Duniani kote kila mtu anaanzisha media zake kwa faida zake hususani propaganda, mambo ya uhuru wa habari na media kuwa fair ni ndoto tu za mchana
Both scenarios ziko right, kwenye upande wa electronic media, tuna waandishi wa habari mahiri lakini hatuna vyombo huru vya utangazaji. Na kwenye print, tuna magazeti huru ila hatuna waandishi mahiri wa kutosha kuandika criticality na serikali ikaupokea uandishi wao na kuufanyia kazi.Pascal Mayalla ni nini kinatangulia kati ya kuwa na waandishi wa habari mahiri au vyombo vya habari huru. Jee inawezekana kukawa na vyombo vya habari huru lakini vikakosa waandishi wa habari mahiri? Au pia inawezekana kukawa na lundo la waandishi mahiri lakini kusiwe na vyombo huru vya habari?
Kama kwetu yote mawili yanakosekana, basi tuna safari ndefu sana kufika huko kwenye kukosoa unakokusema!!
Issue hapo si utitiri wa Magazeti au TV bali ni Strong Media kama ulivyoweka kwenye mada. Wewe umetoa mfano wa Marekani jinsi walivyo na uwezo wa kukosoa Serikali kupitia Media, mfano ni Mzuri lakini kumbuka wao pia hawakuanza moja kwa moja hivyo, bali walifight sana kuhakikisha Sheria za Nchi haziweki Mwanya wa Watawala kudhibiti vyombo vya habari hasa katika maeneo mbalimbali likiwemo hilo la kutoa kasoro kwa Serikali. Sisi Tanzania kwa sasa tuna vyombo vya habari ambavyo vina uwezo wa kukosoa Serikali lakini ndivyo hivyo ambavyo kila kukicha vipo mahakamani vikishitakiwa kwa kosa la ama uchochezi au kumtukana Rais, sitaki kuvitaja majina lakini itoshe kusema kuwa suala hapa si utitiri wa vyombo bali ni matatizo ya sheria za Nchi ambayo ni kikwazo kwa wanahabari kuikosoa Serikali.Wanabodi,
Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.
Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.
Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.
Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .
Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.
Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.
UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.
Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.
Paskali
Issue sio utitiri wa vyama...Wanabodi,
Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.
Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.
Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.
Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .
Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.
Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.
UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.
Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.
Paskali
Wanabodi,
Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.
Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.
Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.
Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .
Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.
Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.
UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.
Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.
Paskali
Wanabodi,
Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.
Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.
Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.
Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .
Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.
Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.
UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.
Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.
Paskali
Duniani kote kila mtu anaanzisha media zake kwa faida zake hususani propaganda, mambo ya uhuru wa habari na media kuwa fair ni ndoto tu za mchana
Mkuu umempa ukweli wake leo. Njaa inasumbua sana.Kwanza si kweli kwamba Pascal ni mwandishi nguli wa habari, ni juzi tu tulikua na mkutano wa wahariri na Ali Mohamed wa Jicho pevu akasema kuwa pasipo Investigative Reporting hakuna uandishi wa habari. Na ndipo aliposema categorically kuwa media houses in Tanzania are Public Relations firms. This is exactly what the likes of Pascal Mayalla are, katuambia juzi alifanya invetigation ya mgomo wa madaktari, iko api hiyo report, eti wallikataa kuchapisha, ( zooo), haya walikataa wakina nani? Ripoti ya Mohamed Ali wa Jicho pevu kuhusu mauaji ya wakenya na state agencies, ime ripotiwa na Aljazeera. Huyu PR uchwala ndio huyo juzi anatuambia habari ya sisi kumuonea wivu Makonda, can you imagine? Njaa Njaa Njaa, vipindi vyake vya mashirikia ya umma, kuwapamba nakuwasifia ndio yeye anaviita uandishi wa habari? juzi kaambiwa yeye ni njaa mkuuu hakukosea anawajueni. Wakati wa Mswada wa Habari mlimiskie pale kwa Chilala akijamba cheche kusema eti muswada unamakosa kidogo, mchumia njaa hata siku moja hawezi kuwa shujaa. Acha wakina Kubenea waongee wewe, shut up and put up with the food you are putting on the table, acha wanaume wongelee ukombozi wa nchi hii, wewe mwenzetu endelea kuchekacheka kwenye tv
Mkuu Paskali. Kwa muktadha wa mada yako, kuna mambo matatu, kwa maoni yangu, ni lazima yaende pamoja ili kupata matokeo: Kuwe na strong journalists, strong media & strong audience. Ni bahati mbaya sana, hapa Tanzania tunao strong journalists na strong media (print) lakini tunakosa strong audience!Wanabodi,
Declaration of Interest: Mwanzisha Mada ni Mwandishi wa Habari Mstaafu ambaye amehudumu kwenye tasnia hii kwa miaka 27, hivi sasa ni mstaafu akiendelea kuhudumu kama Mwandishi/Mtangazaji was Kujitemea kupitia kampuni ya PPR.
