Mecca yaumbuka: Siri kubwa yafichuliwa!

Mecca yaumbuka: Siri kubwa yafichuliwa!

Status
Not open for further replies.
Mbona unalalamika sana ukiletwa uzushi mods lazima wafute

The Vatican’s Secret Life

Despite headlines about a powerful “gay lobby” within the Vatican, and a new Pope promising reform, the Catholic Church’s gay cardinals, monks, and other clergy inhabit a hidden netherworld. In Rome, the author learns how they navigate the dangerous paradox of their lives.

Source:The Secret Lives of the Vatican’s Gay Cardinals, Monks, and Other Clergy Members | Vanity Fair
 
Dini zilizokuja kwa majahazi ni shida tu.

Yani unajisikia Mwislam au Mkristo kindakindaki............Dini yenyewe umeletewa kwenye jahazi.
Bigieee Khaah !! suali tuu? Jee, hii lugha na maandishi haya yako yalikuja kwa ndege gani? au hilo jina lako ulipataje? na hicho kiswahili ulijundishia pangoni,shimoni au kwenye matawi ya mwembe? ....kama sio majahazi!!?
 
Kwa wale mtakaokumbuka lile sakata la rushwa katika kinyang'anyiro cha kugombea kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la Dunia la mwaka 2022 ambapo Qatar ilishinda, mtaona ni kwa jinsi gani michuano hii ilivyo na manufaa na faida kubwa sana kwa nchi mwenyeji kutokana na wageni wengi sana kuja na kuacha matrilioni ya pesa katika mwaka na mwezi husika tu wa michuano. Hivyo baadhi ya viongozi wa nchi huwa tayari hata kuhonga mabilioni ya pesa ili waweze kushinda zabuni, Its amazing!

Sasa turudi kwenye mada. 'Uchunguzi huru' uliofanywa na 'mdau' mmoja wa maendeleo, umegundua kwamba 'Haj to Mecca' ni kitega uchumi No.2 kinachoongoza kwa kuliingizia taifa la Saudi Arabia mapato makubwa zaidi tena ya fedha za kigeni($$$$$$)..!, ikiongozwa na Kitega uchumi cha mafuta (crude oil) kinachoshika nafasi ya kwanza kwa kuingiza mapato mengi. Infact nina haki ya kusema 'Haj to Mecca' ni uti wa mgongo wa pili wa Saudi arabia. Its a Lucrative bussiness!

Mamillioni ya mahujaji waliojinyima kula, kunywa, kusoma na kuvaa vizuri (especially kutoka nchi masikini kama tz), hufunga safari kuelekea Mecca kila mwaka ambapo hulipia ticket za ndege kwa gharama kubwa sana, hapa mashirika ya ndege yanayolipa kodi Saudi Arabia huingiza mapato makubwa na hivyo kulipa kodi kubwa zaidi! Mahoteli ya Saudi arabia nayo huchangamka mno kipindi hiki, Mahujaji humwaga mamilioni kulala kwenye accomodation za aina na viwango mbalimbali, kwa style hii huwa wanachagiza uchumi wa Saudi kwa kiwango kikubwa sana, wakati huo huo dada zao waliopo Leopard tours (kwa aliyeipakata serikali a.k.a Fazal) wanapoteza ajira na kunyanyaswa kwa ukosefu wa wageni. Unbelievable!

Bila shaka, mahujaji hawa pia humwaga mamilioni zaidi huko Saudi kwa matumizi ya huduma na bidhaa mbali mbali, mfano usafiri, mawasiliano, chakula na mengineyo mengi! Daah..! Saudi mna bahati sana, 'mungu' awape nini?! Kinachoniuma ni pale mahujaji hao wanaponunua mamilioni ya ng'ombe wazima na kuwachinja halafu hawawali, badala yake nyama ile ni kama unaitoa bure kwa wa Saudi wakale kwenye mahekalu yao kwa kufuru! (rejea picha ya sahani kubwa ya pilau mithili ya swimming pool iliyojaa nyama ya ng'ombe wa kienyeji). Inaniuma zaidi pale nyama za ziada ndio zinaletwa huku kwenye misikiti kama msaada eti, ambapo akina mama wa hali ya chini hupanga foleni kupokea nyama hiyo ambayo ni reject na hatari kwa afya yetu! TFDA muwe makini! Sheer humiliation! (Usifanye mchezo na Imani.Ni bangi mbaya sana!)

