Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Kwani ameuliza swali?Kabla hujajibiwa Mbinguni ndio nn? Au unazungumzia pepo?
Kwani ameuliza swali?Kabla hujajibiwa Mbinguni ndio nn? Au unazungumzia pepo?
Kibra ni nini?Point of correction thanks BT ubora wa mji wa mecca uko pale pale...kibla kipo pale.
Kwani haiuandikwa kwamba "nabii hakubaliki kwenye mji wake"? Ama ili akubalike pengine italazimika kutumike upanga?Ukiona imani pale ilipoanzia hakuna mwenyeji anayeifuata jua kuna walakini.. Chukua hatua...
Husinilazimishe ndo lugha gani? Nayo ni ya Mecca?Husinilazimishe kuelewa...