hahahahaha
Huyu mama ana bahati mbaya ya kuchukiwa na wanaJF
hahahahaha
Tunapoteza muda tu hapa!!!!
Amezoea Vimeo wapambe wake wametajirika kupitia udhaifu wake wa kupenda vya kunyonga,anapenda ligi sana tena yupo tayari kutumia pesa nyingi kuzuia haki kuliko kumlipa Mtu ! Mzee ngonyani wa kawe sasa amemlaani baada ya kumdhulumu kiwanja chake kawe beach,kisha akatumia pesa nyingi kuzuia Haki ! Kuliko pesa ambayo alipaswa amlipe Mzee ngonyani ! Wasanii wa Mjini wamejipenyeza kwake wanavuna Pesa kwa kisingizio cha kumsaidia kumiliki kiwanja bila kumlipa Mzee ngonyani ! Hiyo Laani inamtafuna ndio maana wana JF wanampa LiveHivi ule ufisadi wake wa kutokulipa umeme alishakoma au ni kiherehere tu na adhani tuishasahau wananchi ...!?
Ati mama mchungaji ....! Haya endelea kuchunga mashule yako na wizi ulouzoea kwa sirikali yenu.....!
Hivi ni nani alimpeleka huyu mama kule bungeni? Au bunge linahitaji likifanya wizi na ufisadi liombewe? Je huyu mama ana upako wa kuliombea bunge? Tanzania ni ya ajabu, misingi ya tanzania ni ya kidhambi mno
Nina imani sasa aliyempeleka bungeni atakuwa anajuta ,!
hilo jumba amelijenga wakati akiwa na Deni analodaiwa na mzee ngonyani wa kawe ,badala amlipe huyo mzee kwanza amekimbilia kujenga hilo Jumba ! Sasa laana ya mzee Ngonyani imemganda wana JF wanamchana live.kabla ya yote akabomoe kwanza lile HEKALU LAKE alilolijenga kwenye mazalia ya DAGAA MCHELE , hatutaki unafiki hapa .
Yaezekana, lakini si kila apelekwaye Bungeni ajakuwa ZUZU kama hoyo mzinishaji mkubwa.
Ngoma za kudhalilisha sio utamaduni wa mwafrika