'Mdau' huyo ameweka hadharani kwamba, kwa mzunguko mmoja, 'Haj to Mecca' huliingizia taifa hili kiasi cha Trillioni 125 kuanzia mwanzo mpaka mwisho, na hapa ikijumuisha mapato katika mitizamo na angle zote possible! ITS SHOCKING!

WAY FOWARD: Hijja iwe ya mzunguko kama lilivyo kombe la Dunia ili na nchi nyingine masikini kama Tanzania tuweze kufaidi matunda ya biashara hii iliyoshushwa, nasi tujikwamue kiuchumi. Nawasilisha.

DON FRANCIS

Wewe in umbwa
 
Nyama na Tende za bure. Halafu eti ukienda Kuhiji unapewa na cheo kabisa ALHAJI. Miafrika kazi tunayo aisee
 
Kwa nini mungu kawapa upendeleo wa kuwekwa kwenye jangwa iki waishike sala na wengine hakuwaweka huko?

Mungu gani mbaguzi hivyo anawapanga watu kwa mafungu, hawa anawapa neema, hawa anawanyima.

Hizi si ndio hadithi zile zile za "Israel taifa teule la mungu" zimekuja kivingine?

Nikisema Muhammad aliona Waisrael wana nguvu ya ushawishi kwa sababu ya siasa za dini na yeye akataka kuanzisha yake kwa watu wake, purely for political reasons ambazo tunaona zinaleta faida hizi za kiuchumi, nitakuwa nimekosea?
KirangaEee; Nikupashe yakuwa ni kweli kbs kuwa Mwenyeezi Mungu amePendelea mambo mengi sana humu ulimwenguni na Duniani khaswa!! hebu tukaae mkao wakijadili hata kwa kiwango kidogo kadhaa!!
Kwanza:- nakuchukia kwa akili yako....
kapendelea wakati juu ya wakati usiku na mchana....!!
Kapendelea siku ju ya siku zngine (Ijumaa/sunday)...
Kapendelea Miezi juu miezi mingine(Ramadhani/Decmber)....
Kapendelea Matafa(umma) juu ya Mataifa mengine...(hilo unalijua...Tafakari)
Kapendelea Nchi juu ya nchi zingine ..... ( tabianchi na mazingira tofauti,Jangwa/joto/baridi/rutuba yardhi/ukame)
Kapendelea Viumbe juu ya Viumbe.... hapo inatosha wewe ujifananishe na wadogo zako,wkubwa zako,Dada/wadugu nk,nk..... hadi kufikia wanyama wa aina zote!!

Hayo ni machache tu kukuthibitishia kuwa Upendeleo ni wa Menyeezzi Mungu !! Naye Mwnz/Mungu huumpa amtakae!

Panuwa kifuwa....Mkuu
 
KirangaEee; Nikupashe yakuwa ni kweli kbs kuwa Mwenyeezi Mungu amePendelea mambo mengi sana humu ulimwenguni na Duniani khaswa!! hebu tukaae mkao wakijadili hata kwa kiwango kidogo kadhaa!!
Kwanza:- nakuchukia kwa akili yako.... (Nakuchukulia) nilimaanisha hivo!!
kapendelea wakati juu ya wakati usiku na mchana....!!
Kapendelea siku ju ya siku zngine (Ijumaa/sunday)...
Kapendelea Miezi juu miezi mingine(Ramadhani/Decmber)....
Kapendelea Matafa(umma) juu ya Mataifa mengine...(hilo unalijua...Tafakari)
Kapendelea Nchi juu ya nchi zingine ..... ( tabianchi na mazingira tofauti,Jangwa/joto/baridi/rutuba yardhi/ukame)
Kapendelea Viumbe juu ya Viumbe.... hapo inatosha wewe ujifananishe na wadogo zako,wkubwa zako,Dada/wadugu nk,nk..... hadi kufikia wanyama wa aina zote!!

