YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Nasemajeeeeee babeee ninaee m1 tyuuh, habariiiiii iwafikieeee.
Ongezaa sautiiiii,![]()
Mode anakusikia udugu punguza volume



Nasemajeeeeee babeee ninaee m1 tyuuh, habariiiiii iwafikieeee.
Ongezaa sautiiiii,![]()



Usikonde, huku kuna Waarabu wa koo za Kisultani mpaka ma Tech billionaires.Mwaga madollal umzime kisirani
Na mimi nitafutie bas waarabu wale wenye visima vya mafuta
Nataka nihongwe G Wagon mie![]()



Harusiiii ya kitajiriiiiiii ninayoooooooNaam,
Atakayetaka kuchangia kuna kijiji cha Wamasai kinahitaji maji tutampa contacts achangie.
Honeymoon Maldives halafu ya pili Tahiti.











Nishushee hadi ngapiii uduguuu,Mode anakusikia udugu punguza volume![]()






Njooo babeee wangu, harusii hakuna kuchangia, afu honeymoon ni Maldives



Naam,
Atakayetaka kuchangia kuna kijiji cha Wamasai kinahitaji maji tutampa contacts achangie.
Honeymoon Maldives halafu ya pili Tahiti.




Nakuachajeee sasa??Hapo chacha udugu wataturoga mwaka huu, huko Maldives tuko sambamba huniachiii
Hapa naandaa swimming cost awwww mbona pambe






Kwani unafikiri hata nikitaka kuacha nitaweza, jinsi nilivyoshikwa!Shem una jeuri ya pesaaaaaaaa
Shikilia hapo hapo usiachieee![]()



Usikonde, huku kuna Waarabu wa koo za Kisultani mpaka ma Tech billionaires.
Wewe tu, hatunumui nyumba, tunanunua visiwa.![]()






Aaah, yule mbona kazi ndogo tu, niachie mimi hiyo.Nasemajeeee Nasemajeeeee
Shem niunganishe chap tuanze kufahamiana na hao billionaires, ndio ugonjwa wangu huo
Vipi yule wa PSG huna ukaribu nae?! Naye ananivutia sana, nataka aje anunue Makolo fc Moh team ishamshinda inaenda kushuka daraja![]()
Kwani unafikiri hata nikitaka kuacha nitaweza, jinsi nilivyoshikwa!
Honeymoon ya tatu Machu Picchu.
Siyo machupichupi, Machu Picchu![]()




Ndiwoooooooooo!!!!!!Kwani unafikiri hata nikitaka kuacha nitaweza, jinsi nilivyoshikwa!
Honeymoon ya tatu Machu Picchu.
Siyo machupichupi, Machu Picchu![]()




Aaah, yule mbona kazi ndogo tu, niachie mimi hiyo.





Mwenzangu nifanye namna nimrogee na bwana mwenyewe, wasije kumdakaa eyapoti, slay wa kibongo unawajuaa vyediii.Shem wanipa rahaaaaa miye hujui tu!
Mambo hayo nayapenda mimi jomoooni!!!
Hebu fanya uwahi kuja, kabla wanga hawaamka![]()





huna ugeni nao kabisaaaMashem km nyie ndio tunawataka, sio wa kutaka kuzima taa dada akiwa hayupo
Niletee wa PSG ananitosha, nataka nimrudishe Messi![]()







nakojoaaaaaaSasa si unakuja mwenyewe airport, mimi sitaki kupokelewa na mtu mwingine yeyote hapa ujue.Mwenzangu nifanye namna nimrogee na bwana mwenyewe, wasije kumdakaa eyapoti, slay wa kibongo unawajuaa vyediii.
huna ugeni nao kabisaaa
Uko sahihi ndugu, nina ushahidi wa hilo, ndio maisha tuyoishi sisi tulio kwenye ndoa za kikristo.True hasa ukikosea kuoa kifuatacho ni kifo Cha mapema.
Nadhani wanaume wakristo ndio wanaongoza kufa mapema sababu ya kubeba mzigo mzito wa stress za ndoa unaotenganishwa na kifo.
Tofaut na waislamu wao wanaishi Kama wapangaji ukizingua unazinguliwa.
Ukristo umekosea kuoa kuolewa zigo lako Hilo kama ni lipigaji,tukanaji,zinzi,levi,ongo yaani unabeba mzigo wamalezi mabovu toka kwa mama yake kumlea vibaya.
Mwenzangu nifanye namna nimrogee na bwana mwenyewe, wasije kumdakaa eyapoti, slay wa kibongo unawajuaa vyediii.
huna ugeni nao kabisaaa





