Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,076
- 7,855
Leo mida ya saa nane kamili (14:00 EAT) Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete atakuwa na mkutano na waandishi (wachache) wa habari Ikulu. Ajenda kuu ikiwa ni kuongelea uongozi wa nchi chini yake ndani ya miaka miwili.
Nitakuwepo? Sijui, ndo naelekea huko. More info to follow...
Nitakuwepo? Sijui, ndo naelekea huko. More info to follow...