Hayo ni machache tu kukuthibitishia kuwa Upendeleo ni wa Menyeezzi Mungu !! Naye Mwnz/Mungu huumpa amtakae!

Panuwa kifuwa....Mkuu
Kiranga Samahani..niwieradhi nilikusudia "nakuchukulia"
 
Last edited by a moderator:
Mbona kuna habari kuwa yule wale wasiokula mezamoto wanayemtaja taja sana kuwa ndiye aliyetumwa na mungu wao ni kuwa kuna siri kubwa kuwa alikuwa created na wale ambao mkuu wao wa dhehebu duniani wanamuita baba mtakatifu ingawa Biblia imekataza mtu yeyote asiitwe baba duniani kwa maana Baba ni mmoja tu naye ni aliye Juu (The most high) na pia ndiye mkuu wa kamji kalikokalia vilima saba vilivyotajwa kwenye kitabu cha Ufunuo? SIRI KUBWA HII.
 
Sasa imeumbuka nini? Unanchekesha.

Au roho imekuuma kusikia Makkah wanaingiza matrillioni wakati wa Haj? Utaungilika sana. Hiyo ni nchi iliyoombewa na Ibrahim na dua yake kukubaliwa:

Qur'an 14:37. Mola wetu Mlezi! Hakika mimi nimewaweka baadhi ya dhuriya zangu katika bonde lisilo kuwa na mimea, kwenye Nyumba yako Takatifu, ewe Mola wetu Mlezi, ili washike Sala. Basi zijaalie nyoyo za watu zielekee kwao, na waruzuku matunda, ili wapata kushukuru. ***

“O our Lord! I have made some of my offspring to dwell in an uncultivable valley by Your Sacred House in order that they may perform As-Salat. So fill some hearts among men with love towards them, and (O Allah) provide them with fruits so that they may give thanks.”

(Quran, Surah Ibrahim, Verse, 37)

Duh!!God i know you live,but Im not sure about these religions brought up with people who wanted to manipulate the world.To confuse the minds of ur pple,who were once on th top of mountains praying and celebrating u.Look the way hv been confused with colonialist,capitalist and world rulling classes.Few smart pple changed ths world.Th poor contribute to th rich to bcome richer,pple submit themselves to pple to be enslaved bcoz of religion.No love,no peace,no patience,no unity.The strongest philosophy of devide and rule through religion won all.Only th poor believe much in religion as th only way to come to u.In Saudia,Oman,Kuwait ect they ar not into religion as poor from Africa do.The Europeans ar no longer there,Israel has kept its religion ever since.Jews religion is still stronger.For us Africans no more Oracles.At lst few Chaggas still do.....God hv mercy to these paupers,deaf,dumb confused people.
 
KirangaEee; Nikupashe yakuwa ni kweli kbs kuwa Mwenyeezi Mungu amePendelea mambo mengi sana humu ulimwenguni na Duniani khaswa!! hebu tukaae mkao wakijadili hata kwa kiwango kidogo kadhaa!!
Kwanza:- nakuchukia kwa akili yako....
kapendelea wakati juu ya wakati usiku na mchana....!!
Kapendelea siku ju ya siku zngine (Ijumaa/sunday)...
Kapendelea Miezi juu miezi mingine(Ramadhani/Decmber)....
Kapendelea Matafa(umma) juu ya Mataifa mengine...(hilo unalijua...Tafakari)
Kapendelea Nchi juu ya nchi zingine ..... ( tabianchi na mazingira tofauti,Jangwa/joto/baridi/rutuba yardhi/ukame)
Kapendelea Viumbe juu ya Viumbe.... hapo inatosha wewe ujifananishe na wadogo zako,wkubwa zako,Dada/wadugu nk,nk..... hadi kufikia wanyama wa aina zote!!

