YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?Sister sio mie ni coca huyo eti anaogopa manyaku nyaku ya mji
Eee bas tumeacha nawe shem Kiranga ndio utuchongelee jomooni khaaaaaa!!!
ni mume ndio unaweza kumganda msonge mbele lakini mpenzi ambae ni kama daladala muda wowote unashuka anapanda mwengine hapana,
Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?
Ujue nataka kuwapa zawadi magari wote, ila sitaki yaonekane kwenye safari za waganga wa kienyeji na walozi.



aah! Nilisahau kumbe shem 




Dada upo sawa kabisa.
Wanawake acheni wivu wakijinga
Mwanaume ni wa wote, Ila tunampenda mmoja.
Na huyo mmoja akiniganda vizuri lazima ntatulia tu.
Pongezi ziende kwake mama Chanja,
Alinipambania bila kuchoka.
Leo naitwa baba bora





Mean ni mwenye upendo wa kweli na wa dhati.Alikupambania
Ooh Mungu tusaidie sisi wanawake
Mean ni mwenye upendo wa kweli na wa dhati.
Sio hawa viruka njia wanaopima upendo kwa kuhongwa.
Aah mwanangu mwenyewe wa magurudumuWw sinikijana mwenzangu alafu unanipondea kwa bebez usiwanyime ridhiki bhn kila mmoja na Maono yake wakuja aje uko SA mbn mshachoka kwenda ata ivo


Sikuwahi kufikia huko.Ooh hapo sawa
Nilidhani alikuwa anakugombania na wanawake wengine
Udugu niwacheee!!!! Umenichekesha
Au kwa Chikongwe (Mwamba huyu hapa)





enzi zangu, nikisikia banda LA video, 









Sasa bila wee kurogwqa, hizo Gari utatupaa kweli??Nyie mmeacha kweli au mnasema hapa tu?
Ujue nataka kuwapa zawadi magari wote, ila sitaki yaonekane kwenye safari za waganga wa kienyeji na walozi.





Umeshakua manyakuuu nawee,?? Sitaki mambo ya nakaaya na Nancy kumgombania LucaAwww shem darling tumeacha banaa
Hapo kwenye ndinga umeongea point ya msingi![]()
aah! Nilisahau kumbe shem
![]()






Hapo sasa ndo tutashindwana.Sasa bila wee kurogwqa, hizo Gari utatupaa kweli??
lazima urogwee utupe na Helicopter kila mtu yakee.
![]()
Hapo sasa ndo tutashindwana.
Wewe mwenyewe penzi lako ushaniroga, halafu unataka kuniroga nini zaidi?
Si utanichanganyia madawa uniue hapo?




naogopaa slay wa Bongo watakukwapuaaa, au niaminishe km zipu yako inafungaa vyediii.Kwako sina zipu, nina kufuli.naogopaa slay wa Bongo watakukwapuaaa, au niaminishe km zipu yako inafungaa vyediii.


