Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Wanabodi,

Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.

Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.

Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.

Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .

Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.

Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.

UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.

Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.

Paskali
PASCHAL MALLAYA NDIO MBONA TUNA MEDIA NZURI TU MFANO JF TBC CLOUDS NA NYINGINE NYINGI TU AU TANZANIA KUNA MEDIA NGAPI KAMA KUNA HAFIFU ITAJE BASI KUTHIBITISHA MADAI YAKO NA UJIANDAE KWA KESI YA MADAI MAHAKAMANI **** MAKO WEWE
 
Mkuu Mkaruka, hii ni kweli kwenye private media lakini kuna public media paid by taxpayers money, inatakiwa to save the public and not the government.

Kwenye sheria yetu ya habari, sheria imetambua makundi mawili tuu, public media na private media. Kwenye Public Media, wameweka Government Media only wakimaanisha hata TBC ni chombo cha habari cha serikali!. Kiukweli TBC ni chombo cha habari cha umma, public media, kinawajibika kwa umma wa Watanzania na sio kwa serikali, vyombo vya serikali ni Habari Maelezo, Daily News na Government Gazette (GN).

TBC ndio inayotakiwa kuwa strong media kuihudumia jamii na kuikosoa serikali. Lakini kwa TBC yetu hii hili linawezekana? . Niliamini Dr.Ayoub Rioba amepelekwa pale kwa sababu alikuwa very critical lakini... labda tumpe muda zaidi.

Paskali.
KAA KIMYA MPUMBAVU MNAFIKI WEWE NIMEKUWA NIKISOMA THREAD ZAKO ZOTE NYINGI TU HUMU JF HUNA JIPYA MALAYA WEWE KANUNUA KONDOMU HARAKA YOU GO AND GET NAILED UNALETA USHOGA TANZANIA BARA MAMBO HAYO PELEKA ZENJI BWANA HUKU KUNA WANAUME AISEE
 
Ukifuatilia ile kesi ya uchochezi ya Lissu na wahariri was Mawio dhidi ya serikali utaona kuwa hata tuwe na vyote viwili yaani waandishi mahiri na vyombo huru katika kipindi hiki cha awamu ya tano haitasaidia kitu
No itasaidia kwa sababu hawezi kuziba midomo media zote.

Paskali
 
Msingi w matatizo unaazia hata kwa jamii husika .Pia mazingira/Sheria zinazotawala hii tasnia zimekaa kushoto kushoto.Kupitia Bunge zipo sheria ambazo ni vigumu kuwepo strong media. Media nyingi zimeanzisha kibiashara tu hivyo utekelezaji wa uandishi makini utajikuta umeingilia ama biashara za watoa matangazo katika hizo media au kugongana na wamiliki.

Jamiii pia imeharibika sana. wanapenda sana vipindi vya udaku udaku na kwa sababu wanapenda hivyo na watoa matangazo wanapeleka matngazo yao huko. Imagine kipindi kama 'ripoti maalum' ya ITV inakosa wadhamini lakini kipindi kama 'Shilawadau' wadhamini wanapigana vikumbo.

Mimi nilianzisha TV Program ya kutazama changamoto za wananchi wa vijijini. nimeenesha program miaka 3 bila udhamini.

Labda wote tuwe formated upya.
Mkuu Mpiganaji Mathias Byabato, kwanza asante kwa kuchangia with objectivity na live living example.

Ni kweli Watanzania wengi wanapenda zaidi udaku, vipindi vya burudani na vipindi vya hovyo hovyo ambapo wadhamini wanakimbizana huku serious programs hazina wadhamini kabisa! .

Ukienda meza za magazeti hadi zile za Chuo Kikuu UDSM, magazeti ya udaku ndio yakimbiliwa na kuisha bila returns huku magazeti serious yakidoda, na hapo ndio Chuo Kikuu jamii ya wasomi.

Kwenye news za TV badala ya kusikia Habari za maendeleo ya wananchi na haswa vijijini, tunashuhudia habari za press conferences, mikutano, semina, warsha na makongamano kwa sababu ya "ile sababu", iweje kipindi cha habari za changamoto vijijini kikose wadhamini halafu ze comedy wadhamini wanafurika.

