Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Teeh teeh teeh

Eti mtu anaitwa kinyungu

Kabila letu sisi kinyungu maana yake mwanamke Malaya au kahaba kama yule rahabu wa kwenye biblia.


Halafu dada kinyungu kwani nani kasema hakuna mungu au hata unachoandika hukielewi?

We nahisi ushatwika mapuya au divai umelewa basi ujinga wote unaleta humu.

Hivi kati ya nyie makafiri na waislamu nani wanaokaa uchi?

Nyie akina kinyungu mpaka vichupi mnaingia navyo kanisani achilia mbali vimini sketi ndo maana wachungaji wanajitafuniaga tu akina dada kama nyie.

Sisi kwa kabila letu hilo jina lako maana yake ni dreaded ahttps://en.m.wikipedia.org/wiki/Isra_and_Mi%27rJina lako huku kwetu mtaani maana yake ni certfied asshole whore. Nyie watu mna tabu sana hamuoni hata aibu kukaa uchi kwenye nyumba ya Allah pale Makkah kazi kuja kupiga miluzi tu humu.
 
Sisi kwa kabila letu hilo jina lako maana yake ni dreaded ahttps://en.m.wikipedia.org/wiki/Isra_and_Mi%27rJina lako huku kwetu mtaani maana yake ni certfied asshole whore. Nyie watu mna tabu sana hamuoni hata aibu kukaa uchi kwenye nyumba ya Allah pale Makkah kazi kuja kupiga miluzi tu humu.
Teeh teeh teeh

Eti hydroxo ina maana kwa Kabila lenu!

Dada acha kuchekesha na kudhihirisha ugumbalu wako basi yaani hata mtoto mdogo aliyesoma basic chemistry anajua nini maana ya hydroxo.

Ebu ingia hata Google kisha search ligand hydroxo na complex compounds utapata maana ya jina langu.
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.

Hivi kibla ni nini
ilitoka wapi
Ina nini Ndani yake

???
 
Teeh teeh teeh

Eti hydroxo ina maana kwa Kabila lenu!

Dada acha kuchekesha na kudhihirisha ugumbalu wako basi yaani hata mtoto mdogo aliyesoma basic chemistry anajua nini maana ya hydroxo.

Ebu ingia hata Google kisha search ligand hydroxo na complex compounds utapata maana ya jina langu.
Hiyo chemisrty ww umeipapata mm naifanyia kazi. Huna cha kunifundisha kwenye chemistry yako ya sana sana form vi. Rudi kwenye mada yako ya wakaa uchi wa makkah huko kwenye kemia tuachie wenyewe. Maamuma
 
Heri yenu nyie mnaomtukuza mbakaji na mfiraji
Teeh.

Naona mchungaji mvaa madela ukisingizia kanzu unamwaga tu upako wa mitusi uliojifunza kanisani.

Yaani nyie watu bwana mnafurahisha sana.

Yani mnachojua nyie ni kulawiti vitoto kutafuna kondoo wenu na kutukana tu basi.

Kweli aliyewaita makafiri hakukosea.
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Swadakta
 
Walituletea dini ili watutawale wametuachia dini sisi ndo tunajifanya walimu wa dini aisee kweli weusi tumelaaniwa na kama kweli mungu yupo uyu wakwetu katuzira kabisa
Acha kunificha chini ya bawa la uafrica. Dini ni ustaarabu. Uislam unahimiza watu kutumia baada ya haja. Sasa wewe ulitaka kuendelea kutumia kujiburuta kwenye udongo?
 
Wayahudi hawatambui imani yako...
Vitu Vingi mnavyofuata ni vya kibinadamu..
We mchaga unamfuata martin Luther eti rutheran kazi kweli
Bora myahudi haitambui lakini Mungu anaitambua vema,,kuliko nyie mtume anaoa wanawake anazalisha mpaka anakua na wajukuu, afu bado mnamwabudu,,shida kweli
 
Kwa
Amejilipua lini na wapi? Acha kuropoka.
Hizo ni propaganda tu. Huwezi kukuta mwislam anaua watu. Hayo ni makundi ya kigaidi yaliyoundwa na mataifa ya magharibi kwanza kupata uhalali wa kuuza silaha kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kisha kuaminisha dunia serikali hizo hazihusiki. Ninyi wakristo mbona ni wataalam sana wa ku google habari za uongo za maisha ya mtume Muhammad mnashindiwa nini ku ggogle kujua magaidi wa kujilipua ni akina nani?
Mkuu hii habari ya kujilipua ni mpango mahususi wa kuangamiza uislam.
Ni kutumia maandiko vibaya. Mfano ni kama kutumia maandiko ya MATENDO YA MITUME VIBAYA. Mfano matendo ya mitume sura ya 10, sura ya 22 na sura ya 26. Mtu akitumia vibaya maandiko hayo ana form kundi la kigaidi.
Someni sana kwa undani maandiko mtaelewa. Hayo maandiko kwenye Quran wanayohalalisha kuua yametumika vibaya. Maandiko yanasema kama inavyosema biblia. Mfano Wamakabayo wa Pili sura ya 2 na sura ya 7 nk.
Jamani tusome maandiko.

Alshabaab, Boko Haram, Islamic State, etc
 
Hiyo chemisrty ww umeipapata mm naifanyia kazi. Huna cha kunifundisha kwenye chemistry yako ya sana sana form vi. Rudi kwenye mada yako ya wakaa uchi wa makkah huko kwenye kemia tuachie wenyewe. Maamuma

Umeabika kwenye kitu kidogo tu kutokujua hydroxo ni nini halafu eti ujitie unaijua chemistry!

Lakini sishangai nyie wagalatia kwenu kuongopa kama ibada tu kitu hata kama hukijui utajifanya unakijua.

Na ndiyo maana bila hata ya aibu mnamsingizia yesu kuwa ni Mungu hali ya kuwa mwenyewe alishasema ni mtu.

Yaani nyie ni wa kuhurumiwa tu.
 
Bora myahudi haitambui lakini Mungu anaitambua vema,,kuliko nyie mtume anaoa wanawake anazalisha mpaka anakua na wajukuu, afu bado mnamwabudu,,shida kweli
Hivi unatoa wapi hayo maandiko wapi? Kwamba waislam tunamwabudu Mtume Muhammad? Unaelewa ynachikiongea kweli? Mimi nadhani hata hamjui Muhammad ni nani katika uislam zaidi ya kumjua kwa nia ya kumtukana. Muhammad ni mtume wa Mungu. Haabudiwi na wala hachukuliwi kama ni Mungu. Pole sana kwa kutokuelewa. Endelea kutojua hivyohivyo iwe ni faida ya kukufaidini jinsi msivyojua.
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Bora hii ungeweka kama point ya mwisho, ila kuiweka ya kwanza kunakatisha tamaa kusoma vilivyobaki. Binadamu anaacha dhambi na bado anaishi 😀
 
Back
Top Bottom