JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,393
- 9,665
Duh. Itabidi aondoke tu. Hakuna namna.Rais akiamua kukaa kimya ofisini mpaka 2025 hatamaliza muhula wake?
Duh. Itabidi aondoke tu. Hakuna namna.Rais akiamua kukaa kimya ofisini mpaka 2025 hatamaliza muhula wake?
Magu alishaongeza tena pesa ndefu.Akumbukwe kwa lipi ndugu?
Utekaji?
Kupoteza watu?
Kuleta wasiojulikana?
Kuongeza mishahara Mara dufu?
Au kwa lipi ndugu?
Kwa kujenga mabarabara?madaraja?
Raisi yupi aliepita hakujenga?
Au wewe nitajie rais yupi hakuongeza mishahara?maana marais wote waliopita walishaongeza.Kasoro Samia tu.
Kupunguza kodi sio kuongeza mshaharaMimi nadhani Waziri Mhagama ndio hakuelewa kuwa kupunguzwa kwa kodi ni njia mojawapo ya kuongeza mshahara. Alitakiwa alifafanue hilo kwa Viongozi wa wafanya kazi mapema kwani wao wamezoea kuambiwa mshahara umeongezeka kwa kiwango fulani!! Jenista ndio kalikoroga hapo, upeo wa mawaziri wetu na watendaji wengi ni mndogo hivyo kuelewa concept ya coordination itachukua muda!! Wamezoea kila mtu na MUHOGO wake!
Walitakiwa kusema maslahi juu sio kuwa specific kwamba mishahara juuVyama vya wafanyakazi ni kutetea maslahi ya wafanyakazi sio kuwa sehemu ya mipango ya serikali..
Asipo leta katiba atakuja kuwa Rais dhaifu zaidi toka tupate uhuru
Bunge la Katiba lilikwisha maliza kazi yake, iliyobaki ni sehemu ndogo katika ile rasimu ya Warioba ambayo inaweza kumalizwa na wataalam wachache!! Tutakuwa nchi ya wehu kama tutakubali kutumia mabilioni ya fedha kurudia zoezi lililokwisha fanywa kupata maoni ya wananchi!!Hiyo ni biashara kichaa! Yaani watu wapige tena mabilioni ya Bunge la Katiba kisha wasusie vikao vyake?
Bunge la Katiba lilikwisha maliza kazi yake, iliyobaki ni sehemu ndogo katika ile rasimu ya Warioba ambayo inaweza kumalizwa na wataalam wachache!! Tutakuwa nchi ya wehu kama tutakubali kutumia mabilioni ya fedha kurudia zoezi lililokwisha fanywa kupata maoni ya wananchi!!
Mwananchi mimi nilishapoa.. Pole kwako pia.. na kwani mimi nilikwenda wapi?usharudi ? pole kwa msiba
nilisikia umeenda ChatoMwananchi mimi nilishapoa.. Pole kwako pia.. na kwani mimi nilikwenda wapi?
Ukasikia uko ulipo mkoani kwako!!!.. Endelea kusikia.. running langu lilikuwa kazini wakati ule..nilisikia umeenda Chato
WEWE NDO HUFAI KTK TAIFA HILI...huna mchango wowote labd kwny familia yakoHakulifaa Taifa hili