Serikali zote duniani huendeshwa na mihimili 3 ambayo ni rasmi, Serikali, Bunge na Mahakama, ila kuna mihimili wa nne ambao ni mihimili usio rasmi, huu ni mhimili wa Media, The Fourth Protocol.
Waziri wa Habari Mhe. Nape Mnauye ametoa ruhusa kwa media kuikosoa Serikali. Ili hili liweze kufanyika kwa manufaa na kuleta tija, lazima kwanza tuwe na Independent Stong Media na tuwe na waandishi mahiri ambao ni ma Iconic figures akiandika "This is wrong", Serikali itasikiliza.
Swali ni jee Tanzania tunazo hizo strong media?, jee tunao hao strong journalists wenye uwezo wa kuikosoa Serikali na Serikali ikawasikiliza? .
Kama tunazo ni zipi? . Kama hatuna kwa nini hatuna strong media?. Na jee hao waandishi strong journalists tunao?, ni kina nani wakiandika au wakisema Serikali itasikia, itabadilika?.
Mifano ya Strong Media.
US wana strong media. Wana vyama viwili vikuu vya siasa The Democrats na The Republican. Wana magazeti makuu mawili, The New York Times na The Washington Post. Pia wana TV mbili kubwa CBS na ABC.
UK pia wana Strong Media. Wana vyama vikuu viwili vya siasa, Labour na Conservative. Wana gazeti moja kuu, The Daily Telegraph. Wana radio moja kuu na TV moja kuu, BBC.
Sisi na huu utitiri wa vyama, utitiri wa magazeti, utitiri wa TV stations na utitiri wa magazeti, jee tuna any strong media ndani ya utitiri huu?.
Paskali
Mkuu Nndondo, kwanza umechanganya unguli na ushujaa, unguli unatokana na long experience ya uzoefu wa muda mrefu. Kitendo tuu cha kuhudumu kwenye sekta ya media kwa miaka 27 ni muda tosha wa kuwa nguli, yaani ni mbobezi niliobobea. Hata hivyo ubobezi na ushujaa ni vitu viwili tofauti. Neweza kuwa nimehudumu 30 years with nothing tangible, na akaibuka dogo akahudumu kwa mwezi mmoja tuu na akawa shujaa. Ushujaa wangu ungepimwa katika hiyo huduma yangu kwa miaka 27 jee nilifanya nini cha maana na chenye impact kwa jamiu kustahili kuitwa shujaa?. Sasa hayo ni mengine, self glorificación sio lengo la mada hii, mada ni kuhusu uwepo wa strong media na strong media men wenye the ability and the capacity kuikosoa serikali na serikali ikasikia na hoja sio mtangazaji Pasco Mayalla.Kwanza si kweli kwamba Pascal ni mwandishi nguli wa habari, ni juzi tu tulikua na mkutano wa wahariri na Ali Mohamed wa Jicho pevu akasema kuwa pasipo Investigative Reporting hakuna uandishi wa habari. Na ndipo aliposema categorically kuwa media houses in Tanzania are Public Relations firms. This is exactly what the likes of Pascal Mayalla are, katuambia juzi alifanya invetigation ya mgomo wa madaktari, iko api hiyo report, eti wallikataa kuchapisha, ( zooo), haya walikataa wakina nani? Ripoti ya Mohamed Ali wa Jicho pevu kuhusu mauaji ya wakenya na state agencies, ime ripotiwa na Aljazeera. Huyu PR uchwala ndio huyo juzi anatuambia habari ya sisi kumuonea wivu Makonda, can you imagine? Njaa Njaa Njaa, vipindi vyake vya mashirikia ya umma, kuwapamba nakuwasifia ndio yeye anaviita uandishi wa habari? juzi kaambiwa yeye ni njaa mkuuu hakukosea anawajueni. Wakati wa Mswada wa Habari mlimiskie pale kwa Chilala akijamba cheche kusema eti muswada unamakosa kidogo, mchumia njaa hata siku moja hawezi kuwa shujaa. Acha wakina Kubenea waongee wewe, shut up and put up with the food you are putting on the table, acha wanaume wongelee ukombozi wa nchi hii, wewe mwenzetu endelea kuchekacheka kwenye tv
