Mecca ndio mji bora duniani

Mecca ndio mji bora duniani

Mkuu wakristo wakionaga mada inayohusu uislam huwa wanaanza matusi na hoja mbovumbovu. Hakuna mahala waislam huanzisha matusi bali wakristo hupenda sana kuanzisha matusi. Hasa matusi yasiyo na ushahidi. Mara utasikia wanamtukana Muhammad malaya, mara mbakaji.....bila ushahidi. Wana vihoja uchwara vya kuungaunga tu. Ukiwaambia walete ushahidi watakuletea ushahidi wa wikipedia au articles kutoka mtandaoni. Hao ndio wakristo wa Tanzania......
nakubaliana na wewe kaka lkn sio wakristo wote wenye kuyafanya hayo.
kingine ni kuwa Sisi waislamu tunatakiwa kuwa mfano bora. hao wanaotukana sio WAKRISTO WA KWELI bali ni Wafuasi wa Sheitan.
Mimi nimepambana nao sana huko nyuma na nimejifunza kuwa wakati wangu ni muhimu kuliko kubishana na wapuuzi.
Ibada kwetu sisi ni kukumbusha tu.
we toa darsa kisha waache wapuuzi na upuuzi wao.
kumbuka huu msamiati.
"funika kombe mwana wa haramu apite"
 
Sijapanic. Wewe ndio mwongo. Umetoa 2:97 Quran kwa kuchomeka maneno yako. Haisemi hivyo. Acha uongo.....
huyu PNC ni mchungaji aliyejipachika cheo aliyeanzisha sehemu yake ya kuabudu anachojua yeye kwa pesa za mkopo pale mabibo.

hilo jumba lao la hizo ibada limekosa abiria kabisa mwaka wa nne huu sasa hasira zake anamalizia waislamu.

msamehe bure.
njaa ikipanda kichwani Inaharibu kila kitu.
mpk ladha ya hanjumati.
 
Ni mji pekee unaotembelewa na watu walioamua kuachana na dhambi kwa wakati mmoja zaidi ya mil3.
Ni mji pekee ambao mtume wa mwisho wa mwenyezi Mungu amezikwa.
Ni mji pekee ambao upo katikati ya dunia.
Ni mji pekee ambao kibla kinapatikana.
OK!Basi, ni uzuri wa kutosha Wapalestina wakashauriwa waung'ang'anie mji huo wachane na Jerusalem. Hapo vipi?
 
Mecca ni katikati ya dunia kutoka wapi? hili mie nalipinga kwani halina ukweli hata chembe (labda unafafanue).
Waliokwenda na kurudi 'matendo' mbona yanakuwa yaleyale?
The exact center of the earth, was found to be near Ankara,capital of Turkey, at latitude 39° and longitude 34° mpe hiyo mkuu
 
huyu PNC ni mchungaji aliyejipachika cheo aliyeanzisha sehemu yake ya kuabudu anachojua yeye kwa pesa za mkopo pale mabibo.

hilo jumba lao la hizo ibada limekosa abiria kabisa mwaka wa nne huu sasa hasira zake anamalizia waislamu.

msamehe bure.
njaa ikipanda kichwani Inaharibu kila kitu.
mpk ladha ya hanjumati.
Duh....mchungaji mzima mweupe namna hiyo kichwani?
Anasema Muhammad mbakaji na muuaji wakati kuna ubakaji mkubwa kupata kutokea hapa duniani tunauona kwenye biblia...
Nampa pole yake.
 
Duh....mchungaji mzima mweupe namna hiyo kichwani?
Anasema Muhammad mbakaji na muuaji wakati kuna ubakaji mkubwa kupata kutokea hapa duniani tunauona kwenye biblia...
Nampa pole yake.
watu wa namna hio wasipoteze wakati wako akhy.
huyu jamaa ukikutana nae hata km huna imani lzm umpe hela ya kula.
kabaki mfupa na ngozi
 
Duh....mchungaji mzima mweupe namna hiyo kichwani?
Anasema Muhammad mbakaji na muuaji wakati kuna ubakaji mkubwa kupata kutokea hapa duniani tunauona kwenye biblia...
Nampa pole yake.
Nionyeshe ubakaji wa kwenye Biblia kama ulikubalika mkuu.
 
hii ligi yenu haitaisha, maana mnapambana na suala la imani aliyonayo mtu, itoshe kusema njia ya wokovu na kuiona mbingu ni kushika amri kuu zile kumi tena alizopewa mtu pekee aliekuwa na uwezo wa kuongea na Mungu direct MUSA huyo.lakini pia lazima kumkiri yeye aliyekuja kuukomboa ulimwengu kwa damu yake msalabani, sasa wapo wapinga kristo wametajwa na wanajulikana,kila mtu abaki na yake imani ila siku ya hukumu kitajulikana tu.
 
hii ligi yenu haitaisha, maana mnapambana na suala la imani aliyonayo mtu, itoshe kusema njia ya wokovu na kuiona mbingu ni kushika amri kuu zile kumi tena alizopewa mtu pekee aliekuwa na uwezo wa kuongea na Mungu direct MUSA huyo.lakini pia lazima kumkiri yeye aliyekuja kuukomboa ulimwengu kwa damu yake msalabani, sasa wapo wapinga kristo wametajwa na wanajulikana,kila mtu abaki na yake imani ila siku ya hukumu kitajulikana tu.
Damu ya msalabani imeandikwa wapi?
 
Kwani ni wapi kwenye Quran imesapoti ubakaji?
asalam aleikum ust malyenge hatma nabii ametahadharisha kwamba usiulize maswali ambayo ukidhihirishiwa itakuchukiza na kujaa povu
vol3_Page_265.png
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom