tikakami wa lopelope
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,377
- 674
Umeona tofauti? Anakunywa kombe....maana yake kuna dawa inaingia mwilini....!
Yaani unaanza kusoma kuomba kisha unampa dawa! Siyo kisomo peke yake.....
Kombe linalo muogopa mwanaharamu ambaye akipita lazima lifunikwe. Kweli kazi ipo huko gizani.