Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Huoni fahari kutumia lugha moja mumwomba Mungu? Leo Quran ichomwe moto yote waislam wataiandika maana lugha ni moja na kila mwislam ana aya kichwani.
Lakini leo biblia icbomwe moto leo hote hamtaweza kuiandika. Kwanza uwezo wa kukariri aya zote kichwani hamna!
Lakini leo biblia icbomwe moto leo hote hamtaweza kuiandika. Kwanza uwezo wa kukariri aya zote kichwani hamna!
allah mbala allah mbalaaa...akikusikia ni-tag
kumbe kuna waaakti unakubali ukweli eeh
