Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Mdahalo Star Tv: Nape, Jussa na Marando

Nakubaliana nawewe 100%, hauwezi ukawa unajiita jemedari wa kupiga vita ufisadi halafu wewe mwenyewe ndio unakua front line
kuwatetea wakishitakiwa.

Marando ndio ni wakili, lakini hata mawakili wana values and principles wanazosimamia individually nje na kazi zao. Kuna mawakili hawataki kazi za kutetea majambazi, kuna mawakili hawataki kutetea wala rushwa hata kwa malipo gani, kuna mawakili hawataki kutetea viwanda vya pombe. Sasa Marando hapo kachemsha... ama aachane na siasa abaki kuwa wakili, au afanye yale anayoyaamini. Kiongozi mzima wa CHADEMA anaonekana mahakamani akitetea kwa nguvu majitu yalijichotea mabilioni ya umma... it leaves a real bad taste!
Hili swala ingawa linakanganya lakini think Big, je wale watuhumiwa wakishinda ile kesi huoni kama itakuwa tuliwanyima haki zao za kupata msaada wa kisheria?
Je kwenye kesi ya Babu seya ambayo ni kubaka watoto, Marando ndiye alifanikiwa ile rufaa mpaka watoto wawili wakaachiwa na mahakama ya rufaa, sasa je hapa tutasema Marando anakumbatia ubakaji?
 
Sijamsikia Nape akiponda CUF, cdm inapgwa vita na cuf na washkaj zao ccm.
 
Nakubaliana nawewe 100%, hauwezi ukawa unajiita jemedari wa kupiga vita ufisadi halafu wewe mwenyewe ndio unakua front line<br />
kuwatetea wakishitakiwa.<br />
<br />
Marando ndio ni wakili, lakini hata mawakili wana values and principles wanazosimamia individually nje na kazi zao. Kuna mawakili hawataki kazi za kutetea majambazi, kuna mawakili hawataki kutetea wala rushwa hata kwa malipo gani, kuna mawakili hawataki kutetea viwanda vya pombe. Sasa Marando hapo kachemsha... ama aachane na siasa abaki kuwa wakili, au afanye yale anayoyaamini. Kiongozi mzima wa CHADEMA anaonekana mahakamani akitetea kwa nguvu majitu yalijichotea mabilioni ya umma... it leaves a real bad taste!
<br />
<br />
 
Nakubaliana nawewe 100%, hauwezi ukawa unajiita jemedari wa kupiga vita ufisadi halafu wewe mwenyewe ndio unakua front line<br />
kuwatetea wakishitakiwa.<br />
<br />
Marando ndio ni wakili, lakini hata mawakili wana values and principles wanazosimamia individually nje na kazi zao. Kuna mawakili hawataki kazi za kutetea majambazi, kuna mawakili hawataki kutetea wala rushwa hata kwa malipo gani, kuna mawakili hawataki kutetea viwanda vya pombe. Sasa Marando hapo kachemsha... ama aachane na siasa abaki kuwa wakili, au afanye yale anayoyaamini. Kiongozi mzima wa CHADEMA anaonekana mahakamani akitetea kwa nguvu majitu yalijichotea mabilioni ya umma... it leaves a real bad taste!
<br />
<br />
No thank you,maelezo yako ni sahihi tu kama Marando angekiri anatetea hao mafisadi lakn kwa vile hakusema hvyo tuache kupotosha wengine kwani Mh Marando kalieleza vizuri sana hili swala
 
Cdm ni wanachama,nayy kama kiongoz anatakiwa kuwa mstar wa mbele na kw dhati kupinga kila aina ya uovu..hata kama ni kazi,alitakiwa achague kusuka au kunyoa,kwan dr(phd) anapataje ma file?atumie njia za dr. Nayeye
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
cdm sio Mabere, jarbu kumhukumu kwa matendo yake usiyahusishe na Mabere.
<br />
<br />
 
Ismail Jussa Ladhu akiongea katika mdahalo uliorusha na Star Tv amesema CCM ni kilichochoka hakifai tena kupewa nafasi ya kuongoza nchi kwa hata sasa wanainchi wanajionea chama hicho kuwa ombwe la uongozi.

Akiongea kwa kujiamini amesema chama hicho hakijui mpaka leo kinasimamia itikadi gani ujamaa au ubepari.

Akielezea chama cha CHADEMA amesema kuwa ni hatari kuwa na viongozi ambao hawatembei katika maneno yao ambapo alisema CDM wamesimama kupinga posho lakini wabunge wake wanachukua posho mf. shibuda, pia katibu mkuu Wilbrod Slaa alikuwa anapinga posho na mishahara ya wabunge kuwa mikubwa lakini leo ndio amewashinikiza cdm wamlipe mshahara wa mbunge.

Kwa kweli ameongea kwa ufasaha mkubwa na amewataka viongozi wenzake kuacha malumbano na matokeo yake tujenge nchi ili tuwaletee wanainchi maendeleo.
 
  • Thanks
Reactions: Wun
Mkuu, Laurence,
Bwana M.M hajasema anaowatetea si mafisadi bali bado hawajahukumiwa kama ni mafisadi.

Hata hvyo yeye ameshangazwa na wale ambao waliiba na wakakiri kwa hati kuwa wameiba na kurejesha fedha, kwan hawajachukuliwa hatua wakati ushahidi wa hati zao upo.

Watu hao wangepelekwa mahakamani kusingekuwa na "legal mumbo-jumbo" tena bali ni straight segerea
 
Sometimes tuwe open tu Marando kabanwa na historia ukianzia Valambia na sasa EPA naona ulikuwa mwiba leo
 
nafikiri kila alieyune star tv leo kajinea mwenyewe, Nape katapatapa, Ismail ne kasema na Mabere nae kawatoa watu matongotongo, NO ADDITION, mbishi ataendelea kuwa mbishi daima na mwenye shida na mabadiliko achukue nafasi.
 
