Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Wapi hakuna anayeifuata? Makkah kuna lango la kwemda jehanam tu na si kingine. Ndiyo maana shetani kaweka makaazi pale kila mwaka mnaenda hija ili kumpiga na vijiwe vidogo kama karanga kama mazuzu vile.
Wayahudi hawatambui imani yako...
Vitu Vingi mnavyofuata ni vya kibinadamu..
We mchaga unamfuata martin Luther eti rutheran kazi kweli
 
Na nyie mnavyoaema kua ukitaka kuona pepo aheeti ujue kiarabu
Lazima uvae kanzu. Lazima ufuge ndevu maskini majini yamewaharibu
Ndio maana nakuambia umekariri ubaya wa uislamu alikuambia baba ako ambaye na ye alikaririshwa na babu yako...
NB: uislamu ni dini pekee ya mwenyezi Mungu haina walakini ndani yake imeeleza na kugusa kila sehemu katika maisha.
Jifunze bila jazba
 
Mie ni muislam, lakin sidhani kama haya mambo mengine yana maana sana, wakati mwingine ndugu zangu katika imani mnependa kelele tu, watakuja hapa watakashifu dini, watatusi kila kitu, sijui huwq mnajiskiaje, kuleta mabishano yasiyo na kichwa wala mguu
 
Back
Top Bottom