Hayo ni machache tu kukuthibitishia kuwa Upendeleo ni wa Menyeezzi Mungu !! Naye Mwnz/Mungu huumpa amtakae!

Panuwa kifuwa....Mkuu

Kwa nini mungu wa haki, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anapendelea hawa na kuwapa neema na kutowapendelea wale na kuwaacha na mashaka? Hususan kama ana uwezo, ujuzi nq upendo wote wa kuwapendelea viumbe wake wote wapete tu?

Huyu mungu mbona anajiponga mwenyewe? Huku tunaambiwa ni wa haki kama ya mizani isiyokosea, huku tunaona anapendelea wengine na kubagua wengine.

Huyu mungu yupo kweli au ni hadithi za mapoke tu zisizo na uhakika wala uhalisi?
 
kama hujui kitu / jambo fulan kwa undani / mapana yake ni vizuri kukaa kimya.

Umeona eeh, anaropoka tu huyu, kwan hamna mambo mengine ya kusema zaid ya waislam, kwa taarifa yako mnalolitaka haliwi hata kwa miaka mia
 
roho mbaya tu usioangalia ya kwenu unaangalia ya watu hata waingize matrilioni ya dhahabu tutakwenda tu na utakufa na chuki zako km imekuuma sana kajenge mfano wa makka israel muingize pesa!!nlidhani utajiuliza ni kwann hta maskini huenda kule makka na haoni uchungu wa hela zake?kwan hyo maskin hana fikra km hzo?bali hatujali tunachojali cc ni kumuabudu mola wetu km alivotuamrisha kwa namna yyte ile na sio kuimba na kukata mauno ndo uende ukapewe ufalme wa mbinguni sahau kaka!!! na hzo chuki utakufa nazo nobody will listen na wala huharibu kitu kwa povu lako ulilolitoa
 
Kwa nini mungu wa haki, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anapendelea hawa na kuwapa neema na kutowapendelea wale na kuwaacha na mashaka? Hususan kama ana uwezo, ujuzi nq upendo wote wa kuwapendelea viumbe wake wote wapete tu?

Huyu mungu mbona anajiponga mwenyewe? Huku tunaambiwa ni wa haki kama ya mizani isiyokosea, huku tunaona anapendelea wengine na kubagua wengine.

Huyu mungu yupo kweli au ni hadithi za mapoke tu zisizo na uhakika wala uhalisi?
Mmh!! Hayo ulosema n mtazamo wako!! Lakini nielewe ili tuwezekuelewana Kiranga, Frendi Tumezungumzia upendeleo tuu !!
So ulitaka wewe kuwa sote tupe equal gift?!! au ulitaka sie sote tuwewakuu yaani kama level ya maji?

Sasa nikujuze hekima ya upendeleo aliyotuteremshea... MwenyeeziMungu katupa equal TIME (wakati/Hewa/Uhai/Mauti)!
Hapa katuwekea kidaraja kila mmoja amfae mwengine ili wote tumenyeke au tuhangaike kuweza kutumikia maisha (tumbo) stahili...Tuwajibike katika wakati maalum !!

Ndiyo ukaona kaumba hapa Duniaini Mataifa yenye kutugemeana kama vile kaumba ardhi zenye Rasilimali kwa manufaa ya ardhi sehemu ingine!!
Hapo mie sioni upungufu wowote!! ila sie wanaAdam tunadhanna za ukakasi za kulalama kwa wingi !! Hebu tusikimbie hulka yetu...KM:- Waafrika tunatamaani ya wenzetu (kasumba fulanifulani) !! na Wazungu nao wanatamaani ya wenzao,Na waAsia pia wanatamaani cha wengine,,nk,nk...!! Hakuna Viumbe sisi waliotosheleka au kuridhika (huo ndo ukweli kwani aliyekuwa kwenye Baridi na theluji anasema bora walokwenye Joto na ukavuni, Ambapo alokuwepo Jangwani asema bora aishi kwenye baridi na Uzunguni !!
Hapo hao wote wamesha sahau neema walizoteremshewa na kukarimiwa na Muumba !