Ule utafiti kuhusu kila Watanzania wanne ni kweli. Tuwasiliane nikuunganishe na TMF kipindi chako cha Changamoto vijijini kirudi.

Paskali
 
KAA KIMYA MPUMBAVU MNAFIKI WEWE NIMEKUWA NIKISOMA THREAD ZAKO ZOTE NYINGI TU HUMU JF HUNA JIPYA MALAYA WEWE KANUNUA KONDOMU HARAKA YOU GO AND GET NAILED UNALETA USHOGA TANZANIA BARA MAMBO HAYO PELEKA ZENJI BWANA HUKU KUNA WANAUME AISEE
Nadhani hili jukwaa sio size yako, Nimeona mengi unayo andika ni kama vile ume ehuka, Mods sijui wako wapi kukupa haki yako
 
Issue hapo si utitiri wa Magazeti au TV bali ni Strong Media kama ulivyoweka kwenye mada. Wewe umetoa mfano wa Marekani jinsi walivyo na uwezo wa kukosoa Serikali kupitia Media, mfano ni Mzuri lakini kumbuka wao pia hawakuanza moja kwa moja hivyo, bali walifight sana kuhakikisha Sheria za Nchi haziweki Mwanya wa Watawala kudhibiti vyombo vya habari hasa katika maeneo mbalimbali likiwemo hilo la kutoa kasoro kwa Serikali. Sisi Tanzania kwa sasa tuna vyombo vya habari ambavyo vina uwezo wa kukosoa Serikali lakini ndivyo hivyo ambavyo kila kukicha vipo mahakamani vikishitakiwa kwa kosa la ama uchochezi au kumtukana Rais, sitaki kuvitaja majina lakini itoshe kusema kuwa suala hapa si utitiri wa vyombo bali ni matatizo ya sheria za Nchi ambayo ni kikwazo kwa wanahabari kuikosoa Serikali.
Jambo lingine ni Umiliki wa Vyombo, katika tasnia hii kuna wajasiriamali ambao ni wanasiasa, kwa hiyo ni matatizo sana kufikia haraka Tanzania yenye vyombo vilivyo na nguvu ya kukosoa bila upendeleo au woga.
Mkuu Nyamanoro, naunga mkono hoja, na haswa vyombo binafsi na biashara ya habari.

Paskali
 
Issue sio utitiri wa vyama...
Issue sio utitiri wa Media....
Issue ni hilo neno Strong...,tunaweza kuwa na huo utitiri lakini tukawa na Strong media among huo utitiri,na tatizo letu kwanza ni wamiliki wa Media wenyewe hutegemea wako mlengo gani. Pili ni nyie waandishi,wengi wenu mnaushabiki na njaa ndo vinawamaliza mpaka kujikuta mnakuwa wapotoshaji zaidi ya wakosoaji,waelimishaji na wapashaji. Mwisho kuna wenye mamlaka yao nao imekuwa tatizo,hawataki kuona Media zinakuwa huru kama inavyotakiwa na matokeo yake ukijumlisha yote hayo unakuta Media mfu.
Mkuu Ichobela, naunga mkono hoja, safari ya kuelekea kwenye strong media bado ni ndefu.

Paskali
 
WHO GAVE THE ORDER FOR YOU TO SPEAK TYRANT THE HORDES OF TANZANIA WILL DESCEND UPON YOU TOMMOROW FOR FURTHER INTERROGATIONS MY GRATITUDE FOR HELPING THE GOVERNMENT TRICKY BIRDS FALL INTO STUPID TRAPS
 
umesema kweli leo hii TANZANIA DAIMA hata chadema au mbowe wakamatwa na unga unadhani ni mhariri gani atakayedhubutu kuandika ukweli.
Mkuu Truvada kiukweli Tanzania Daima pamoja na kumilikiwa na kada wa Chadema lakini wanajitahidi sana katika ukosoaji, tatizo lao wao ni kukosoa tuu as if hakuna jema!.

Objectivity ni kusema ukweli daima, kwenye mazuri tupongeze, mabaya tukosoe.

