Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Katiba gani hiyo kwani hatuna katiba. Ukorofi tuùuuAsipo leta katiba atakuja kuwa Rais dhaifu zaidi toka tupate uhuru
Katiba gani hiyo kwani hatuna katiba. Ukorofi tuùuuAsipo leta katiba atakuja kuwa Rais dhaifu zaidi toka tupate uhuru
Nyongeza ya mshahara ina positive effect kwenye pension ndugu.Nyongeza ni muhimu kuliko poshoKupandishwa mshahara ni kuongezeka kwa take home pay ambayo inaweza kuongezwa kwa kupunguziwa kodi. Je wafanyakazi hawajapunguziwa kodi Ingawa kidogo?
USA hakuna demokrasia kule weusi kila siku wanapigwa shaba na policeIn USA millions died on the road to democracy..it is also the same to UK, Germany, Russia etc..
Actually iko hivi...
Kutoka Kwa Ben hadi JK walipunguza kabisa
Centralized government...
Wafanyakazi wachache hasa walimu
Na serikali kuu ndo walikuwa wanapata nyongeza ya kila mwaka kuanzia July..
Wakati Wengine hasa wa mashirika waliweka
Utaratibu wao.. mostly ilikuwa kila January..
Magufuli akaja kubadili nowadays watumishi wa mashirika hawana tofauti na walimu.
Mfano shirika kama NHIF wanapeleka makusanyo yote serikalini na wakipanga bajeti yeyote hata ya kuongeza Tu allowances
Inabidi waombe kibali na waombe hiyo bajeti serikali kuuu.... Shida imeanzia hapa...
Mfano we ni mstaafu wa NHIF baada ya miaka miwili kuanzia sasa bado na wewe unasubiri serikali kuu iweze kua approve increment zako zote za miaka 6 iliyopita ili uweze kustaafu ..ingawa NHIf wala haina shida ya pesa kukurekebishia... Magufuli alitoa hizo power Kwa taaasisi na mashirika ya serikali kujiendesha...so hata mfanyakazi wa TRA .
Na yeye Jana alikuwa anasubiria 'tamko'..
Kikwete aliweka utaratibu wa nyongeza za kimya kimya bila matamko...unless shirika au taasisi inaitegemea serikali 100 Percent..
Siku hizi kila shirika au taasisi kila kitu hadi
Wapewe go ahead..
Now Samia nna uhakika hata hajui how deep
Hii kitu ilivyo...
Kama ni hali ya uchumi why isingetoka go ahead Kwa taasisi na mashirika ambayo yako healthy kurekebisha hata hizo increment kwanza?..
Samia naamini Jana alizungumzia zaidi serikali kuu...
I concur!Asipo leta katiba atakuja kuwa Rais dhaifu zaidi toka tupate uhuru
Watanzania wengi sio watu wa kufanya analysis kiwango kama hivi.USA hakuna demokrasia kule weusi kila siku wanapigwa shaba na police
UK nchi la kifalme hakuna demokrasia napo
Russia napo hakuna demokrasia kabisaaa Putin anaitawala Russia kwa mabavu na mpinzani wake kisiasa kamfunga hahahaaaa
Tanzania well Magufuli alikuwa ni Rais aliyependa maendeleo alifanya vingi na hapa anayepinga ni mpumbavu tu nchi haiwezi kuendelea kwa watu kulalamika lalamika wapige kazi tu
Rais samia Sina shida nae hizi ni siku chache mno watu kumpima uongozi wake ameshaonesha ana nia njema na Tanzania twendeni nae naye anataka kutengeneza legacy yake kitu ambacho ni jambo jema kwake
Na tatizo kubwa la mbongo hapendi kuambaiwa ukweli! Anapenda kuongopewa!!Sisi yetu ni kusema 'mtanikumbuka'
uzuri wa JPM alikuwa anachana live
Kwakweli baada kifo cha mwendazake ilitakiwa uchaguzi ufanyike tupate kiongozi mpya hii hali ya leo imesikitisha sanaFuata katiba acha kujinyima
Fuata katiba acha kujitoa ufahamuKwakweli baada kifo cha mwendazake ilitakiwa uchaguzi ufanyike tupate kiongozi mpya hii hali ya leo imesikitisha sana
Mapema Sana wakati anaapisha wateule wake wa Mwanzo Rais Samia alisema kuna tatizo kubwa la Coordinations serikalini...
Leo nimeona hili tatizo kati yake Rais na waziri wake Jennista Mhagama...
Na lack of coordination Kwa ujumla kutoka IKulu kwenda chini Kwa watu Wengine ..
Kama Samia alikuwa anajua haiwezekani kupandisha mishahara leo alipaswa kuwaweka wasaidizi wake mapema ili waweze 'kuwaandaa watu kisaikolojia'mapema...
Ajabu leo wafanyakazi wameaminishwa kuna 'tamko'linakuja na hata waziri Jenista Mhagama alishadadia kabisa kuwa Leo kuna 'tamko'..
Hotuba za vyama vya wafanyakazi naamini IKulu ilizipata mapema na hata arrangements za leo walishirikiana kati ya serikali na Viongozi wa wafanyakazi..
Serikali ingeweza kabisa kuwaeleza mapema kuwa mishahara mwaka huu ni ngumu lakini mwakani itawezekana..
