secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,071
- 42,903
Nashangaa Bado hajaitupia. Mleta mada alaaniwe tu!
Nashangaa Bado hajaitupia. Mleta mada alaaniwe tu!
😂😂😂 Mbaga Jr Simuamini Hachelewi kutibua
😂😂😂 We Jamaa Hujawahi Nishauri Cha MaanaKulingana na mada, sidhani kama kuna kazi hapo.
Bora nitafute mbu wa kike niwafungie kwenye lailon wanachue 😎
Shauri zako, mm hapa mtaani n mfano wa kuigwa😂😂😂 We Jamaa Hujawahi Nishauri Cha Maana
😂😂😂Shauri zako, mm hapa mtaani n mfano wa kuigwa
😀😀😀 Daah,Mimi Sio Member Wa ChaputaNyeto
Ooh! Ni siri yangu, sitaki ukifahamu maana......Umeandika nini kichwani
Nyege tuu hizo
Mzee, upo?Dah! 😁
Mzee, upo?
Hili vuguvugu la ban limekupita au bado linaendelea na litakupitia?Nipo tajiri.
Hili vuguvugu la ban limekupita au bado linaendelea na litakupitia?
Ni muda mrefu sana hatujakutana kwenye ubishi,
Maajabu haya!🫢Ooh! Ni siri yangu, sitaki ukifahamu maana......
Basi umezeeka vizuri zaidi ya wazee wenzako wengi, kuna wengine tangu huo mwaka washakuja na id mpya zaidi ya 12Sijawahi kupigwa ban mkuu; nipo hapa toka 2012. Kwa jina hili hili.
Basi umezeeka vizuri zaidi ya wazee wenzako wengi, kuna wengine tangu huo mwaka washakuja na id mpya zaidi ya 12
Blessed, huna baya.Ni kweli, mimi nitaendelea kuwepo hapa, walikuwepo wadwanzi, wakapita, wakaja wakapita na hata hawa watapita pia. 😊
Blessed, huna baya.