Paskali
 
HOW MANY SOLDIERS SO GOOD TO THE COUNTRY LAY DEAD BECAUSE OF YOU MOTHER FUCKER YOU ARE NOTHING REMEMBER NOT EVEN STONGER THAN A MERE INFANTRY COMMANDO I DID NOT BROUGHT THIS UPON YOU FORGED FROM YOUR EVIL BRAIN YOU LOVE MORE THAN OUR SOLDIERS AND OUR VIRGIN LITTLE GIRLS DESCEND UPON PRISON AND ANSWER THIS CLAIMS FROM THERE
 
Naona jamaa akili zimeanza kumrudi, juzi tu alikuwa anatetea vyetib@shite ila kwa kua jamaa katorokea bondeni na hakuna tena mlungula, sasa njaa imeshika hatam mpaka kwenye ubongo na sasa zimemrudi.

Kweli njaa haina baunsa
Mkuu Edward Sambai, kwenye issues za Bashite, ile ni fasihi meant to great thinkers only, hivyo you just missed the point.

Paskali
 
Elimu yetu haifundishi critical thinking. Hivyo, huwezi kupata jamii yenye watu wanaohoji mambo. Pia, huwezi kupata waandishi mahiri wanaochambua na kuhoji mambo. Tatizo haliko kwa waandishi pekee bali jamii nzima kwa ujumla wake. Msingi wa tatizo ni elimu yetu inayofundisha kukariri na kufaulu mitihani, badala ya kusisitiza kuelewa mambo na kuuliza maswali sahihi. Huwezi kuuliza maswali sahihi kama umekariri tu mambo.
Mkuu Zungu Pule, naunga mkono hoja ila waandishi wahojaji wapo wapo japo sii wengi.

Paskali
 
Makala zangu kuhusu wivu wenu dhidi ya mafanikio ya Makonda ni baadhi tuu ya my pieces of literature, kama huna uwezo wa kusoma "in between the lines, you just have completely missed the point.

Pole.

Paskali

Mr Mayalla,
Ni Wivu gani huo juu ya alichonacho Makonda unaouzungumzia? Fafanua.
Huyo disgraced RC Makonda ana kitu gani wanachokosa wengine hadi watu wamwonee wivu unaoupigia jaramba?
Yaani hapo ndipo unapojiingiza katika kundi la brown envelope journalists aka wachumia tumbo.
Jaribu kutafari maneno 3 katika fani ya uandishi
1. Integrity
2. Credibility
3. Objectivity

Ukiyazingatia hayo matatu yakuongoze utafanikiwa katika fani yako
Obrigado!
 
Nakumbuka nikiwa newsroom enzi za Kitimoto tulikuwa very critical but kilichotokea kipindi 'just died', nikiwa mwandishi huru wa kujitegemea kuna TV program niliitengeneza kuhusu ule mgomo wa madaktari. Hakuna TV kilikubali kurusha. Hivyo watu wapo na pia hawapo.

Paskali

Baada ya local TV stations kukataa kurusha je ulijaribu kucheki na Al Jazeera au CNN kama journalists wa Kenya walivyofanya?
 
Mimi sidhani kuwa hatuna "strong media". Tatizo je, serikali inakubali kwa dhati kabisa kukosolewa? Kama ndiyo, kwa nini hizo sheria zinazoitwa "kandamizi" zimepitishwa na kuanza kutekelezwa wakati baadhi ya sheria zinazohitaji marekebisho ili ziendane na hali ya sasa zinachukua muda mrefu bila kuonyesha uharaka huohuo?
Mkuu Mwanafani Magobe, kwenye issue ya kukosolewa hakuna cha kukubali kwa sababu kukosolewa ni kufuatia kufanya makosa, makosa ni udhaifu, hakuna serikali inakubali kuonyesha udhaifu ila uki mess, umemess watu lazima waseme ili usimess tena. Suala ni huo ukosoaji unafanyikaje na kwa lengo gani, kama ukosoaji ukifanyika constructively in good faith, ukosoaji huu ni mzuri.

Kuna ukosoaji unaofanyika in bad faith kwa lengo la kubeza tuu.

Niliisha toa angalizo kuhusu huu ukosoaji
Mwito Kwa Wana JamiiForums Kuhusu Ukosoaji wa Rais Magufuli
Paskali
 
Back
Top Bottom