Mkuu, Laurence,<br />
Bwana M.M hajasema anaowatetea si mafisadi bali bado hawajahukumiwa kama ni mafisadi.<br />
<br />
Hata hvyo yeye ameshangazwa na wale ambao waliiba na wakakiri kwa hati kuwa wameiba na kurejesha fedha, kwan hawajachukuliwa hatua wakati ushahidi wa hati zao upo. <br />
<br />
Watu hao wangepelekwa mahakamani kusingekuwa na &quot;legal mumbo-jumbo&quot; tena bali ni straight segerea
<br />
<br />
Lengo langu hapa mkuu nilitaka kuwaelesha baadhi ya wakuu mana walitaka kuanza kupotosha mkuu kama nimekosea tuendelee kusahihishana mkuu
 
CUF wote wanawake wamevaa hijjabu na wanaume wamevaa misuli na kanzu na baragashia, yaani hiki ni chama cha dini ya ALLAH kabisa.
<br />
<br />
mkuu kwani sheria zetu zinasemaje kuhusu haki ya kutetewa mahakamani?kwani mtu akiwa jambazi ama muuaja hana haki ya kutetewa?Halafu tambua Marando uwakili ndiyo kazi yake inayomuingizia kula,hivyo hawezi kukataa kazi eti kisa ni mafisadi.Kwa hiyo hata daktari mchukia ufisadi hapaswi kumhudumia fisadi mgonjwa?HIYO HOJA HAINA MASHIKO,TUACHE USHABIKI...kama ni hivyo hata kwenye nyumba za ibada watengwe.!
 
cdm sio Mabere, jarbu kumhukumu kwa matendo yake usiyahusishe na Mabere.
HUU mchezo Wa kukana watu kausema hata Marando mwenyewe Kama Shibuda sio Chadema nashindwa kuelewa basi CCM nao waseme Chenge sio CCM. Wana CDM kukubali makosa ndio mwanzo Wa kujirekebisha
 
Wanajamvi, Kwa kweli I. Jussa namuheshimu sn, na ninatambua uwezo wake, but leo amepotosha ukweli ambao hata Maalim Seif (Katibu wa CUF) alisema ni HOJA NZITO na ya MSINGI iliyoibuliwa na wenzao wa CDM.

Yeye anasema watu (CDM) wamejikita kwenye mambo madogo na rahisi sana kama POSHO wakati kuna mambo mazito kama MGAO wa umeme n.k

Ukweli ni kwamba hz posho sio kitu kidogo kama anavyosema kwan ni 13% ya RECURRENT BUDGET, na ni sawa na 0.98 trillion, kiasi hiki ukipeleka Stieglers Gorge kinatosha kukamilisha phase i ya mradi mkubwa wa UMEME ktk historia ya nchi yetu.

Nusu ya fedha hiyo ukiipeleka NDC inatosha kujenga distribution line mpya ya grid ya Taifa. Tafakari!
 
Tuijengeje sasa nchi katika ombwe la ukigeugeu wa viongozi wakuu wa serikali kiasi hiki? umeme hakuna, rushwa zinatembea kupitisha bajeti wanaobainika kufanya hivo hawachukuliwi hatua zozote madhubuti? Jussa nadhani kwenye mdahalo huo hakuwa contended
 
Ismail Jussa Ladhu akiongea katika mdahalo uliorusha na Star Tv amesema CCM ni kilichochoka hakifai tena kupewa nafasi ya kuongoza nchi kwa hata sasa wanainchi wanajionea chama hicho kuwa ombwe la uongozi.

Akiongea kwa kujiamini amesema chama hicho hakijui mpaka leo kinasimamia itikadi gani ujamaa au ubepari.

Akielezea chama cha CHADEMA amesema kuwa ni hatari kuwa na viongozi ambao hawatembei katika maneno yao ambapo alisema CDM wamesimama kupinga posho lakini wabunge wake wanachukua posho mf. shibuda, pia katibu mkuu Wilbrod Slaa alikuwa anapinga posho na mishahara ya wabunge kuwa mikubwa lakini leo ndio amewashinikiza cdm wamlipe mshahara wa mbunge.

Kwa kweli ameongea kwa ufasaha mkubwa na amewataka viongozi wenzake kuacha malumbano na matokeo yake tujenge nchi ili tuwaletee wanainchi maendeleo.
HUNA MVUTO,UKIONA MTU AnaMPONDA MUME WAKE MBELE YA WATU UJUE HUYO CHANGU.
CUF HAINA MVUTO NA SI CHAMA CHA SIASA
 
Wakati wa mdahalo wa Star Tv, muda mwingi Nape alikuwa anakunjuakunjua mdomo utafikiri kuna kitu anatafuana.
Hii tabia anayo JK, si kawaida ya Nape lakini nafikiri kaiga kwa mkubwa wake JK.

Kwa kweli alikuwa ananikera. Utafikiri ndio amemaliza kula
 
Ila suala la kuwatetea mafisadi hata kama ni vidagaa,hapo cdm mmechemka!
mkuu hayo ni masuala ya kisheria! hivi wewe mama, baba au ndugu yako akishtakiwa kwa kuu,kuiba au whatever...utataka asipate mtu wa kumtetea? kila mtu anayo haki ya kutetewa...hata muuaji! ukitazama vitu kwa mtazamo huo ..utasema hata daktari anayejitahidi kuokoa maisha ya jambazi lililopigwa risasi na polisi naye anatetea ujambazi!
 
Back
Top Bottom