YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Cute wife anajua what to do, thanks kuwa nami
Umefika laaziz [emoji8][emoji8][emoji8]
Cute wife anajua what to do, thanks kuwa nami
Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?Sister sio mie ni coca huyo eti anaogopa manyaku nyaku ya mji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eee bas tumeacha nawe shem Kiranga ndio utuchongelee jomooni khaaaaaa!!!
ni mume ndio unaweza kumganda msonge mbele lakini mpenzi ambae ni kama daladala muda wowote unashuka anapanda mwengine hapana,
Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?
Ujue nataka kuwapa zawadi magari wote, ila sitaki yaonekane kwenye safari za waganga wa kienyeji na walozi.
Dada upo sawa kabisa.
Wanawake acheni wivu wakijinga
Mwanaume ni wa wote, Ila tunampenda mmoja.
Na huyo mmoja akiniganda vizuri lazima ntatulia tu.
Pongezi ziende kwake mama Chanja,
Alinipambania bila kuchoka.
Leo naitwa baba bora
Mean ni mwenye upendo wa kweli na wa dhati.Alikupambania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh Mungu tusaidie sisi wanawake
Mean ni mwenye upendo wa kweli na wa dhati.
Sio hawa viruka njia wanaopima upendo kwa kuhongwa.
Aah mwanangu mwenyewe wa magurudumu [emoji23]Ww sinikijana mwenzangu alafu unanipondea kwa bebez usiwanyime ridhiki bhn kila mmoja na Maono yake wakuja aje uko SA mbn mshachoka kwenda ata ivo
Sikuwahi kufikia huko.Ooh hapo sawa
Nilidhani alikuwa anakugombania na wanawake wengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] enzi zangu, nikisikia banda LA video,Udugu niwacheee!!!! Umenichekesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au kwa Chikongwe (Mwamba huyu hapa)
Ipooooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awww tamba udugu safari ya kwa Biden tunayoooooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Manyaku nyaku wa Bongo dada huwajui? Umewasahau?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atake asitakee atarogwaa tyuuh, kwa sauti ya Ndugai.Sister sio mie ni coca huyo eti anaogopa manyaku nyaku ya mji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eee bas tumeacha nawe shem Kiranga ndio utuchongelee jomooni khaaaaaa!!!
Sasa bila wee kurogwqa, hizo Gari utatupaa kweli??Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?
Ujue nataka kuwapa zawadi magari wote, ila sitaki yaonekane kwenye safari za waganga wa kienyeji na walozi.
Umeshakua manyakuuu nawee,?? Sitaki mambo ya nakaaya na Nancy kumgombania Luca [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awww shem darling tumeacha banaa
Hapo kwenye ndinga umeongea point ya msingi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji8]aah! Nilisahau kumbe shem [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aonesheeee passport yakee kwaniii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aah mwanangu mwenyewe wa magurudumu [emoji23]
Sema nin, me skuharibii bana, ngoja nikuwekee mazingira sawa.
Oya cocastic mwamba mwenyewe huyu hapa, achana na kiranga.
Penda vya nyumbani [emoji23]
Hapo sasa ndo tutashindwana.Sasa bila wee kurogwqa, hizo Gari utatupaa kweli??
lazima urogwee utupe na Helicopter kila mtu yakee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naogopaa slay wa Bongo watakukwapuaaa, au niaminishe km zipu yako inafungaa vyediii.Hapo sasa ndo tutashindwana.
Wewe mwenyewe penzi lako ushaniroga, halafu unataka kuniroga nini zaidi?
Si utanichanganyia madawa uniue hapo?
Kwako sina zipu, nina kufuli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naogopaa slay wa Bongo watakukwapuaaa, au niaminishe km zipu yako inafungaa vyediii.