maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,223
- 1,613
Siyo wote ni wakulima, wengine wanasubiri mavuno wanunue kwa ajili ya kuuzaAnatoroka kwenda wapi na huu ni msimu wa kilimo anatakiwa awe shambani na wanakijiji wenzake akizalisha mali.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app