Membe 'aitesa' CCM, wanachama wajipanga 'kumrudisha' chamani kwa namna yoyote

Sisi sio wajinga bwashee,
Membe Alishasema hawez kuomba Msamaha "Bora ufe umesimama kuliko kuishi huku umepiga magoti"
.
Na ata hivyo Jiwe mpenda Sifa angekwisha weka huo msamaha hadharani Kama ilivyokua kwa Nape
Hivi nape yuko wapi! Mzee wakupigania chama.
 
Mzee wetu Mangula anaendeleaje??
Vipi Mambonow amefikia wapi kwenye uchunguzi baada ya zile taarifa za sumu??

Isije kuwa waliompima walijichanganya badala ya kubaini Virusi vya Covid-19 wakaona ni sumu....!!Sifa moja kubwa ya Corona ni kushambulia watu wenye UMRI MKUBWA kama Mzee Mangula!!
 
Katika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.

Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.

Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.

Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.

Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)

Wewe ndo unamtajataja sasa unataka asikike, sasa hivi tunahangaika na korona na uchumi kuwa na shida swala la membe huenda wewe ndo unanufaika nae ndo maana unamtaja.
 
Katika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.

Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.

Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.

Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.

Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Mie nimezingatia hilo la kuwa makini na Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe hawezi kufukuzwa ki ajabu ajabu namna ile, Membe ni Presidential figure!! CCM tusifanye makosa tumwangukie arudi kundini kwa mustakabali wa umoja wetu.
 
Pigeni kelele za kipumbavu alafu muda unakwenda mbio. October mkipigwa za uso muanze kulialia mara tume haikuwa huru,mara polisi waliiba kura, mara mlivunjwa mikono hamuwezi kuandika.
Wenzenu tayari walisha maliza maana siku hizi ni vitendo tu,vituo vya afya 400+,hospital za wilaya 60+,Sgr,JNHHP n.k
Nyinyi mmebaki na ngonjera za kishamba.
 
Katika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.

Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.

Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.

Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.

Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
 
Hizi zote siasa chafu.... sikulizungumzia hili ili leo nimepata wasaa kidogo kudodosa mambo.

Propagandists wa kudumisha siasa chafu na ku-deceive the wananchi
2015 - Lowasa
2020 - Membe

Soma zaidi kuhusu Joseph Goebbels na alichokuwa anafanya kuhusu kukidumisha chama cha NAZI kule Ujerumani itakuongezea lens ya kuona mambo as they are being mended.
 
Katika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.

Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.

Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.

Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.

Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Habari Kama hizi ndizo ambazo zinaendelea kumweka pabaya comrade Membe...
 
Membe atapigwa na fimbo ya MONEY LAUNDERING kisha ataandika barua kuomba msamaha na baada ya hapo atarudi ccm rasmi.

Sent using Soviet T-72 Main Battle Tank
 
Hiyo ni ngojera na mambo ya vijiweni, kudanganya kwingiii!

Nje ya CCM, kiongozi nchini ni sawa na samaki nje ya maji.

Asingefukuzwa angekuwa na kiasi fulani cha nguvu ya ushawishi. Maadam amefukuzwa kwenye chama ni yeye binafsi anaweza kuomba msamaha kupitia vikao husika vya chama.
CCM mnajifanya mna hati miliki ya Tanzania...!
 
Back
Top Bottom