ni dini isiokuwa na shaka ndani yake...Kwann uisilam?
ni dini isiokuwa na shaka ndani yake...Kwann uisilam?
Neno lenyewe LA WAFUWASI linatokana na maneno WAFU +WAASI Kwa mujibu wa biblia wanajulikana kama CHUKIZO LA UHARIBIFU LILILO SIMAMA PATAKATIFUMungu ni mwema niko na afya na mwenye nguvu, nakusalimuni nyote popote mlipo, amani iwe nanyi.
Naona mdogo mdogo watu wameanza kustuka kuhusu hizi dini, kwamba michango imekuwa mzigo makanisani, mpaka mtu unaogopa kwenda km huna hela,
Sadaka tu vikapu kibao, na amini si muda mrefu kutoka sasa itachukua watu watakuwa wameelewa kwamba dini zilikuja kwa makusudio Fulani kwa faida za watu au kikundi Fulani.
Wale wote ambao walisha shtukia dili za hawa watu nakuombeni tuendeleee kuuambia ulimwengu juu ya dini, kwamba dini ni biashara km biashara zingine tu
Dini sio Mungu na Mungu sio dini,
Dini ilikuwa ni mawazo ya watu tu kuhusu Mungu.
Chukueni hatua
Uislaam tu ndio unapata nguvu duniani Kote, ulaya na marekani watu wanajifunza na kuelewa ni dini isiyo na Shaka.
Hapa haiongelewi dini ipi bora ipi sio bora bali michango.....kasoro uislam
Sio issue ya Michango, ni wewe na Mungu wako. Kama Michango ni zaidi ya Mungu wako utaacha kuenda na kama Mungu wako ni juu ya michango hutaona shida wala aibu.Punguzeni michango ili kila mmoja aweze kuja na kukisikilizeni
Kila siku mnajitoa mhangaUislaam tu ndio unapata nguvu duniani Kote, ulaya na marekani watu wanajifunza na kuelewa ni dini isiyo na Shaka.
Drones zimeongezeka pia maana kujilipua hamchelewi....Uislaam tu ndio unapata nguvu duniani Kote, ulaya na marekani watu wanajifunza na kuelewa ni dini isiyo na Shaka.
Aisee alaaniwe huyo mchungaji wenuKanisa moja nilitembelea kulikuwa na changizo wengi walitoa ahadi za mapesa na wengine wakatoa live wengi tuliwapigia makofi na kushangilia kw jinsi ahadi zilivyokuwa zilkitolewa ndg mmoja akatoka mbele akasema yeye atajitolea kufunga na kuomba ili watu wote walitoa ahadi wafikie malengo yao I'll kazi ya Mungu isikwame mchungaji akasema hapa hakuna maombi Wala Nini hapa ukisimama ni hela ama ahadi ya hela tu...! Ajabu yule mtu hakupigiwa makofi Wala kushangilia! Ndiko tulikofika
Dini ni taratibu walizo jiwekea wanadam katka kumtafuta Mungu na kumfikia kwa iman wanayo aminiDini ni nini? Tuanzie hapo.
Kama kwel unamtafuta Mungu aliye mkuu michango sio tatizo Mungu huwa anaonekana sana katka utoaj kwa sababu yeye Mungu mwenyew natural yake n utoaj huwez kubalikiwa kama sio mtoaj tatizo watu weng wanaenda makanisani sio kwa ajil ya kumtafuta Mungu ndio wakisikia michango wanaona sio sawaPunguzeni michango ili kila mmoja aweze kuja na kukisikilizeni
Nimeogopa sana!Kanisa moja nilitembelea kulikuwa na changizo wengi walitoa ahadi za mapesa na wengine wakatoa live wengi tuliwapigia makofi na kushangilia kw jinsi ahadi zilivyokuwa zilkitolewa ndg mmoja akatoka mbele akasema yeye atajitolea kufunga na kuomba ili watu wote walitoa ahadi wafikie malengo yao I'll kazi ya Mungu isikwame mchungaji akasema hapa hakuna maombi Wala Nini hapa ukisimama ni hela ama ahadi ya hela tu...! Ajabu yule mtu hakupigiwa makofi Wala kushangilia! Ndiko tulikofika
Japo inapigwa vita ila ndo kimbilio la wengiUislaam tu ndio unapata nguvu duniani Kote, ulaya na marekani watu wanajifunza na kuelewa ni dini isiyo na Shaka.
Alikuwa amevurugwa tu huyo.Kanisa moja nilitembelea kulikuwa na changizo wengi walitoa ahadi za mapesa na wengine wakatoa live wengi tuliwapigia makofi na kushangilia kw jinsi ahadi zilivyokuwa zilkitolewa ndg mmoja akatoka mbele akasema yeye atajitolea kufunga na kuomba ili watu wote walitoa ahadi wafikie malengo yao I'll kazi ya Mungu isikwame mchungaji akasema hapa hakuna maombi Wala Nini hapa ukisimama ni hela ama ahadi ya hela tu...! Ajabu yule mtu hakupigiwa makofi Wala kushangilia! Ndiko tulikofika