Nitafurahi sana kwani huwa naamini Mama DC peke yake ndiye anayenifahamu...Sasa kama watu wote wananifahamu ataendeleaje kujiona nambari wani?? At least nikipata watu wakunimix na wadau wengine itakuwa great ili utukufu ubaki kwa mwenye nao (in this case, my nambari wani)!!
Ahsante sana dada yangu,
Pamoja sana....!!
hehehe kauze basi ununue nusu gilasi. Visimu kama hivyo vina side effect mpaka kwenye uzazi. Mwenzio nimepata jimama linaniweka mjini last wiki limeniletea HTC na sunglass kama ya lucky dubeHahahahaha......... dah! Kama nimeielekeza makao makuu ya Vodacom lakini netiweki imegoma nikiielekeza makambako si katalipuka? Nimestuka!
Aisee we mwongo aisee. NimejiPM haijafika. Inawezekana umejiPM kwa ile ID yako nyingine habu kagua vizuri afu fanyia kazi uvumbuzi wako.
Jibu unitumie kwa PM kwenye ile ID yangu ya sita.
heheeh hapo red hapo
Umenifungua akili na kunifanya in the future nipotezee.... THANK YOU....
Pamoja saaana DC.... Nitasubiri comments zako hata kwa VM/PM Maana ile discussion inabidi ipoe kabla ya kurise upya!!
Yani nieamini mkiishi pamoja kwa muda mrefu mkiwa mnapendana kila kitu kinafanana. Yani shem mwandiko wako umefanana na wa hommie huwezi amini. Au umemwibia penseli yake?
Unajua watu huchukulia vitu mzaha... Mie sipendi bishana na mleta habari no matter minor.... Nimeshangaa saana kua nimeji PM na nimepokea huo ujumbe..... aissseee!!! Klorokwini umenichekesha... Ulikua unafanya nini mpaka ukatambua hilo?? lol
you know what babe...you don wanna know coz thats the reason to love in da first place
baada ya hayo, hommie hebu do ze nidiful msimu huu wa maombolezo ya Ghadaffi, uje na grants chupa mbili. we ntakutengenezea Gin tonic
Love, umemwambia mzee mwenzangu DC kuwa ziko moderated.......
hehehe ni suala zito lakini kwa heshma yako na malenga wetu kaizer nitakujibu kwa ufupi, Yaani nilikuwa nimeshuhulika na nimejipinda namuandikia jamaa PM (jina tunalo), kumbe niko kwenye profile yangu mwenyewe, sasa hafla naona kaPM notification, nikajua kitu imekwenda na kujibiwa kwa mwendo wa umeme. Khaaaaa! nilishangaa kujiona najitongoza mwenyewe.
Eeeh Mungu nisamehe sitorudia mja wako.
Klorokwini.... Mungu wangu humo kichwani mwako what do you think?? Kuna mambo mangapi yamo humo??... Maana infor zako kweli kabisa ni unique na very crack based informative.. Umenifurahisha kweli.... Asante kwa ufafanuzi... Hopefuly ujaahirisha kutuma ulikolenga awali!! lol
heheeh hapana , nimeuchuna kwanza mpaka bladi presha ishuke
My conclusion:
Loving your kid(s) and loving your spouse are not mutually exclusive. And comparing the two is equivalent to comparing apples to oranges.
Apples are fruits but so are oranges. But it's without a doubt that they are both different.
So there you have it ladies and gentlemen. It's the freakin' weekend and I'm about to go have me some fun! See you later alligators!
My conclusion:
Loving your kid(s) and loving your spouse are not mutually exclusive. And comparing the two is equivalent to comparing apples to oranges.
Apples are fruits but so are oranges. But it's without a doubt that they are both different.
So there you have it ladies and gentlemen. It's the freakin' weekend and I'm about to go have me some fun! See you later alligators!
Hah yaani kwa post yako Klorokwini nimejikuta nacheka bila kupenda.hehehe ni suala zito lakini kwa heshma yako na malenga wetu kaizer nitakujibu kwa ufupi, Yaani nilikuwa nimeshuhulika na nimejipinda namuandikia jamaa PM (jina tunalo), kumbe niko kwenye profile yangu mwenyewe, sasa hafla naona kaPM notification, nikajua kitu imekwenda na kujibiwa kwa mwendo wa umeme. Khaaaaa! nilishangaa kujiona najitongoza mwenyewe.
Eeeh Mungu nisamehe sitorudia mja wako.
My conclusion:
Loving your kid(s) and loving your spouse are not mutually exclusive. And comparing the two is equivalent to comparing apples to oranges.
Apples are fruits but so are oranges. But it's without a doubt that they are both different.
So there you have it ladies and gentlemen. It's the freakin' weekend and I'm about to go have me some fun! See you later alligators!
Aisee hawa ndugu zako wanakusubiri ukatoe shooNamimi acha nilog out, nitakuja kuangalia konklushen baadae.
Nimealikwa ubwabwa wa bure sehem. Namshukuru Mungu naenda kuhuzuria hafla hii nikiwa na njaa ya ajabu.
Acha nikawape waswahili la kuongea, kwa mara ya kwanza leo nitakula bila kumezea na maji.
Ndiyo maana yake mkuu....Huwezi kufanya mambo kinyume eti kwa ku-anticipate yanaoyoweza kujitokeza katika bad times!! Ikotokea hali tofauti na hii ya sasa (normal) tutaishughulikia wakati huo. Sina hakika kama kuna uwezekano wa kudeal na unanticipated abnormals!
Kwa sasa narudia kusema kuwa my wife ni nambari wani....Likitokea jambo tofauti na hilo tutalishghulikia wakati huo....Siwezi kuanza utabiri wa shekh Yahya katika hili!!!