Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Anza na ukristo. Biblia inasema hilo ni jina la kupanga tu maana limetokana na imani za kipagani!!!!!
kwa hiyo hata muhammad aliyewatambua Wakristo kwamba ni wacha Mungu na wasomi ametokana na wapagani
11357705_117231675276316_1160614483_n.jpg
tena amewahamishia pepo
7ff44ddfb1c53fede80a68de34cf4b43.jpg
hebu badilika...
 
Ulio yaandika umeyafanyia uchunguzi au unakuja na uzi ulio kosa mantiki....
Una uhakika mtume alizikwa macca? Prove
Una uhakika macca ndo mji ulio katikati ya dunia?prove
Una uhakika kibla ipo macca?prove
Na hii mada kama umeandika kwa niaba ya muslim..useme,maana kwa uelewa wangu mdogo naona kama haupo sahihi..
 
Kuna mambo makuu mawili kwenye hoja yako.
1. Tumelaaniwa kwa kuacha imani za babu zetu
2. China, India nk ukionekana wewe ni mwislam au mkristo unauawa
Hizo hoja zako ni uongo la sivyo:
1. Toa ushahidi sisi tumelaaniwa kwa kuacha imani za mababu zetu na kufuata dini za uislam au ukristo.
2. Toa ushahidi nani aliuawa kwa sababu yeye ni mwislam au kwa kuwa yeye ni mkristo.


Mkuu, kumbe hujuwi history....haujasoma?
 
Mwandishi mwenyewe alicho kiandika hakitambui naona kwenye comment huna facts kabisa...bila shaka wewe ni christian ila umekuja na uzi huu kutufarakanisha tu..
Kwa msaada tu,,,judaism,christianity,and islam can all be tied to the same individual....hizi dini zote tatu zinaitwa abrahamic religion,all arise from the same parent..abraham ndo chanzo na baba wa hizi dini zote...sasa kama wewe utaendelea kutoa povu endelea ila,,,ila ujue sijasema mimi haya yote kasema baba ako wa imani na the father of jihad around the global.
Ukinibishia mimi ni sawa nakumpinga yeye maana haya maneno sijayatoa akili kwangu.
 
Mwandishi mwenyewe alicho kiandika hakitambui naona kwenye comment huna facts kabisa...bila shaka wewe ni christian ila umekuja na uzi huu kutufarakanisha tu..
Kwa msaada tu,,,judaism,christianity,and islam can all be tied to the same individual....hizi dini zote tatu zinaitwa abrahamic religion,all arise from the same parent..abraham ndo chanzo na baba wa hizi dini zote...sasa kama wewe utaendelea kutoa povu endelea ila,,,ila ujue sijasema mimi haya yote kasema baba ako wa imani na the father of jihad around the global.
Ukinibishia mimi ni sawa nakumpinga yeye maana haya maneno sijayatoa akili kwangu.
Mmeanza kukimbia hoja.
 
makkah ndio mji pekee unaoonekana kwa satellite usiku ukiwa una'ngaa kama nyota iliyoko duniani
 
Mmeanza kukimbia hoja.
Tunakimbiaje hoja,kuna hoja umetoa hapo tukaikimbia?hebu tuoneshe
Jibu maswali ya wana jf usichukulie masiala kwenye vitu vya usiliazi kama huna uwezo wa kumudu ulicho kiandika ni vyema ukawa msomaji,naona una maneno ya vijembe sana,yamkini watu wanauliza wanataka kujifunza kitu lakini unajibu bra!bra! Hauelewek unapinga unatetea au unatoa ufafanuzi..mkuu tunahitaji utueleweshe sio porojo zako
 
Tunakimbiaje hoja,kuna hoja umetoa hapo tukaikimbia?hebu tuoneshe
Jibu maswali ya wana jf usichukulie masiala kwenye vitu vya usiliazi kama huna uwezo wa kumudu ulicho kiandika ni vyema ukawa msomaji,naona una maneno ya vijembe sana,yamkini watu wanauliza wanataka kujifunza kitu lakini unajibu bra!bra! Hauelewek unapinga unatetea au unatoa ufafanuzi..mkuu tunahitaji utueleweshe sio porojo zako
Bra bra bdio nini?
 
Mekkah ina heshima lakini inaonekana mlango wa kwenda mbinguni upo Yerushaleym. Kwani mtume wa Allah Bwana Muhamad alipotakiwa na Allah aende mninguni ilimbidi asafiri hadi Yerushaleym ili apande juu mbinguni.

Hili linadhihirisha Yerushaleym nk zaidi ya Makkah
Ukiwa unaishi Tabora ukitaka kwenda marekani utaenda DSM, hii sio DSM ni bora zaidi ya tabora ni miundmbinu ya kukufikisha marekani
 
Oyooo nakuuliza pia tena mama yake Yesu alikuwa Mkristo?
wee umekaa Hapo kibarazani kupiga porojo za mudi. Fanyeni kazi.

Umeulizwa dingi lake mudi Mzee ABDALAH lilikuwa LIISLAM?

Kamoooonn jibu swali
 
Back
Top Bottom