Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Hivi hio kibla ni nini? Na hua inasaidia nini?
 
Yuko mbinguni lakini Mohamad Yuko chini kaburini bado anamsubili yesu amfufue
Nimeukiza kuhusu Yesu tu lakini nashangaa unanijibu kuhusu Muhammad. Hivi ninyi wakristo mbona mna matatizo sana?
 
Dini ni aina Fulani ya mental slavery!

Inachukua akili za wanadamu wengi na kuzifungia kwenye kasehemu kadogo mpaka zishindwe kufanya kazi ipasavyo!

Lakini pia dini zenu zinakashifiwa na kutukanwa kwa sababu ya nyinyi kupenda comparison za kijinga.

Huyu anasema mecca ni mji bora duniani. Yule atasema ni Jerusalem na mwingine atasema ni Vatican.

Mwisho wa siku mnatukanana na kutoleana maneno ya kashfa!

Mimi naamini Mungu yupo. Na njia pekee ya kwenda mbinguni ni kutenda yaliyo mema kama kuwajali yatima na wajane.

Hizi dini ni project za wazungu ambazo zimefanikiwa kuwakamata wengi.

You need to break out of that cage!
 
Mji Pekee wa heshima ni Vatican name yesu atashukia pale kuja kutuchukua mana yeye diye njia kweli na uzima. Waislam mmpotea njia rudini Kwa yesu
Tunaomba ushahidi wa andiko ndugu.
Vatican na Yesu vina uhusiano upi ?

na labda nikusahihishe kidogo.
Vatican city imelaumiwa na UMOJA WA MATAIFA kwa kuendesha makundi mbali mbali ya magwiji wa usambazaji wa Unga, human trafficking na utakatishaji wa pesa Haramu.
ushahidi
Analysis: What the Vatican does to stop money laundering
habari hii imaendika na GAZETI KUU LA KATOLIKI na sio wengine.

Sasa usiseme Vatican ni MJI WA HESHIMA manake HESHIMA SIO MAVAZI wala Majengo.

Ahsanta.
 
Sawa ila hapo kwenye mtume wa mwisho ndo ulipoharibu stori yako....mtume wa mwisho wa allah??
Yesu ndio Masihi alfa na omega wa kwanza na wa mwisho. Mtume wa MUNGU aliye juu
 
Kumeongelewa maka ndugu soma kwanza thread nzima boss
Mfano ungesema Maka ndio mji pekee wa kiislam ambapo wanawake na wanaume hufanya ibada pamoja, ingeonekana unalinganisha na miji mingine ya kiislam, au ungesema ndiko ambako waislamu wa jinsia tofauti husali pamoja. Mtoa maana sidhani kama alikusudia kulinganisha maka na miji mingine ya kiislamu bali na miji yote duniani. Wewe pia umeweka hoja yako kwa ujumla huo huo ambapo inakataaa.
 
Tunaomba ushahidi wa andiko ndugu.
Vatican na Yesu vina uhusiano upi ?

na labda nikusahihishe kidogo.
Vatican city imelaumiwa na UMOJA WA MATAIFA kwa kuendesha makundi mbali mbali ya magwiji wa usambazaji wa Unga, human trafficking na utakatishaji wa pesa Haramu.
ushahidi
Analysis: What the Vatican does to stop money laundering
habari hii imaendika na GAZETI KUU LA KATOLIKI na sio wengine.

Sasa usiseme Vatican ni MJI WA HESHIMA manake HESHIMA SIO MAVAZI wala Majengo.

Ahsanta.

salamaleko kahtaan
 
Kila mtu anayeleta mada za kuchokozana imani na matusi na kasha za watakatifu wa Mungu atajichumia dhambi kubwa sana. Kabla hujatuma post yako jiulize mara mbili na utafakari kwa kina nini itakuwa reactions za wasomaji, tusipende kulinganisha imani moja na nyingine, tuchunge vinywa vyetu na maandishi yetu yatakuja kutuhukumu. Bora tuhimizane kuacha dhambi na kutenda mema haya ndiyo mambo yatatufikisha mbinguni kama siyo peponi. Lkn kubishana nani mwenye imani bora hatuta pata dhawabu yeyote kama siyo kichuma dhambi tu, imani zote zinakataza kutenda dhambi, tulinganie hapo tuache kutukanana, midomo yetu na maandishi yetu yatatupeleka motoni hakika, let's be Wise.
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
basi waachieni waisrael Jerusalem, ninyi si mnao huo mji bora jamani, ili amani ipatikane middle east.
 
Kila mtu anayeleta mada za kuchokozana imani na matusi na kasha za watakatifu wa Mungu atajichumia dhambi kubwa sana. Kabla hujatuma post yako jiulize mara mbili na utafakari kwa kina nini itakuwa reactions za wasomaji, tusipende kulinganisha imani moja na nyingine, tuchunge vinywa vyetu na maandishi yetu yatakuja kutuhukumu. Bora tuhimizane kuacha dhambi na kutenda mema haya ndiyo mambo yatatufikisha mbinguni kama siyo peponi. Lkn kubishana nani mwenye imani bora hatuta pata dhawabu yeyote kama siyo kichuma dhambi tu, imani zote zinakataza kutenda dhambi, tulinganie hapo tuache kutukanana, midomo yetu na maandishi yetu yatatupeleka motoni hakika, let's be Wise.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa MGEN atajichumia dhambi? Maana yeye kila siku ni kumtukana Allah na Mtume Mohammad......'
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa MGEN atajichumia dhambi? Maana yeye kila siku ni kumtukana Allah na Mtume Mohammad......'
nikwambie mara ngapi mimi mgen sio mtukanaji ilaha ni Mtumishi wa Yesu tu wekaga tusi moja nililo tukana mimi huwa ninanukuu ilimu islamu...ref;
o2-223+%281%29.jpg
hqdefault+%289%29.jpg
ni matusi nitake radhi na umuombe maghufira allah kwa kuitakidi ilimu islam ni matusi
 
Mungu wa waislamu hajui lugha zingine
Anajua lugha ya bara la Asia
Pia ukimwomba Dua UKIWA umeelekeza uso mashariki,magharibi,kusini
Hakusikilizi
Anasikia ukielekeza uso kaskazini
 
Mungu wa waislamu hajui lugha zingine
Anajua lugha ya bara la Asia
Pia ukimwomba Dua UKIWA umeelekeza uso mashariki,magharibi,kusini
Hakusikilizi
Anasikia ukielekeza uso kaskazini
Uongo huo..
 
Uongo wangu uko wapi
Wakati Dunia nzima wanatumia lugha moja?
Huo fahari kutumia luvha moja mumwomba Mungu? Leo Quran ichomwe moto yote waislam wataiandika maana lugha ni moja na kila mwislam ana aya kichwani.
Lakini leo biblia icbomwe moto leo hote hamtaweza kuiandika. Kwanza uwezo wa kukariri aya zote kichwani hamna!
 
Back
Top Bottom