06 August 2023
UWEKEZAJI KATIKA MELI MIREMBE JUDITH KUCHOCHEA MATUMIZI YA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Meli yenye uwezo wa kubeba makasha 600 iliyobatizwa jina MIREMBE JUDITH inayomilikiwa na kampuni ya kitanzania itakuwa inafanya kazi ya transhipment baina ya bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar
Video courtesy of Global TV online
Ujio wa meli hii utachangia kuongezeka kwa ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam kwa kuondoa msongamano wa makasha yanayoshushwa na meli kubwa kwa makasha yaendayo Zanzibar.
Pia itaongeza idadi ya meli kubwa zenye makasha yaendayo Zanzibar ambayo yatashushwa bandarini Dar es Salaam. Mizigo mingine ya makasha ya Zanzibar yaliyobebwa ktk meli kubwa imekuwa ikishushwa bandari ya Lamu Kenya.
Ujio wa meli hii ya Mirembe Judith itafanya safari ya makasha kuwa fupi kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Mkurugenzi wa bandari ya Dar es Salaam Bw. Mrisho Mrisho akizungumzia ujio huo ameongeza kuwa huo uwekezaji huo wa mtanzania ktk meli unaendana na mkakati wa bandari kuongeza ufanisi na idadi ya meli kubwa za transhipment kutia nanga katika bandari hii ya Tanzania.
Photo: Mirembe Judith vessel courtesy of marinetraffic.com
Kwa muda wa miezi mitatu mjadala kuhusu jinsi ya bandari za Tanzania zinavyoweza kuongeza ufanisi, wingi wa mizigo, makasha, idadi ya meli umekuwa ukiendelea na uchambuzi wa aina gani ya uwekezaji mchanganyiko unaweza kuongeza kwa ujumla wake wateja kutumia bandari za Tanzania.
The vessel MIREMBE JUDITH (IMO: 9141900, MMSI 677026000) is a Container Ship built in 1996 (27 years old) and currently sailing under the flag of Tanzania.
MIREMBE JUDITH is a Container ship built in 1996 by HAKATA SHIPBUILDING - IMABARI, JAPAN. Formerly was sailing under the flag of Panama. Formerly also known as ACACIA LAN, ACACIA LAN, CONFIDENCE, TIGER SPRING, EAGLE CONFIDENCE. It's gross tonnage is 5658 tons.
UWEKEZAJI KATIKA MELI MIREMBE JUDITH KUCHOCHEA MATUMIZI YA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Meli yenye uwezo wa kubeba makasha 600 iliyobatizwa jina MIREMBE JUDITH inayomilikiwa na kampuni ya kitanzania itakuwa inafanya kazi ya transhipment baina ya bandari ya Dar es Salaam na Zanzibar
Video courtesy of Global TV online
Ujio wa meli hii utachangia kuongezeka kwa ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam kwa kuondoa msongamano wa makasha yanayoshushwa na meli kubwa kwa makasha yaendayo Zanzibar.
Pia itaongeza idadi ya meli kubwa zenye makasha yaendayo Zanzibar ambayo yatashushwa bandarini Dar es Salaam. Mizigo mingine ya makasha ya Zanzibar yaliyobebwa ktk meli kubwa imekuwa ikishushwa bandari ya Lamu Kenya.
Ujio wa meli hii ya Mirembe Judith itafanya safari ya makasha kuwa fupi kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar.
Mkurugenzi wa bandari ya Dar es Salaam Bw. Mrisho Mrisho akizungumzia ujio huo ameongeza kuwa huo uwekezaji huo wa mtanzania ktk meli unaendana na mkakati wa bandari kuongeza ufanisi na idadi ya meli kubwa za transhipment kutia nanga katika bandari hii ya Tanzania.
Photo: Mirembe Judith vessel courtesy of marinetraffic.com
Kwa muda wa miezi mitatu mjadala kuhusu jinsi ya bandari za Tanzania zinavyoweza kuongeza ufanisi, wingi wa mizigo, makasha, idadi ya meli umekuwa ukiendelea na uchambuzi wa aina gani ya uwekezaji mchanganyiko unaweza kuongeza kwa ujumla wake wateja kutumia bandari za Tanzania.
The vessel MIREMBE JUDITH (IMO: 9141900, MMSI 677026000) is a Container Ship built in 1996 (27 years old) and currently sailing under the flag of Tanzania.
MIREMBE JUDITH is a Container ship built in 1996 by HAKATA SHIPBUILDING - IMABARI, JAPAN. Formerly was sailing under the flag of Panama. Formerly also known as ACACIA LAN, ACACIA LAN, CONFIDENCE, TIGER SPRING, EAGLE CONFIDENCE. It's gross tonnage is 5658 tons.