Lipa deni la watu uza hata hiyo cmNi baada ya kumwambia kwa sasa nitashindwa kulipa deni lake la laki tatu hali yangu bado sio nzuri ajabu hiyo kauli aliyonipa ni kuwa amenisamehe ila niwe makini barabarani hii kauli alikuwa na maana gani wadau?
Ongea nyama kijana hii kauli tataAtakugonga huyo anamaanisha
Mzee mwenzangu nirekebishe nilipokosea maana umri umesonga Kuna tamathali zinaibuka Sina nipijualoOngea nyama kijana hii kauli tata
Huyo mtu sio mtu mzuri mkuuNi baada ya kumwambia kwa sasa nitashindwa kulipa deni lake la laki tatu hali yangu bado sio nzuri ajabu hiyo kauli aliyonipa ni kuwa amenisamehe ila niwe nmakini barabarani hii kauli alikuwa na maana gani wada
Kazi kweli!!🙄🙄