Tuache uchoyo wa Fadhila.......tuwe watu wenye kushukuru !!
 
Last edited by a moderator:
Mmh!! Hayo ulosema n mtazamo wako!! Lakini nielewe ili tuwezekuelewana Kiranga, Frendi Tumezungumzia upendeleo tuu !!
So ulitaka wewe kuwa sote tupe equal gift?!! au ulitaka sie sote tuwewakuu yaani kama level ya maji?

Sasa nikujuze hekima ya upendeleo aliyotuteremshea... MwenyeeziMungu katupa equal TIME (wakati/Hewa/Uhai/Mauti)!
Hapa katuwekea kidaraja kila mmoja amfae mwengine ili wote tumenyeke au tuhangaike kuweza kutumikia maisha (tumbo) stahili...Tuwajibike katika wakati maalum !!

Ndiyo ukaona kaumba hapa Duniaini Mataifa yenye kutugemeana kama vile kaumba ardhi zenye Rasilimali kwa manufaa ya ardhi sehemu ingine!!
Hapo mie sioni upungufu wowote!! ila sie wanaAdam tunadhanna za ukakasi za kulalama kwa wingi !! Hebu tusikimbie hulka yetu...KM:- Waafrika tunatamaani ya wenzetu (kasumba fulanifulani) !! na Wazungu nao wanatamaani ya wenzao,Na waAsia pia wanatamaani cha wengine,,nk,nk...!! Hakuna Viumbe sisi waliotosheleka au kuridhika (huo ndo ukweli kwani aliyekuwa kwenye Baridi na theluji anasema bora walokwenye Joto na ukavuni, Ambapo alokuwepo Jangwani asema bora aishi kwenye baridi na Uzunguni !!
Hapo hao wote wamesha sahau neema walizoteremshewa na kukarimiwa na Muumba !

Tuache uchoyo wa Fadhila.......tuwe watu wenye kushukuru !!

Unaweza kuthibitisha huyo mungu yupo?
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale mtakaokumbuka lile sakata la rushwa katika kinyang'anyiro cha kugombea kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la Dunia la mwaka 2022 ambapo Qatar ilishinda, mtaona ni kwa jinsi gani michuano hii ilivyo na manufaa na faida kubwa sana kwa nchi mwenyeji kutokana na wageni wengi sana kuja na kuacha matrilioni ya pesa katika mwaka na mwezi husika tu wa michuano. Hivyo baadhi ya viongozi wa nchi huwa tayari hata kuhonga mabilioni ya pesa ili waweze kushinda zabuni, Its amazing!

Sasa turudi kwenye mada. 'Uchunguzi huru' uliofanywa na 'mdau' mmoja wa maendeleo, umegundua kwamba 'Haj to Mecca' ni kitega uchumi No.2 kinachoongoza kwa kuliingizia taifa la Saudi Arabia mapato makubwa zaidi tena ya fedha za kigeni($$$$$$)..!, ikiongozwa na Kitega uchumi cha mafuta (crude oil) kinachoshika nafasi ya kwanza kwa kuingiza mapato mengi. Infact nina haki ya kusema 'Haj to Mecca' ni uti wa mgongo wa pili wa Saudi arabia. Its a Lucrative bussiness!

