Sasa imeumbuka nini? Unanchekesha.
Au roho imekuuma kusikia Makkah wanaingiza matrillioni wakati wa Haj? Utaungilika sana. Hiyo ni nchi iliyoombewa na Ibrahim na dua yake kukubaliwa:
Qur'an 14:37. Mola wetu Mlezi! Hakika mimi nimewaweka baadhi ya dhuriya zangu katika bonde lisilo kuwa na mimea, kwenye Nyumba yako Takatifu, ewe Mola wetu Mlezi, ili washike Sala. Basi zijaalie nyoyo za watu zielekee kwao, na waruzuku matunda, ili wapata kushukuru. ***
O our Lord! I have made some of my offspring to dwell in an uncultivable valley by Your Sacred House in order that they may perform As-Salat. So fill some hearts among men with love towards them, and (O Allah) provide them with fruits so that they may give thanks.
(Quran, Surah Ibrahim, Verse, 37)
Kwa taarifa yenu vitimbi vya kutaka kuzuia hija haikuanza leo.walianza makafiri wa enzi hizo kwa kutumia vifaru vya enzi hizo(tembo).lakini walichokipata wanajua.Ile ni amri imetoka kwa mungu na mungu atailanda hija na alkaba insha llah.
Quotation yako haina uhusiano na ulaji ulioneshwa kiwa unatokana na hija toa relevant information or quotation
Waache wakampige shetani kwa mawe!!!Sasa wale ambao watakufa hawajawahi kwenda kuhiji huyo shetani watampiga kwa mawe wapi!!? jehanamu!!!!!!!?
Akili za kusimuliwa,changanya na zako!!!!
Duh, ndomana "walioamini" na "kujaaliwa" salio kubwa ndo mana wanashurutishwa na "mtume wa walioamini" kwamba wakapunguze salio walau mara moja ktk maisha yao! kaz kwelikweli!
Tatizo ninyi vijitu, uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana, and
Alas mnatumia hizo hizo nyenzo zenu ndogo kifikra katika kuji-estimate, sasa nini kitatokea wadhani?
Hivi unadhani kijitu kama wewe nikakufananisha na mnyama alie dhalili kuliko wote nitakuwa nimekosea kifikra???
Huo "ulaji" uko wapi? jisomee vizuri hiyo aya, labda una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii, una ubongo lakini hauna akili.
Kwa taarifa yenu vitimbi vya kutaka kuzuia hija haikuanza leo.walianza makafiri wa enzi hizo kwa kutumia vifaru vya enzi hizo(tembo).lakini walichokipata wanajua.Ile ni amri imetoka kwa mungu na mungu atailanda hija na alkaba insha llah.
Ukiona mkristo ana kwenda Israel basi ujue anakwenda huko kama mtalii kwasababu Mungu wetu yupo kila eneo la dunia hii yeye ndiye aliyeiumba hivyo si rahisi kuteua eneo fulani eti ni takatifu kuliko eneo lingine.Mungu wetu anasikia kila lugha ya makabila yote hafungwi na lugha moja kwasababu huo nao ni ubaguzi wa wazi.
Ni bora kufa mwili kuliko kufa kiroho sasa wewe umechagua vyote viwili kwa wakati mmoja.
Faiza! Nimeongelea aya na yale yalioandikwa ya kuwa hayalingani! Nani ambae hayuko makini hapo?