Mecca ndio mji bora duniani

na wewe unasemaje [emoji15] [emoji46]
Isa siyo Yesu ndivyo mnavyokimbiaga hoja ili ionekane aliyekufa msalabani ni Yesu na yule Quran inayemsema hakuuawa siyo Yesu. Uchochoro huo mnaotumiaga leo ndio mnataka kuutumia kwamba Yesu (Isa) hakufa ili mwendelee kupeta.
Sasa leo uchochoro huo haupo!
 
Kwani mkuu Mtume Mohamed alifia wapi? alifia Maka, madina au Yerusalem? alizikwa wapi?
Alizikwa Madina
 
Je huu mji wa mecca umezungumziwa katika maandiko matakatifu ya Mungu? Huko katika taurati ua Zaburi? Maana Yerusalem umetamalaki huko.
.

 
Hawa wa puuzi waliuliza swali Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu alitabiriwa na nabii/manabii gani? Nani alishuhudia au muujiza gani pasi shaka ulidhihirisha kushushiwa kwake Quran Tukufu toka kwa Mungu.


 
Mungu aliyeuawa na wanadamu aliowaumba mwenyewe? Unacheka kama zuzu.....


Shetani alimjaribu Bwana Yesu/ Mungu na akashindwa na akaambiwa imeandikwa usimjaribu Bwana Mungu wako.

Lakini Yakobo akashindana na Mungu akashinda akaitwa Israel.

Uzao wake ukamsulubisha Mungu pamoja nasi/Bwana Yesu ukafanikiwa. Ndio maana likaitwa taifa teule la Mungu maana kwa kupitia hili taifa/Israel Mungu alitimiza mpango wake aliouweka kwa ajili ya kumkomboa mwanadamu.
 
Sasa hebu ufafanue huo ujanja ujanja kwa maandiko. Ekezea kwa kituo na kimaandiko huo ujanja. Kisha na sisi tutakuonesha ujanjaujanja kwenye biblia. Naamini utasilimu wewe...
Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya nguvu za majini na -slam,na hapa ndipo -slam wengi wanapotekwa hasa kwa miujiza ya haya majini.
Albadili kama inavyo fahamika na ilivyozoeleka na wengi ambayo mara nyingi husomewa mtu ili adhurike chanzo chake ni jini liitwalo BADRI yaani jini vita.
Lakini kwa bahati mbaya uma wa -slam wasio elewa chochote inaposomwa hii wao hudhani kwamba ni Mungu huyo ndio katenda.
Yapo mengi ukiyafahamu huko huwezi kubaki lazima utaachia ngazi2
 
Huwa sipendi kubishana kwa masuala ya kidini mwisho wake ni kubaya, kila mtu anatetea upande wake na kila mtu anaponda dini ya mwenzake ...
 
Nabii tito kiboko yao anawatafuna tu
 
Aisee kumbe!!!! Fanya uwe wa nguruwe itapendeza zaidi. Wenye imani dhaifu.
Mara oooh mpango wa Mungu utimieee...
Mpango wa Mungu kumuua Yesu? Wakati Yesu mwenyewe ni Mungu! Au mpango wa Mungu (Yesu) kumuua Mungu (Yesu)?
Hoja za ajabu ajabu hapa hazitakiwi. Na ndio maana wakristo baada ya kushindwa kuuelewa uislam wameishia kuokoteza maandiko ya kwenye google wakidai ni Quran. Ukiyasoma wala hupati mtiririko!
Mara oooh aliyempa utume Muhammad ni adui wa Jibril.....
Upuuzi mtupu!
 
Haya uliyoongea ni mavi ya nguruwe kabisa! Hamna ushahidi wa kimaandiko bali ni fikra za kikanisa-kanisa tu. Ni ubwege mtupu!
bado nakukumbusha maelekezo ya mutume kwamba mawaidha mema na hekima ndio njia bora ya kuwalingania watu deen [emoji117] [emoji120] kwa nini hutaki kufuata maagizo ya muhammad dogo..[emoji46] [emoji348] [emoji348] kweli hujui wewe ndie unasababisha kupuuzwa kwa jeuri mtume wako [emoji46] [emoji15]
 
Mtume wangu nani maana sidhani hata kama unamjua jina.
 
Kwa hiyo unakiri maelekezo ya mtume yana hekima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…