Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,116
Meli kubwa ya kifahari duniani AZAMARA CRUISE yatua Dar na watalii 600 kutoka Marekani, Japan, China, Taiwan na Uingereza.

Meli hiyo imetia nanga kwenye gati jipya la kisasa lililoboreshwa ambalo ni sehemu ya maboresho yanayoendelea Bandarini.



 
Karibuni watalii kwenye Bandari ya salama.Watatuelewa tu siku moja mabeberu...
 
Kwa picha hii tutajuaje kama hapo ni Dar es Salaam Mkuu, embu jiongeze
 
hako kapicha kamoja ka google unadhani ndio utaniaminisha
 
Tunaishukuru awamu ya tano kwa kuileta hii meli
Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…