Mdude Nyangali CHADEMA azuiwa kusafiri nje ya nchi na DCI. DCI kapata wapi mamlaka ya kuzuia mtu asisafiri?

Mambo mengine ni upumbavu, huyo Mdude ana kitu gani cha maana cha kufanya huko nje ya nchi hadi wamzuie?
Upumbavu tu wa Viongozi, wapinzani wamepata publicity Nchi nzima kwa miaka yote hii kwa ujinga wao ccm. Sasa mtu kama Mdude unamzuia ili iweje? Si kudraw attention tu.
 
Hivi huu Ujinga bado upo? Au ndo 4R kwa kiwango cha standard gauge ? my foot !...Kumbe tuna wafungwa wanaotembea? DCI vipi kulikoni?

Au una kwazwa sana na watu wenye maoni Huru? Nimetaarifiwa kuwa umeweka zuio mdude Chadema asitoke nje ya Nchi eti?

Kwa hiyo anakifungo kwa Mujibu wa Ofisi yako? Au hujui wala kuheshimu haki za kikatiba za watu? Kosa gani analo tuhumiwa nalo?

Tuambie na toka wazi useme ni wananchi wangapi hiyo Mahakama yako ya mfukoni imewawekea Mazuio? Mwachieni Mdude Nyagali siyo Muhalifu.

Ashukuru maana wengine huambiwa sio watanzania
 
Back
Top Bottom