Mkuu Salary Slip, kwanza nakubaliana na wewe kiasi fulani kuwa media ya Tanzania inakabiliwa na umasikini uliotopea na fani imevamiwa na ma kanjanja wanao practice "petty cash journalism". Journalism ni nobel profesional ambapo waandishi wa kweli ni kazi ya wito not for gain!.Pamoja na mapungufu mengine yaliyopo, njanjaa zenu ni tatizo kubwa sana.
Waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari mmeshindwa kutambua kabisa watawala hawana urafiki wa kudumu na media bali wanachoangalia ni maslahi yao kupitia media namna gani yanalindwa.
Hata hivyo,kuna waandishi wachache wanaostahili pongezi kwa kusimamia maslahi ya Taifa.
Mkuu Nndondo, kwanza umechanganya unguli na ushujaa, unguli unatokana na long experience ya uzoefu wa muda mrefu. Kitendo tuu cha kuhudumu kwenye sekta ya media kwa miaka 27 ni muda tosha wa kuwa nguli, yaani ni mbobezi niliobobea. Hata hivyo ubobezi na ushujaa ni vitu viwili tofauti. Neweza kuwa nimehudumu 30 years with nothing tangible, na akaibuka dogo akahudumu kwa mwezi mmoja tuu na akawa shujaa. Ushujaa wangu ungepimwa katika hiyo huduma yangu kwa miaka 27 jee nilifanya nini cha maana na chenye impact kwa jamiu kustahili kuitwa shujaa?. Sasa hayo ni mengine, self glorificación sio lengo la mada hii, mada ni kuhusu uwepo wa strong media na strong media men wenye the ability and the capacity kuikosoa serikali na serikali ikasikia na hoja sio mtangazaji Pasco Mayalla.
Baada ya kuendesha kipindi cha "Mada Moto" then 'Kiti Moto", nilipata uzoefu wa kutosha kujua ni kwa kiwango gani serikali inaweza kustahimili criticism na media gani zinaweza na media gani haziwezi. Hivyo nilipoandaa kipindi cha mgomo wa madaktari, I had that in mind na nilijua kipindi kinaweza kurushwa na TV gani, lakini kilikataliwa!.
Hii ya kuniita PR uchwala naikubali kwa sababu uchwala ni relative, hata Magufuli kuna watu wamemuita ni rais uchwala huku kuna watu hadi nchi zinemuona ni rais wa kupigiwa mfano wengine wakiomba kumuazima awanyooshe tuu nchi zao japo kwa miezi michache tuu.
Makala zangu kuhusu wivu wenu dhidi ya mafanikio ya Makonda ni baadhi tuu ya my pieces of literature, kama huna uwezo wa kusoma "in between the lines, you just have completely missed the point.
Pole.
Paskali
Mkuu Mkaruka, hii ni kweli kwenye private media lakini kuna public media paid by taxpayers money, inatakiwa to save the public and not the government.Duniani kote kila mtu anaanzisha media zake kwa faida zake hususani propaganda, mambo ya uhuru wa habari na media kuwa fair ni ndoto tu za mchana