Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 190
Viongozi wote na polisi, majeshi yote na ambulances wamekusanyika mjini Zanzibar kuna hatari ya ajali za kugongana katika mji
Nimesikia pia, na inasemekana ilikuwa na abiria zaidi ya hao. Hakuna nchi ya ajabu kama Tanzania, tuna laana ya kuchagua chama chenye laana, ajali hizi zinatokea hakuna hatua madhubuti zinazochukuliwa kuzuia ajali hizi, na kwa hakika chini ya serikali hii tutakufa kama njugu kama tusipojisalimisha chini ya mwenyenzi MUNGU.
Ndio inazama sasa hivi Meli ya Sea Gull, meli zingine zimetoka nduki hapa kwenda kuokoa katika maeneo ya Chumbe mbele kidogo ya mji wa Zanzibar
Ndo nini hiki.La Hawla Wala Quwata Ila Billahi LaAliyu La Adhyim.
hujui kwenye siasa ndo wengi tunashinda huku!
Waandishi wa kibongo wavivu sana.halafu utashangaa kesho vyombo vya habai vinatumia picha ile ile ya mwaka jana halafu ya meli iliozama huko brazil
Ni ya abiria au mizigo?