nife Abubakar
Member
- Oct 16, 2014
- 14
- 12
Uislamu ni dini ya mwenyezi mungu na yeye ndio atautetea na kama mnabisha endeleeni kitakachowapata ni haki yenu na kama mnataka kujua kuhusu uislam jifunze.
Tangu lini Mungu akawa na dini hebu elevuka mfuasi wa AllahUislamu ni dini ya mwenyezi mungu na yeye ndio atautetea na kama mnabisha endeleeni kitakachowapata ni haki yenu na kama mnataka kujua kuhusu uislam jifunze.
Huo ndio upuuzi mliofundishwa kanisani.NANI KAUMBA KIUME NA KIKE?
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Makanisani tunatumia Quran?Huo ndio upuuzi mliofundishwa kanisani.
Ndiyo!Makanisani tunatumia Quran?
Sawa mkuu na umejiandaaje na mizigo 40 kutoka kwa Allah subhana wataalaNdiyo!
Mungu hawezi penda mnachokifanya kwenye huu uzi.admini sijui upo wapi unaacha watu wanaanza kukashifiana dini, siyo lengo la JR hili. admin unakubali imani za watu zinadhalilika, wengine hawawezi penda kuona dini zinachafuliwa humu. suala la imani ni personal sana .ndo maana siku credibility ya JR inaonekana kushuka kwa sababu kama hizi.ADMIN UPO ACCOUNTABLE KWA HILI.Ndiyo!
Mtumishi hakuna mzigo wowote kuleTakbiiiir hakika hawa wamewahi mizigo 40 huko peponi mda huu wanangonoka tu
Inshallah munyaizi Mungu atufanyie wepesi ili tuifikie hyo pepo yenye mabikra na mito ya ulevi

Wewe huoni hao wanaosema Mtume Muhammad ni mbakaji ndio wanakashifu? Hilo hulioni.....Mungu hawezi penda mnachokifanya kwenye huu uzi.admini sijui upo wapi unaacha watu wanaanza kukashifiana dini, siyo lengo la JR hili. admin unakubali imani za watu zinadhalilika, wengine hawawezi penda kuona dini zinachafuliwa humu. suala la imani ni personal sana .ndo maana siku credibility ya JR inaonekana kushuka kwa sababu kama hizi.ADMIN UPO ACCOUNTABLE KWA HILI.
umeona dua mbaya aliyo omba muhammad kwa Mungu ili awaangamize Wakristo na WayahudiUislamu ni dini ya mwenyezi mungu na yeye ndio atautetea na kama mnabisha endeleeni kitakachowapata ni haki yenu na kama mnataka kujua kuhusu uislam jifunze.

Andiko la uongo!umeona dua mbaya aliyo omba muhammad kwa Mungu ili awaangamize Wakristo na WayahudiView attachment 688659 akagonga mwamba hadi leo Wakristo wanadunda...
![]()
![]()
msamehe bureWewe huoni hao wanaosema Mtume Muhammad ni mbakaji ndio wanakashifu? Hilo hulioni.....
Ila ukristo ukijibiwa kwa maandiko ndo unasema kuna kashfa! Na wale waliosema uislam rafikiye majini huoni kama wanakashfu pia? Maana hawana ushahidi wowote....
Tatizo ukristo ukizidiwa ndio mnakimbilia kumtaka admin awasaidie....
Mbona humu kuna mada kibao mpaka leo hazijafutwa zinazoukashfu uislam mbona hamjamwomba admin azifute?
hakuna kashfa humu ilaha tunalinganiana deen/Imaan
mwambie kama hayawezi asije huku...kwa Mujibu wa Ukristo kuanzia allah jiburilu muhammad na waislamu woote duniani ni makafir na ushahidi
Ukristo ni upagani! Kwa hiyo si hoja wala kiroja kuropokaropoka maneno ya kipagani.....msamehe burehakuna kashfa humu ilaha tunalinganiana deen/Imaan
mwambie kama hayawezi asije huku...kwa Mujibu wa Ukristo kuanzia allah jiburilu muhammad na waislamu woote duniani ni makafir na ushahidi
na nyinyi malyenge mnatuitaje?!![]()
Aliyeandika hapo...nani kadanganya![]()
![]()
![]()
unaona raha ilivyo mnatuita wapagani sisi tunawaita makafir , mwisho wa siku nakuita unichinjie mbuzi katoliki ili tushiriki pamoja Pasaka na wewe ikifika idi unanialika kula pilau makinikiaUkristo ni upagani! Kwa hiyo si hoja wala kiroja kuropokaropoka maneno ya kipagani.....

Mtume Paulo ndio amesema hivyo katika Matendo ya Mitume....kwamba ukristo ni Upagani!unaona raha ilivyo mnatuita wapagani sisi tunawaita makafir , mwisho wa siku nakuita unichinjie mbuzi katoliki ili tushiriki pamoja Pasaka na wewe ikifika idi unanialika kula pilau makinikia![]()
![]()
![]()
![]()
Asante kamanda, wamekupata, Mie napenda sana vielelezo vya ufafanuzi kama vyako mkuu!The exact center of the earth, was found to be near Ankara,capital of Turkey, at latitude 39° and longitude 34° mpe hiyo mkuu