fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
tajiri itakuwa vigumu kuingia mbinguni haina maana maskini lazima aingie
Hivi lile hekalu lake alilo lijenga kwenye mkondo wa maji limeisha bomolewa?
Ngoma za kudhalilisha sio utamaduni wa mwafrika
Kama suala ni utamaduni, unaonaje tukiendeleza ukeketaji?Ngoma ni utamaduni wa Mwafrika
huyu Mzee Ngonyani wa Kawe akimwona Mama Rwakatare kwenye Tv hujisikia Uchungu na kubadili Stesheni au kuzima Tv kabsa ! Mzee Ngonyani mwenye no - 0656005556 na 0783893505 au 0718374728 amedhulumiwa kiwanja chake Kawe na Mama Rwakatare hadi sasa huyo Mzee anahaha kusaka Haki yake bila mafanikio ! Amewahi kufika hadi kwa Limbeli lakini kwa Kuwa ni Masikini amekuwa hasikilizwi amekosa msaada kwa Kuwa ni masikini sana , mama Rwakatare ametumia fursa hiyo kugoma kumlipa Haki zake , ukitaka story zaidi nenda kwa M/kiti wa Serikali za Mitaa kawe ana Full mkanda.Akichangia hoja ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Watoto Bungeni leo; ameomba kwa uchungu, Watanzania kukemea ukeketaji, ngoma za kudhalilisha kama vile kangamoto na nyinginezo na upigaji wa wanawake!
In fact, inashangaza jinsi ngoma hizi za ovyo zinavyoshamiri Dar, inashangaza ni kwanini serikali kupitia wizara hii hawakomeshi ngoma za ovyo kama hizi! Kule Boko Beach kuna ngoma ya ovyo kabisa huchezwa kila wikiendi, viongozi wa serikali ya mtaa hawaoni?
...eti 'kwa uchungu'! anajua maana ya uchungu huyu mjenga kwenye mazalio ya samaki na mtumia umeme bure huyu??? Atuache...tusije pigwa ban bure...!
Kama suala ni utamaduni, unaonaje tukiendeleza ukeketaji?
Huyu Mama Rwakatare amemdhulumu Mzee ngonyani kiwanja chake sasa ni mwaka wa 800 anasaka Haki pasipo na Mafanikio ! Cha Ajabu Pesa aliyohonga kuzuia Haki ni kubwa kuliko hata ambayo angempatia Mzee Ngonyani ! Yaani kesi ya Kuku Mama Rwakatare anauza Ng'ombe ili ashinde pasipo Kuwa na Huruma Kuwa Yule Mzee Ngonyani na Masikini Hana uwezo wa kushindana nae.Iko kwenye maandishi fulani kwamba "enyi wanafiki, mwachuja mbu na kumeza ngamia" ndio kama hivyo alivyoongea Rwakatare "kwa uchungu"; mnafiki mkubwa huyo.
Yanayostahili kuongelewa kwa uchungu na hasira yanachekewa na kinyume chake. Hivi umaskini unaowakabili watanzania leo hii ni kwa sababu ya NGOMA YA KANGA MOTO inayochezwa huko ufukwe wa Boko kila wikiend? Upuuzi mtupu!
Huyu mama ni heri awe ananyamaza tu na kuchukua mshiko wake hana jipya.
Ya kaisari awaachie Kaisari ila yeye kachanganya yote.Wahenga wananena mshika mawili moja humponyoka.
Akichangia hoja ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Watoto Bungeni leo; ameomba kwa uchungu, Watanzania kukemea ukeketaji, ngoma za kudhalilisha kama vile kangamoto na nyinginezo na upigaji wa wanawake!
In fact, inashangaza jinsi ngoma hizi za ovyo zinavyoshamiri Dar, inashangaza ni kwanini serikali kupitia wizara hii hawakomeshi ngoma za ovyo kama hizi! Kule Boko Beach kuna ngoma ya ovyo kabisa huchezwa kila wikiendi, viongozi wa serikali ya mtaa hawaoni?