Hii ingepunguza 'expectation kubwa 'iliyokuwepo leo..na hali ya 'dissapointment' baada ya hotuba...
Nimejiuliza je Jesnista Mhagama alikuwa hajui Rais hatapandisha mishahara leo?
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi?..
Serikali ina vyombo vyake vya Ku leak taarifa kusudi..ili kupima upepo au kuwaandaa watu kisaikolojia...Leo mbona
Imekuwa tofauti?
Kama vile aliekuwa anajua kuwa mishahara haipandi Leo ni Samia peke yake...wakati kila mtu akiwemo waziri Jenista Mhagama walikuwa wana expect mishahara kupanda leo .tatizo lilikuwa wapi??
Samia ameanza kuwa 'anaogopwa'?
Kuna ukuta Kati yake na wasaidizi wake?
Kingine ilikuwaje Rais aseme hata yeye anakatwa kodi wakati haipo hivyo?
Mawaziri ,wabunge ,Ma Dc ma RC wameanza kukatwa kodi??..
Mbona kama Rais kaanza kuwa 'mkiwa'mapema? Kama wanaotakiwa kumsaidia hawamsaidii why asiwafukuze haraka?..
Nani kakudanganya kwamba katiba inafuatwa njii hiiFuata katiba acha kujitoa ufahamu
Ukiona chat inaongelea katiba juwa huyo ni mfuasi wa chadema. Wamekaririshwa hivyo.Katiba ya chadema ilichakachuliwa kipengele cha ukome. LISSU anajua lakini hawezi fungua domo lakeWe acha mchezo, kwani katiba ndiyo imesababisha tusipate tamko? Watu tunataka nyongeza ya mishahara bwashee, hakuna anayekula katiba.
Usitegemee hilo.Mama sasa hivi focus ni miaka yake tisa ya awamu ya sita. Katiba mfuateni mliyekubaliana nayeI concur!
Legacy ya Rais Samia ni Katiba ya Warioba. Alete hii mengine tutafanya wenyewe.
#MamaAsiachweAdeke
Usitegemee hilo.Mama sasa hivi focus ni miaka yake tisa ya awamu ya sita. Katiba mfuateni mliyekubaliana naye
Ukiona chat inaongelea katiba juwa huyo ni mfuasi wa chadema. Wamekaririshwa hivyo.Katiba ya chadema ilichakachuliwa kipengele cha ukome. LISSU anajua lakini hawezi fungua domo lake
Usiwe mjinga kiasi hicho. Dicteta aliwapumbaza kwa Ujinga wenu akiwahadaa kuwa uchumi umekua na anatumia Pesa za ndani kujenga miradi wakati linakopa kwa wazungu.
Hotuba ya Mh Samia imesema uchumi umeshuka wew Kibwetele uwe makini usikurupuke tuu kuandika.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa alilipa deni lake lote kupitia mwajiri wake kabla hata ya marekebisho ya Sheria yaliyoleta retention ya 6%. Lakini cha ajabu wamemdai retention amount mara 5 ya kiasi wanachodai hajakilipa wakati amewapelekea copy za salary slips zikionyesha alivyoanza na kumaliza kukatwa na mapengo waliyoyafanyia doubt. Bado wanasisitiza awasiliane na mwajiri wake. Angekuwa sio mtunza kumbukumbu mzuri ingekula kwake.Tatizo watu mlikuwa mna yenu mliyotaka kuyasikia kwa mama, kuondolewa 6% ya heslb, PAYE kupunguzwa kwa 1% hilo si neno? Acheni ujinga wenu Rais hawez kumridhisha kila mtu ila angalau ameleta mwanga kuliko marehemu JIWE.
hiyo 6% isikie tu kwa jirani kama ingeendelea hivyo ungekukuta unastaafu utumishi wa umma na deni la heslb unalo
Umeandika nini hapa mkuu.Tatizo letu watanzania ni kuropoka ovyo.tumepewa na tumeruhusiwa kusema lolote ili mradi tusivunje sheria.sasa hakumaanishi useme au uandike bila ya kuyapima.Sasa huyu mleta mada kapewa uhuru kamili wa kuandika anachokiona badala yake ETI anamshauri Mama Mh.Rais nini cha kufanya.
Mh.Rais wa awamu ya sita ni mkweli na muwazi.Tubadilike tumedanganywa miaka 6,na wote tulifyata mkia.tunasema kwa woga na kunonengezana.vyuma vimekaza.sasa tumejaaliwa Rais Mkweli na Muwazi tunaanza tabia zetu za kujifanya tunajua sana.keshatuahidi mwakani mambo ya mishahara yatarekebishwa hamtaki.tumedanganywa miaka 6 mmenyamaza kama waliopakwa super glue midomoni,mwaka mmoja tu mnalalama.
Acheni hizo.Kama huna cha kuandika bora unyamaze.Wananchi takriban wote Tanzania nzima wamefurahishwa na hotuba ya Mh.Rais Leo.Mama keep it up.UGANDA WANAKUTAKA PALE MAKERERE UNIVERSITY UKAWANOE KUHUSU UCHUMI NA MAENDELEO YA WANANCHI.WANAOMBA KUPATA KIONGOZI KAMA WEWE.