Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,626
- Thread starter
- #101
Mkuu Jongwe, alichofanya Nape sio kutoa ruhusa bali kutoa tuu guarantee ya uwepo wa free Press. Hii ni kufuatia huu udikiteta uliopo hivyo media zinajikuta too supressed to the point of not being sure which is right and which is wrong ambapo the top hawata ipenda. Nidhamu ya woga.Mkuu Paskali, najiuliza hivi ruksa ya kuikosoa/ kuishauri serikali anatolewa na waziri? Au ipo kwa mujibu wa sheria? Itafika siku atasema wewe wa gazeti la Uhuru, Mzalendo, Tbc, clouds, daily news ruksa. Wakosoaji/washauri wa kweli NO. Unataka 360 feedback halafu unatoa masharti kwamba unataka feedback nzuri tu, au pale unapojisikia. Hii si sawa ni upuuzi mtu mmoja kuamua when people should give feedback on the government performance. . Na hii tabia pia anayo mkuu mwenyewe na alitishia baadhi ya magazeti siku zao zinahesabika. Woga wa kukosolewa mbaya sana huwezi endelea kwa kusifiwa kufanya mazuri tu. Huko nikujikomba. .
Niliwahi kusema kuhusu the reign of terror hivyo hata media kujikuta ziko terrorized.
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya Woga, Kutasaidia?!.
Paskali