Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Mungu Yupi?
inaonekana umerudia kusoma halafu hukuelewa. nikuulize tena, unajua kusoma na kuelewa. kama jibu ni ndio rudia kusoma post namba 363 halafu uelewe. ukirudisha hili swali consider us done. labda ntaendelea na mjadala mahali pengine.
 
Hakuna hilo andiko wewe! Ni wapi kwenye Quran wakristo NI WA CHAMUMGU?
Tatizo waislam wengi hawaelewi quran ndio maana kuna mikanganyiko mingi. Ukisoma suratil Baqara 2:62 inaeleza wazi kwamba wayahudi na Waksrito na Wasabai na yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu watalipwa kwa mazuri waliyoyafanya.
2: 62. Hakika Walio amini, na Wayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye
muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa
yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

Tatizo hizi hadithi ambazo Mungu kazikataza kwenye Quran ndio tunazifua kuliko Quran . Kwa mfano hakuna sehemu kwenye Quran imesema watu wakienda hija wampige shetani mawe. Quran iko very clear tujiepusha na mawe au masanamu lakini kwasababu watu wameiacha Quran nakufuata hadith unaona wanaenda kubusu na kulishika lile jiwe jeusi. Ukisoma Quran Surat Baqara, Surat Maida na Surat Hajj inaelezea hija yote na mambo gani yakufanya ukiwa Hija. Na hilo la kumpiga shetani mawe sijui wamelitoa wapi sababu Quran inasema majini na mashetani wameubwa kwa moto kwa hiyo huwezi kuwadhuru kwa kutumia vitu kama mawe, silaha etc.
 
Tatizo waislam wengi hawaelewi quran ndio maana kuna mikanganyiko mingi. Ukisoma suratil Baqara 2:62 inaeleza wazi kwamba wayahudi na Waksrito na Wasabai na yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu watalipwa kwa mazuri waliyoyafanya.
2: 62. Hakika Walio amini, na Wayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye
muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa
yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

Tatizo hizi hadithi ambazo Mungu kazikataza kwenye Quran ndio tunazifua kuliko Quran . Kwa mfano hakuna sehemu kwenye Quran imesema watu wakienda hija wampige shetani mawe. Quran iko very clear tujiepusha na mawe au masanamu lakini kwasababu watu wameiacha Quran nakufuata hadith unaona wanaenda kubusu na kulishika lile jiwe jeusi. Ukisoma Quran Surat Baqara, Surat Maida na Surat Hajj inaelezea hija yote na mambo gani yakufanya ukiwa Hija. Na hilo la kumpiga shetani mawe sijui wamelitoa wapi sababu Quran inasema majini na mashetani wameubwa kwa moto kwa hiyo huwezi kuwadhuru kwa kutumia vitu kama mawe, silaha etc.
hebu nijuze utaratibu unavokuwa. yani wanaanza kubusu lile jiwe kwani unaweza kulisogelea? au unalibusu kwa mbali. umbali unaoruhusiwa ni mita ngapi?
halafu wakimaliza kulibusu mawe wanayapiga wapi? kwenye jiwe hilo hilo?
 
Ndugu yangu mm uislam naujua vzr sana...
Nimeishi Zenji, nimeishi na waislamu toka nina miaka 6 hadi leo hii ndo nimetoka. Nimesoma madrasa japo nilikua mkristo so mm namjua vzr mudi.

Swali langu kwako....

Je Abdullah baba ake Muhamad alikua Muislamu?
Wakikujibu nitag mkuu
 
Kabla ya kuzungumzia Quran biblia imesema mbinguni utapewa mara 100 kile ulichokuwanacho duniani. Ina maana kama ulliacha mashamba heka mia utapata mara mia zaidi na kama ulikuwa na mke mmoja duniani mbinguni utapewa mara 100 yaani wanawake 100. Kuzungumzia bikira 72 ni ushamba maana biblia inaahidi wake 100. Nini wake 72 bhana....
Anzia hapo kujifunza.
Andiko gani hilo ebu nipe kifungu nisome mwenyewe
 
Hawa wa puuzi waliuliza swali Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu alitabiriwa na nabii/manabii gani? Nani alishuhudia au muujiza gani pasi shaka ulidhihirisha kushushiwa kwake Quran Tukufu toka kwa Mungu.
Hata Yesu hajawahi kutabiriwa! Kama unalo andiko toa....!
 
inaonekana umerudia kusoma halafu hukuelewa. nikuulize tena, unajua kusoma na kuelewa. kama jibu ni ndio rudia kusoma post namba 363 halafu uelewe. ukirudisha hili swali consider us done. labda ntaendelea na mjadala mahali pengine.
Nakuuliza tena ni yule Mungu yule aliyeuawa na wayahudi?
 
Hata Yesu hajawahi kutabiriwa! Kama unalo andiko toa....!
haj-throw.jpg
 
Nakuuliza tena ni yule Mungu yule aliyeuawa na wayahudi?

sasa umejipambanua kidogo. nazungumzia Mungu aliyeziumba mbingu na nchi. ni yeye aliyefanyika mwili wa mwanadamu uliouwawa kwa matakwa ya Mungu mwenyewe pamoja na wayahudi kuwa na mkono kwenye mauwaji hayo. Ndio ni yeye huyo huyo aliyeumba mbingu na nchi. hii inaweza kuwa ngumu kidogo kwako kuelewa.
 
sasa umejipambanua kidogo. nazungumzia Mungu aliyeziumba mbingu na nchi. ni yeye aliyefanyika mwili wa mwanadamu uliouwawa kwa matakwa ya Mungu mwenyewe pamoja na wayahudi kuwa na mkono kwenye mauwaji hayo. Ndio ni yeye huyo huyo aliyeumba mbingu na nchi. hii inaweza kuwa ngumu kidogo kwako kuelewa.
Ngumu kuelewa? Ni kwa sababu ni uongo!
 
Back
Top Bottom