utakaso mapema tuanze safari ya ukombozi wa nchi yetu iliyotekwa na haya manyang'au ccm.Pipoooooooz!!!!
 
Shibuda alipotofautiana na Chadema,CCm walishangilia wakisema aachwe kwani kutoa amwazo ni
haki ya kila raia.Sasa mbona hapa kwa Membe wanaanza kigugumizi?Ukweli mimi binafsi namkubali
sana huyu jamaa,hata ukiona akiongea hayuko kishabiki kama wenzake bali yeye yuko kitaifa zaidi.

Hahahahahahaha Membe mjanja sana. Big up
 
Agree with Membi, CDM tunatakiwa kuwafikia watu wote wa rural Areas..
 
Siasa ni jinsi unavyopanga karata zako. Membe ameangalia mbele akaona ni vyema akayasafisha mapito yake kisiasa. Ukweli ni kwamba sisi m wameshindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi kwa zaidi ya miaka 50, lakini hawataki kusema ukweli.
 
Emma Nzungu kumbe siku izi ni mtu mkubwa hivyo, i know him ,he is just another fat cabbage
 
membe kashaona ccm hamna chake kwa hiyo mmuache wakati anapima upepo jinsi ya kujiunga chadema..
ccm inaelekea kaburini sasa muda si mrefu
 
Nadhani tatizo hapa ni vita za makambi ya urais kwa 2012 wala sio jambo lingine lolote. Nasema hivo kwa sababu kwenye siasa kuna unafiki mwingi sana. Sasa, hapa ninachokiona ni kambi moja inatafuta sababu za kummaliza huyu Mh. ili achukukiwe na wanaCCM wenzake na hivyo lengo lao la kumpunguzia uungwaji mkono ndani ya chama chake lifanikiwe. Kimsingi alichosema huyu Mh. Membe sio kitu kigeni kwani kwenye siasa. Mtu anakuwa rafiki ya mkubwa mchana, ifikapo usiku ni adui yako mkubwa.
 
Goodbye rafiki yangu Membe, nilidhani unaweza ukawa hata namba nne kwenye kura za maoni 2015 kupitia CCM, sasa hata Kamati kuu hutopita, nimeumia sana lakini sina jinsi, KWAHERI rafiki yangu, sio KOSA langu, ni wewe kwa kutokushirikisha Halmashauri ya Kichwa chako. bye! nimekutapika.
 
Back
Top Bottom