Wamehamisha magoli.... Wanataka tuamini atanuka kwa kurudishwa chamani.
Wakamuulize alivokuwa mdogo kama pumba ya mchele
Wamehamisha magoli.... Wanataka tuamini atanuka kwa kurudishwa chamani.
Hiyo ni ngojera na mambo ya vijiweni, kudanganya kwingiii!
Nje ya CCM, kiongozi nchini ni sawa na samaki nje ya maji.
Asingefukuzwa angekuwa na kiasi fulani cha nguvu ya ushawishi. Maadam amefukuzwa kwenye chama ni yeye binafsi anaweza kuomba msamaha kupitia vikao husika vya chama.
Do you think that will ever happen in CCM? Lakini sio vibaya kuzipooza nafsi. Kufikiria ni kitu chema hata kama tunachofikiri hakitakaa kuja kutokea tukiwa haiHapa sio ishu ya umaarufu bali ni mahitaji ya nyakati, halafu kumbuka Membe sio Lowassa japo wote ni makada maarufu..
Jr
Membe tulishamng'oa meno na kumkata mkia. Hana tena ubavu wa kumsumbua mlala kwenye maweKatika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.
Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.
Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.
Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.
Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)
Ila Lowasa alikuwa na ushawishi kumzidi Membe. Afterall Membe simuoni kama anauweza huo uraisHapa sio ishu ya umaarufu bali ni mahitaji ya nyakati, halafu kumbuka Membe sio Lowassa japo wote ni makada maarufu..
Jr
Currently E. L is a walking Coupe in green light.....Sidhani kama Membe anamzidi Lowassa kwa umaarufu ndani ya CCM!
Membe ni dhaifu. Kwanza alivuruga sana chama. Ukitaka kujua nguvu ya Lowasa ni kuwa hata mwenyekiti jk alipotaka kumbeba Membe kwenye kura za maoni bado alifeli.Hapa sio ishu ya umaarufu bali ni mahitaji ya nyakati, halafu kumbuka Membe sio Lowassa japo wote ni makada maarufu..
Jr
Muda bado. Kwa sasa gazeti la Chadema Tanzania daima bado liko bize kumuuza kwanza.Wakimrudisha watakuwa wamemjenga sana kisiasa na hilo nadhani ndiyo linawatesa sana. Membe naye amecheza karata zake vizuri kwa kutokurupuka na kufanya maamuzi yoyote huenda waliomfukuza walitegemea ataenda upinzani ila kwa kukaa kimya na kutoonyesha move yoyote inawatesa sana.
Membe kaachiwa Lowasa na Rostam. Ndio maana Rostam alifanya press baada ya Membe kutangaza nia.Jiwe hawezi kupigana vita mbili kwa wakati mmoja,yaani huku chadema huku membe.lazina moja itawa shinda.
Ccm itaondoka madaraka siku corona ikituondolea watu wenye akili Kama hiziPigeni kelele za kipumbavu alafu muda unakwenda mbio. October mkipigwa za uso muanze kulialia mara tume haikuwa huru,mara polisi waliiba kura, mara mlivunjwa mikono hamuwezi kuandika.
Wenzenu tayari walisha maliza maana siku hizi ni vitendo tu,vituo vya afya 400+,hospital za wilaya 60+,Sgr,JNHHP n.k
Nyinyi mmebaki na ngonjera za kishamba.
Hii corona ingekuwa inaakiri ingetufagilia wanaccm woteHilo lichama limebakiza muda tu life ni suala la muda tu .
Katika hali ya kushangaza na kushtua, aliyekuwa kada wa CCM Benard Membe bado ameendelea kuwa mwiba mkali ndani ya CCM kwa kugawanya makada ndani ya CCM. Membe ameendelea kutajwatajwa kwenye vikao vya kichama na kati ya makada binafsi pamoja na kufukuzwa kwake ndani ya CCM.
Membe anatajwa chamani kama kiungo muhimu wa Umoja, mshikamano na maridhiano ndani ya chama na karata muhimu ya CCM kwa siasa za Kusini. Makada waandamizi ndani ya CCM wanapishana na kutofautiana (kama walivyopishana na kutofautiana Wajumbe wa Kamati ya Maadili) kuhusu adhabu aliyopewa Membe ya kufukuzwa uanachama.
Benard Membe alifanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM chini ya Komredi Mangula jijini Dodoma na baadaye kufukuzwa uanachama wa CCM na Kamati Kuu ya Taifa ya CCM iliyo chini ya Dr. J.P. Magufuli. Tangu afukuzwe uanachama, Membe amekuwa kimya na ukimwa wake unaumiza viongozi na wanachama wa CCM.
Katika kuchagiza kutofautiana kwa msimamo baina ya makada waandamizi wa CCM, makada maarufu wamejipanga kuhakikisha kuwa Membe anarejea CCM kwa namna yoyote ile. Tayari nyaraka mbalimbali za kichama zimeshaandaliwa na kuwasilishwa kwenye mamlaka mbalimbali chamani kufanikisha mpango huo. Mambo yanaanza kunoga chamani.
Tuwe makini na ugonjwa wa Corona!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha, Tanzania)