Mamillioni ya mahujaji waliojinyima kula, kunywa, kusoma na kuvaa vizuri (especially kutoka nchi masikini kama tz), hufunga safari kuelekea Mecca kila mwaka ambapo hulipia ticket za ndege kwa gharama kubwa sana, hapa mashirika ya ndege yanayolipa kodi Saudi Arabia huingiza mapato makubwa na hivyo kulipa kodi kubwa zaidi! Mahoteli ya Saudi arabia nayo huchangamka mno kipindi hiki, Mahujaji humwaga mamilioni kulala kwenye accomodation za aina na viwango mbalimbali, kwa style hii huwa wanachagiza uchumi wa Saudi kwa kiwango kikubwa sana, wakati huo huo dada zao waliopo Leopard tours (kwa aliyeipakata serikali a.k.a Fazal) wanapoteza ajira na kunyanyaswa kwa ukosefu wa wageni. Unbelievable!

Bila shaka, mahujaji hawa pia humwaga mamilioni zaidi huko Saudi kwa matumizi ya huduma na bidhaa mbali mbali, mfano usafiri, mawasiliano, chakula na mengineyo mengi! Daah..! Saudi mna bahati sana, 'mungu' awape nini?! Kinachoniuma ni pale mahujaji hao wanaponunua mamilioni ya ng'ombe wazima na kuwachinja halafu hawawali, badala yake nyama ile ni kama unaitoa bure kwa wa Saudi wakale kwenye mahekalu yao kwa kufuru! (rejea picha ya sahani kubwa ya pilau mithili ya swimming pool iliyojaa nyama ya ng'ombe wa kienyeji). Inaniuma zaidi pale nyama za ziada ndio zinaletwa huku kwenye misikiti kama msaada eti, ambapo akina mama wa hali ya chini hupanga foleni kupokea nyama hiyo ambayo ni reject na hatari kwa afya yetu! TFDA muwe makini! Sheer humiliation! (Usifanye mchezo na Imani.Ni bangi mbaya sana!)

'Mdau' huyo ameweka hadharani kwamba, kwa mzunguko mmoja, 'Haj to Mecca' huliingizia taifa hili kiasi cha Trillioni 125 kuanzia mwanzo mpaka mwisho, na hapa ikijumuisha mapato katika mitizamo na angle zote possible! ITS SHOCKING!

WAY FOWARD: Hijja iwe ya mzunguko kama lilivyo kombe la Dunia ili na nchi nyingine masikini kama Tanzania tuweze kufaidi matunda ya biashara hii iliyoshushwa, nasi tujikwamue kiuchumi. Nawasilisha.

DON FRANCIS

Siddique said: “I am dead against Haj and Tablig Jamaat. Two million people have gone to Saudi Arabia to perform Haj. Haj is a waste of manpower. Those who perform Haj do not have any productivity. They deduct from the economy, spend a lot of money abroad.”
Bangladesh minister sacked after criticism of Haj | Arab News


‘The level of pampering offered by some of the hotels may jar with the ethos of sacrifice, simplicity and humility of Hajj but it is not a contradiction felt by the customers snapping up royal suites at $5,880 a night, eating gelato or milling around hangar-like lobbies of polished marble in their Hajj clothing of bedsheets, towels or burqas’

The economy of Hajj and Latif Siddique’s remarks | Dhaka Tribune

Werevu walishagundua siku nyingi kuwa hajj ni biashara tu kama ya kuona nyumbu kule serengeti. Hamna lolote zaidi ya msukumo wa uchumi.
 
wewe mleta maada, unapoona kitu kimeandikwa au kuamua kuandika mwenyewe, fanya upelelezi wa kina na kujua chanzo cha unachotaka kuwakilisha sio kukurupuka.
kufanya hivyo ni kuonekana ni mjinga ambae bora yule asokwenda shule hata siku moja kuliko wewe, hii kutokana na kuvamia habari au kuzusha habari ambazo huzijui vianzilishi vyake vimetoka wapi.
umejitoa thamani na kujidhalilisha kabisaa na kutokuwa na akili za binaadamu,
siku zote kuwa mwenye kufikiria kabla hujatenda, laa si hivyo umri wako utaishia pabaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom