Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Na wewe jibu....! Mama yake Yesu alikuwa mkristo?jibu swali wewee BABA MUDI ALIKUWA MUISLAM??????
Na wewe jibu....! Mama yake Yesu alikuwa mkristo?jibu swali wewee BABA MUDI ALIKUWA MUISLAM??????
Muddy Abdallah ndo nani we msuuzaa na muosha mavi ya wazee Denmark.mkuu naona unakwepa kwepa tuu hapa huchomoi. Umeulizwa baba yake muddy Abdala alikuwa muislam?
Mbona unaogopa kujibu
mnajifariji Sana pambaneni Na imani yenuMuddy Abdallah ndo nani we msuuzaa na muosha mavi ya wazee Denmark.
Yaani we jamaa akili za uchafu unaooshaga uko nahisi wote unaingia kichwani mwako.
Matokeo yake unskuja kuandika vitu hata havieleweki.
Halafu kuhusu uislamu sio hao uliowataja tu hata adam alikua muislamu.
Kumbe kuishi bila dhambi Duniani INAWEZEKANA? Basi WALIOOKOKA wapo sahihi na hakuna haja ya kuwabeza.Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Eti mtume wa mwisho wa Mungu..? Jerusalem ameshuka Mungu mwenyewe iweje huyo, mfalme mtume eti awe mtume wa Mungu.Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
Sasa hebu ufafanue huo ujanja ujanja kwa maandiko. Ekezea kwa kituo na kimaandiko huo ujanja. Kisha na sisi tutakuonesha ujanjaujanja kwenye biblia. Naamini utasilimu wewe...Hakuna dini apo....ni ujanja ujanaja wa mudi tu...mtu kaja miaka mia tano baada ya nabii yusuf...kaleta vjsheria vyake vya kipuuzi mjin apa...kukwepa matamio yake ya kingono
Umeulizwa swali weweee mbona unajingatangata? BABA YAKE MUDY, ABDALAH ALIKUWA MUISLAM?Hakuna mahala waislam wanamwabudu mtume Muhammad. Huo inaonesha nao ni umbumbumbu wa maandiko. Kwa hiyo wewe uislam huuelewi hata kidogo. Unapelekwapelekwa tu.
Na mimi nimeuliza mama yake Yesu alikuwa mkristo?Umeulizwa swali weweee mbona unajingatangata? BABA YAKE MUDY, ABDALAH ALIKUWA MUISLAM?
jibu swali weweee Abdala dingi lake mudy alikuwa muslam?Hakuna mahala najing'atang'ata. Wewe ndio unajing'ata ng'ata kujibu kuhusu mama yake Yesu! Jibu....
Na wewe jibu mama yake Yesu alikuwa Mkristo?jibu swali weweee Abdala dingi lake mudy alikuwa muslam?
Zungumzia dini sio sheria ya TzUnaelewa maana ya kubaka? Kisheria ukioa/kutembea na mwanamke chini ya miaka 17 ni kubaka sasa Mudy yy alioa mtoto wa miaka 7 na akaanza kumzini akiwa na miaka 9 hili ni kosa kubwa sana alitakiwa afungwe na siyo kuabudiwa
Wenyewe wanaamini mtume alienda mbinguni kwa Allah akakutana naye huko mbingu ya saba kwenye usiku wa mirajMtume alienda mbinguni? Hebu fafanua
oyoooooo nakuuliza Tena mshua wake mudy Mzee ABDALAH alikuwa muamudu jiwe jeusi la Mecca??Na wewe jibu mama yake Yesu alikuwa Mkristo?