Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Naona masingo maza mnapeana upumbav, sasa mlivyo komaa hvyo mwanaume gani atawakubali... Nyie dangeni maisha yaende mfe
 


Watu wanataka kuwapeleka bebez zao USA huko we unakuja na habari za magurudumu, yasukume mwenyewe

Mwambie huyooo yeye anataka tupauke kusubiria atoboe

Atoboe maisha kwanza ndio aje kutafuta bebe wa kumsaidia kunyumbulisha pesaa
 
Huna Hela unatabu zako namakasiriko Yako afu ghafula mtoto wa mamkwe nae kakuganda,,,,😎😎😎😎😎tupeane nafasi jamani daaa
 
Huna Hela unatabu zako namakasiriko Yako afu ghafula mtoto wa mamkwe nae kakuganda,,,,tupeane nafasi jamani daaa
Ila mm nachokiona mtu akikuganda utakereka kama tu humpendi au nakosea? Kama unampenda huwez ona kama ni kero.
 
Mwambie huyooo yeye anataka tupauke kusubiria atoboe

Atoboe maisha kwanza ndio aje kutafuta bebe wa kumsaidia kunyumbulisha pesaa
noma sana.

Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?
 
Heloo,

Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!

Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.

Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.

Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.

Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.

Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.

Ni mwendo wa kukomaaa!
Duuu! Dada safi sana, umewapa ujumbe mzuri. Sisi wanaume ni adimu sana
 
noma sana.

Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?

Kabisa bro sisi tunaondoka na kiranga NYC
 
Mlongo nileka na lidoda langu leniliii, lina hela, koto kumkinilaa wengaaa, au ve ugani lepa tuhamba kwe ku marekano??uwaya kukwela mndege?? Apu hinu pe paunijovili niyeliwi he.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya mlongo wangu,nigana sanaaa kulota ku marekano......MGANDEEE
 
Na utachinaaaa uduguuuu wanguuuu, USA km mbeleeee, , niwacheeeee eti Kiranga wee si boss kubwaa Una mahela km yoteee? Tena unisomeshee masters hapo Massachusetts.
Bora unakumbuka hata masters🤣🤣🤣🤣🤣
 
Harusiiii ya kitajiriiiiiii ninayooooooo

Cute Wife uduguuuu niwacheeee, nataka kubehave ki ushuaa, c unajua mambelee hakuna uswaziii?? h
Yaani utateseka huko kunifanya wa kishua kama hujamiss ngwala na utumbo wa mama doi😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom