Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Nakuambiajee Kiranga bebee wangu pesa anazo, kila nikitaka miguu ya kuku na utumbo, napanda ndege nakuja huku uswekenii, nikichokaa napanda ndegee huyo Los Angeles.

🤣🤣🤣🤣🤣Usifute number yangu ya simu nakushauri,,,,Sina Imani nae sana huyo japo nimempitisha!Nina mashaka nae
 


Watu wanataka kuwapeleka bebez zao USA huko we unakuja na habari za magurudumu, yasukume mwenyewe
🙄🤣🤣🤣Ww sinikijana mwenzangu alafu unanipondea kwa bebez usiwanyime ridhiki bhn kila mmoja na Maono yake wakuja aje uko SA mbn mshachoka kwenda ata ivo
 
Nakuambiajee Kiranga bebee wangu pesa anazo, kila nikitaka miguu ya kuku na utumbo, napanda ndege nakuja huku uswekenii, nikichokaa napanda ndegee huyo Los Angeles.

🚶🚶🚶🚶🚶utumbo upo ata pale kwa mama kibonge buza mbn mtam pia au upo uo🤣
 
Kama Kawa!sisi ndio ndugu wananchi watanzania 🤣🤣🤣
Fitna tumezimaliza, asante dada mkubwa.

Sasa naomba nisaidie nimesikia wadogo zako wananifanyia ulozi.

Mimi sipendi mambo hayo, wajiamini tu, tunajenga udugu piga ua galagaza.

Ulozi sipendi.
 
noma sana.

Ndo mana kiranga aliamua kupiga kura kwa miguu kwenda kusukuma gurudumu lake halafu leo ndio kama hivi anatafuta wa kuteremsha nae gurudumu.
Nasema uongo brother Kiranga ?
Naam,

Mwanamme nguvu atii, nguvu zote za juu na chini na mfukoni 😀 😀
 
Ukweli ni kwamba mahusiano yoyote yaliyodumu muda mrefu,hadi wengine ni wababa/wababu/wabibi

mkamatia funguo ni MWANAMKE huu ujumbe ni murua kwa wanawake,ndoa yoyote iliyodumu,mahusiano yoyote

yaliosonga umri mrefu komando wa game ni mwanamke,niko na ushahidi na hilo,Kuna mdada nadhani nitamuoa

nitamuoa kwasababu nyingi ila sababu yake kuu ni hiyo KUNATA NA BEAT bwana nishampush mbali na mimi sana tu

hamna kituko sijamfanyia,hamna tukio sijampiga,tukiseparate anabaki kama rafiki ananizoom tu yani HAKOMI

kila nikiwa single kenyewe hakooo,sasa ninakoelekea nadhani nikukaoa TU ndio zawadi inayomfaaa,maana ni zaidi

ya RUBA,saivi namalizia kumverify nijue Kwanini amekua hataki kuniachia niende afanye maisha yake,usikute anataka

nimuoe anifanye msukule wake milele anikomeshe,haiwezekani asee Kuna wakati nahisi anataka nikishamuoa animwagie TINDIKALI maana kuna tukio ashanidaka nalo nahisi niliuvunja vunja moyo wake vipande vipande

ila mwanamke yule mwana hakomiiii,yumo tu kama kondakta na dala dala yake.
 
Fitna tumezimaliza, asante dada mkubwa.

Sasa naomba nisaidie nimesikia wadogo zako wananifanyia ulozi.

Mimi sipendi mambo hayo, wajiamini tu, tunajenga udugu piga ua galagaza.

Ulozi sipendi.
Nimehuzunika sana na tabia zao za kishetani🙇🙇🙇🙇🙇nitawaonya.

Nyie mtapoteza mtapoteza visa ya St Monica shauri zenu nyie endelezeni mambo yenu ya ulozi Cute Wife cocastic
 
Mnazitamani sana ndoa mkizipata tu mnaanza Kasi ya kuzibomoa, wanawake wa Kikristo ndio hovyo kabisa Bora uishi nao uchumba sugu hawajui kabisa Nini maana ya ndoa,wakishazichezea uenda kulia Lia hovyo kwa mtume wao kukanyagishwa mafuta ya urejesho.Hovyo kabisa.
Wa kiislam angalau sababu wanaishi Kama mpangaji.

dah wanaishi kama wapangaji
Aki relationships are overrated mbona mnafanya haya mambo kuwa magumu?
 
Heloo,

Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!

Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.

Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.

Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.

Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.

Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.

Ni mwendo wa kukomaaa!
Mods,nina zawadi yake huyu mleta mada
 
Back
Top Bottom