tundu007
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 260
- 136
na hiyo asili imetoka wapi hujiulizi ww?Mkuu kifo ni asili ya binadam
Ukizaliwa lazima utakufa
na hiyo asili imetoka wapi hujiulizi ww?Mkuu kifo ni asili ya binadam
Ukizaliwa lazima utakufa
ww unaonekana hujui ulipotokea na hujui unapoelekea!Asante,Tena jiandaeni, nasi wapagani tutafungua hekalu letu la ibada asilia, tushawachoka Hawa ndugu vichwa maji waabudu wayahudi
Duh! hiyo sio mchezo kabisa,vp na kwa waarabu nao wanaichukuliaje dini waliyotuletea?mtoa mada ungekuwa ulaya ungekuwa mbali sana,
watu dini tumeletewa lakini tulivo bize hadi WARABU NA WAZUNGU wanashangaa,
juzi kati nlikutana na binti wa Ki-Dutch tulikuwa tunabadilisha mawazo nikamuuliza huko kwao dini wanaichukuliaje?
akadai kwao wanajali kazi zaidi kwanza, swala la kwenda church inabaki ni imani kwa mtu, uende usiende hakuna anayekuuliza,
ila ameshangaa sana hapa TZ watu walivo makini na dini kuliko kazi,
Labda kama unasali ktk vile vikanisa vya watu binafsi ie kwa 'mlima wa baridi' , 'kanisa la ulazima na ufukuaji', 'kanisa la kikobe' nkNi kweli mimi nina miaka kadhaa sikanyagi nyumba yoyote ya IBADA kwa ajili ya maudhi ya Viongozi wa dini ndani nyumba hizo za ibada haiwezekani leo sadaka itolewe wazi wazi huku waumini wakipiga makofi au Furaha, Yani ni Panakera kabisa Ukiwa na Hela nyumba za Ibada ni rafiki ila Fulia sasa hapafai kabisa
Mbona sijaelewa hapo,kama dini inafanya watu kuwa wavivu na kukosa muda wa kutafuta hela je,hiyo michango huwa wanachanga mawe?Mkuu kwanza dini zinafanya watu wawe wavivu,
Km unaambiwa usiyasumbukie ya dunia yatajisumbukia yenyewe maana yake nn
Unaambiwa Mali na fedha za dunia uzihesabu km mavi, utapata wapi muda wa kuhangaika kuzitafuta?
Unaambiwa usihangaike na kesho itajihangaikia yenyewe
Dini haimuokoi mtu, matendo ndio kila kitu watu wengi kama sio wote wanaojifanya ni wadini huwa ni wachafu kuliko shetaniDini zote mashaka matupu
Haya maelezo wewe umeyatoa wapi,vp mwengine nae akiwa na maelezo tofauti na haya?huwezi kumthibitisha Mungu kwa kumshika, kikubwa unatakiwa utambue na uamini moyoni mwako kwamba, kuna nguvu iliyo nje ya uwezo wako, nguvu ya asili ambayo ni MUNGU mwenyewe
Na usipofanya hayo inakuaje mkuu?Dini haitakufanya wewe umwone Mungu, sahau
Ili siku moja ufike kwa Mungu watakiwa ufanye hata:
1. Uamini akilini mwako kwamba kuna nguvu iliyo nje ya uwezo wako
2. Hakikisha unachukia na kuachana na uovu wote maishani mwako
3. Tenda haki, simamia haki, tetea haki kwa nguvu zako zote maishani mwako
4. Wapende binadamu wte bila ya kuwabagua na uwe tayari kuwasaidia pahala unapojiweza
5 na mwisho, ipende kazi na uifanye kwa bidii kuhakikisha unaifanya dunia hii kuwa makao ya wanadamu, kupitia kazi ya mikono yako Mungu atakubariki
Ni kweli mungu mmoja ila binaadamu wana rangi tofauti weusi na weupe,mungu mmoja ila hali za maisha za watu ni tofauti wengine masikini wengine matajiri.We fikiria Mungu mmoja ila eti kuna aliowapa mamlaka ya kuoa mke mmoja tu na wengine zaidi ya mmoja, sasa ni kweli Mungu wetu ana upendeleo ama ni janja tu za watu fulani na masrahi yao?
Tena fikiria, Mungu mmoja lakini dini ziwe tofauti, yaani muumba awe mmoja lakini eti huku kuna Mtume na kule yupo Yesu ila Mungu ni mmoja ...so what?
Inashangaza zaidi kumbe hata Mtume/Yesu ni zaidi ya mmoja kwani hata wafuasi wao kila mtu ana Yesu/Mtume wake, wanabaguana kama nini lakini utasikia wote ni wa Mtume/Yesu.
Hivi hii mizengwe ni kwa faida ya nani, hivi kweli Mungu anahusika kwenye haya ama ni mipango tu ya makundi fulani?
Ninachokijua mie ni kwamba kila mtu kuna kitu anachokiamini toka akizaliwa, dini inaweza kufa lakini imani ya mtu kwamba yupo Mungu hiyo itasalia daima milele
tabata ya nachingwea au ya dar?tabata
Hao wazungu wakishajichanganya humo baadae utaona watakavyoanza kuingiza madudu yao humoUislaam tu ndio unapata nguvu duniani Kote, ulaya na marekani watu wanajifunza na kuelewa ni dini isiyo na Shaka.
Kama tofauti zimewekwa na Muumba hizo hazina shida mfano kuzaliwa wapi ama wa kabila gani hakuna aliyeomba ama kuamua yeye ila haya yanayopangwa na binadamu mwenzetu kwa ajiri ya masrahi yake kwanza ni kuleta mifarakano na yanatakiwa kupigwa chini iwezekanavyo. Mie nikifa ni mali ya Mungu yeye ndo atajua hatma yangu na si dini zetu. Matendo na wema wangu ndo vitakavyoniokoa siku ya kihamaNi kweli mungu mmoja ila binaadamu wana rangi tofauti weusi na weupe,mungu mmoja ila hali za maisha za watu ni tofauti wengine masikini wengine matajiri.
Nashindwa kuelewa kwanini watu walipie sadaka mahubiri ya siasa na majungu makanisaniMungu ni mwema niko na afya na mwenye nguvu, nakusalimuni nyote popote mlipo, amani iwe nanyi.
Naona mdogo mdogo watu wameanza kustuka kuhusu hizi dini, kwamba michango imekuwa mzigo makanisani, mpaka mtu unaogopa kwenda km huna hela,
Sadaka tu vikapu kibao, na amini si muda mrefu kutoka sasa itachukua watu watakuwa wameelewa kwamba dini zilikuja kwa makusudio Fulani kwa faida za watu au kikundi Fulani.
Wale wote ambao walisha shtukia dili za hawa watu nakuombeni tuendeleee kuuambia ulimwengu juu ya dini, kwamba dini ni biashara km biashara zingine tu
Dini sio Mungu na Mungu sio dini,
Dini ilikuwa ni mawazo ya watu tu kuhusu Mungu.
Chukueni hatua
Hivi Leo Mungu akiondoa kifo na aruhusu kila kitu binadamu anachokihitaji akipate wakati wwte, hivi kuna binadam yeyote atakayeenda nyumba ya ibada kuomba? Akienda ataomba nini?Wewe utachuja n.a. kupauka,dini zitasimama
Km unayo tofauti nawe yaseme,Haya maelezo wewe umeyatoa wapi,vp mwengine nae akiwa na maelezo tofauti na haya?
Si lazima uyafuate mkuuNa usipofanya hayo inakuaje mkuu?