Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Ndugu yangu mm uislam naujua vzr sana...Ndio maana nakuambia umekariri ubaya wa uislamu alikuambia baba ako ambaye na ye alikaririshwa na babu yako...
NB: uislamu ni dini pekee ya mwenyezi Mungu haina walakini ndani yake imeeleza na kugusa kila sehemu katika maisha.
Jifunze bila jazba
Nimeishi Zenji, nimeishi na waislamu toka nina miaka 6 hadi leo hii ndo nimetoka. Nimesoma madrasa japo nilikua mkristo so mm namjua vzr mudi.
Swali langu kwako....
Je Abdullah baba ake Muhamad alikua Muislamu?