Media kuikosoa Serikali: Je, Tanzania tuna Strong Media au Strong Journalists wenye Uwezo huo?

Wanabodi,

Declaration of Interest: mwanzisha mada ni mwandishi wa habari mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii as active media kwa zaidi ya miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu as passive media kama mwandishi/mtangazaji was kujitemea kupitia kampuni ya PPR.

Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama. Hii mihimili mitatu anatakiwa kufanya kazi kwa check and balance with each other. Ila pia kuna mihimili wa nne usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol or The Fourth Estate.

Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na independent stong media instutions zinazoweza kuwa critical, na tuwe na waandishi mahiri ambao ni independent strong journalists ambao ni ma iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.

Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media institutions?, jee tunao hao strong independent journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza?. Kwenye electronic media zetu, jee kuna vipindi vyovyote critical kama Hard Talk?, Larry King or hata Jicho Pevu kama kwa jirani zetu Kenya?. What is wrong with our media and our journalists?.

Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong independent journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.

Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wakati wa enzi ya kashfa ya Watergate walikuwa na magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.

UK pia walikuwa na Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.

Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.

Kazi kubwa ya ukosoaji wa constructive criticism ni ukosoaji wenye lengo la kujenga na sio ukosoaji wa kuzodoa, kudhalilisha na kubagaza, ukosoaji huu ufanywe kwa lugha ya staha na sio lugha ya maudhi, matukano au kebehi.

Media tukitimiza wajibu wetu ipasavyo, tutamsaidia sana rais Magufuli na serikali yetu kwa kuionyeshea madudu ya watendaji wake, hivyo kumrahishia kazi rais wetu, achukue hatua stahiki, na sio kusubiria hadi mambo yameharibika na wale jamaa zetu wampelekee rais taarifa zao, ndipo hatua zichukuliwe.

Paskali
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
Uandishi wa habari ... Kada ya Watu wasio huru! Hawayaandiki yanayowasibu!
Wengi wanaishi kwa uchawa na kulamba miguu!!
 
Wanabodi,

Declaration of Interest: mwanzisha mada ni mwandishi wa habari mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii as active media kwa zaidi ya miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu as passive media kama mwandishi/mtangazaji was kujitemea kupitia kampuni ya PPR.

Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama. Hii mihimili mitatu anatakiwa kufanya kazi kwa check and balance with each other. Ila pia kuna mihimili wa nne usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol or The Fourth Estate.

Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na independent stong media instutions zinazoweza kuwa critical, na tuwe na waandishi mahiri ambao ni independent strong journalists ambao ni ma iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.

Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media institutions?, jee tunao hao strong independent journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza?. Kwenye electronic media zetu, jee kuna vipindi vyovyote critical kama Hard Talk?, Larry King or hata Jicho Pevu kama kwa jirani zetu Kenya?. What is wrong with our media and our journalists?.

Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong independent journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.

Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wakati wa enzi ya kashfa ya Watergate walikuwa na magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.

UK pia walikuwa na Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.

Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.

Kazi kubwa ya ukosoaji wa constructive criticism ni ukosoaji wenye lengo la kujenga na sio ukosoaji wa kuzodoa, kudhalilisha na kubagaza, ukosoaji huu ufanywe kwa lugha ya staha na sio lugha ya maudhi, matukano au kebehi.

Media tukitimiza wajibu wetu ipasavyo, tutamsaidia sana rais Magufuli na serikali yetu kwa kuionyeshea madudu ya watendaji wake, hivyo kumrahishia kazi rais wetu, achukue hatua stahiki, na sio kusubiria hadi mambo yameharibika na wale jamaa zetu wampelekee rais taarifa zao, ndipo hatua zichukuliwe.

Paskali

Sikupendagi tu kwa misifa yako na kujipendekeza ovyo kwa wakubwa lakin hapa ngoja nikwambie hakina media tz ya kuikosoa serikali!
 
Sikupendagi tu kwa misifa yako na kujipendekeza ovyo kwa wakubwa lakin hapa ngoja nikwambie hakina media tz ya kuikosoa serikali!
Ni wasio na uwezo tuu to read in between the lines ndio wanadhani mimi ni mtu wa kujipendekeza lakini wale wenye uwezo wa to read in between the lines, wananijua who I'm really is!.
P
 
Back
Top Bottom