Mdogo mdogo dini zitakosa wafuasi

Mdogo mdogo dini zitakosa wafuasi

kama mimi muislam basi dini yetu ni mfumo mzima wa maisha.
Wakoloni wqlituletea dini ili watutawale, na wamefanikiwa

Tundu007 dini ni utaratibu wa watu tu walojiwekea jinsi ya kumwabudu Mungu

Dini sio Mungu na Mungu si Dini

Ndio maana kuna dini nyingi na kila dini INA utaratibu wake wa kuendesha ibada zao

Hakuna cha dini ya kweli wala ya haki,
 
Wakoloni wqlituletea dini ili watutawale, na wamefanikiwa

Tundu007 dini ni utaratibu wa watu tu walojiwekea jinsi ya kumwabudu Mungu

Dini sio Mungu na Mungu si Dini

Ndio maana kuna dini nyingi na kila dini INA utaratibu wake wa kuendesha ibada zao

Hakuna cha dini ya kweli wala ya haki,
labda nikutanue kidogo!tumeumbwa rangi tofauti na mataifa tofauti na rangi tofauti ili tutape kutambuana!na haiwezekani wote tukawa matajiri!so kuletwa dini na wenzetu sio sababu ya ww kutoamini!mfano leo ww unavaa nguo wakati kiasili lubega ndo zilikua mavazi yetu!unatumia smart phone na kadhalika!so ndo maana nasema usijinasibishe na ngombe!.
 
Wakoloni wqlituletea dini ili watutawale, na wamefanikiwa

Tundu007 dini ni utaratibu wa watu tu walojiwekea jinsi ya kumwabudu Mungu

Dini sio Mungu na Mungu si Dini

Ndio maana kuna dini nyingi na kila dini INA utaratibu wake wa kuendesha ibada zao

Hakuna cha dini ya kweli wala ya haki,
Wizi mtupu
 
labda nikutanue kidogo!tumeumbwa rangi tofauti na mataifa tofauti na rangi tofauti ili tutape kutambuana!na haiwezekani wote tukawa matajiri!so kuletwa dini na wenzetu sio sababu ya ww kutoamini!mfano leo ww unavaa nguo wakati kiasili lubega ndo zilikua mavazi yetu!unatumia smart phone na kadhalika!so ndo maana nasema usijinasibishe na ngombe!.
Mkuu dunia inabadilika kila Leo, utani ulonitania hauna mantiki
 
Tushachoka na kamba zao, sada wanafungisha ndoa za wanaume, mashekhe na mapadre Wana najisi watoto.....hamna kitu uwongo mtupu
 
Bila hizo dini story za Mungu mngezijulia wapi? Pumzi yangu ikikata itamaanisha mungu hayupo?
Kumbe we ulifunzwa Mungu kupitia dini???? Pole wenzio tuna dini na imani zetu told enzi naenzi, sio kurani Wala biblia katiba zetu,
 
Back
Top Bottom