Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Hivi wewe hapa unamuongelea Mungu au mungu?
Umevuta bangi?
Hivi wewe hapa unamuongelea Mungu au mungu?
mbona hata jukwaa la dini lipo kwa wenye akili timamu, si uingie uone tunavyokemea mapepo? Waislam wenyewe wanaokoka kwa kazi nzuri ya watumishi Ishmael, Nkwesa Makambo, mgen, Lisa Valentine, 2013
Hivi na marais wa Dunia nzima kwenda New York kila mwaka hili unalizungumziaje? Namaanisha UN.
Huko ni sehemu ya ibada na tutaenda Allah akituwezesha tena, lakini wanao msapoti mleta mada kama mngekuwa na akili ya ziada mgejiuliza kwanza kuhusu UN wanapofanya mikutano NY maraisi huwa wana lala wapi kwa muda gani na kwa manufaa gani maana kila mmoja wa waliohudhuria wanalipa zaidi ya 40m a night. Think about it
Dada wa chadema anahara ovyo!
Sasa sijui itakuwaje hao wadhamini wako wakipigwa chini 2015!
Hio kodi ya chumba utalipiwa na nani.
Labda uombe walokole wakuhifadhi in return na wao wachume vya mwlini mwako km PAULO alivyosema.
Uislam utawasumbua sana.kumbukeni uislam unalindwa na mungu.
uzuri wa jf.........
Uislam utawasumbua sana.kumbukeni uislam unalindwa na mungu.
Umevuta bangi?
Acheni matusi, jibuni hoja. Saudi Arabia haiingizi mapato makubwa? Hakuna maskini wanaoenda kuhiji huko, kupeleka kidogo walichonacho kwa matajiri? Nyama inayoletwa huku sio reject? Hoja kwa hoja
Unajuwa tofauti ya Mungu na mungu.
Bangi zangu zimenituma nikuulize swali hili, kama hujui sema upate elimu ya bure usijifanye ujuwaji wakati akili zako ni saa saba usiku.
Kwa nini mungu kawapa upendeleo wa kuwekwa kwenye jangwa iki waishike sala na wengine hakuwaweka huko?
Mungu gani mbaguzi hivyo anawapanga watu kwa mafungu, hawa anawapa neema, hawa anawanyima.
Hizi si ndio hadithi zile zile za "Israel taifa teule la mungu" zimekuja kivingine?
Nikisema Muhammad aliona Waisrael wana nguvu ya ushawishi kwa sababu ya siasa za dini na yeye akataka kuanzisha yake kwa watu wake, purely for political reasons ambazo tunaona zinaleta faida hizi za kiuchumi, nitakuwa nimekosea?
Hakuna maskin anayeenda Saudia kwa ajil ya hiyo Ibada coz sio kila mtu anaweza kuafford 6 mil to around 10 mil.
mbona hata jukwaa la dini lipo kwa wenye akili timamu, si uingie uone tunavyokemea mapepo? Waislam wenyewe wanaokoka kwa kazi nzuri ya watumishi Ishmael, Nkwesa Makambo, mgen, Lisa Valentine, 2013