idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Bwana Mdogo tena nitake radhiBwana mdogo huishi maswali magumu
Bwana Mdogo tena nitake radhiBwana mdogo huishi maswali magumu
Vyama vya wafanyakazi ni kutetea maslahi ya wafanyakazi sio kuwa sehemu ya mipango ya serikali..Tamko lao lilipaswa kuwa changamoto zao au yale yaliyo ndani ya uwezo wao
Ukisema mishahara juu wakati mtoaji mwingine inatatanisha
Kwamba wakisema lazima atatekeleza?
Hapo sasaSijamwelewa mtoa mada, Ina maana hotuba ya rais ifahamike kwa waandamizi wake wote? Sasa kama wafanyakazi wangefahamu mapema hakuna nyongeza ya mishahara umuhimu wa hotuba ya rais ingekuwa Nini?
Mapichapicha gani?Sir Magufuli the hero, ndiye alikuwa rais mwenye maono, mwelekeo sahihi na misimamo. Kwake ilikuwa rangi either ni nyeusi au nyeupe. Hakukuwa na mapichapicha kama haya.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Na kuiba liveSisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Watanzania wamezoea kuguswa guswa migongoni. mambo ya screen saver na kuchekewa kwa sana! Wanaamini uongozi ni kuimba taarabu. Sasa wanaimbiwa na kuachwa walivyo.Sisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Furaha yao ni kwamba hawajafokewa!WAtanzania wamezoea kuguswa guswa migongoni. Wanaamini uongozi ni kuimba taarabu. Sasa wanaimbiwa na kuachwa walivyo.
Utavaa vicheko?Tucta waseme,jenista aseme
Ss Samia angekuja na mpya gani?.
ila leo walau hatujafokewa
Mkuu inaonekana umeumia sana kutoongezwa mshahara! Pole, jikaze!Mwakani mtaambiwa nyongeza haipo kwa sababu pesa imeelekezwa Mtwara kupambana na magaidi kutoka Mozambique
mmelishwa matango pori na kigogoNa kuiba live
Kwani mama samia haja chana live? Mmekalia kutafuta makisa na hamyapati bora hata yeye kaongea kwa busara bila kejeliSisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Hii hoja naiunga mkono kwa asilimia mia, nabii hakubaliki nyumbaniSir Magufuli the hero, ndiye alikuwa rais mwenye maono, mwelekeo sahihi na misimamo. Kwake ilikuwa rangi either ni nyeusi au nyeupe. Hakukuwa na mapichapicha kama haya.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app