THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Lkn huyu si mtu wa muleba km.wewe!
Na nimeskia biashara yake ya Sembe imemkubali vibaya sana.
Hivi wahaya mnaotokea huko muleba hizi biashara kwanini mnazipenda sana!?
Hamjui mnaliangamiza taifa letu changa?
Zile biashara za matoke zimewashinda! Sasa mnatuulia watoto.
Bwana wao yesu asifiwe sanaa...!!